31/05/2026
Katika Jumapili ya tarehe 31 Mei Tumepata neema ya kumsifu na kumuabudu Mungu wetu pamoja na kujifunza neno kwa kichwa Sauti ya Mungu na Jackline Sixbert Kwani tunapaswa kuisikia sauti ya Mungu na kuifuata kwani Bwana ndiye mchungaji wetu
Yoh 10:22-30 Kumb4:10-12, 28:1
Tunakukaribisha mpendwa kujiunga pamoja nasi kwenye ibada za wiki hii, karibu sana 🙏🏼