ENCC Mji wa Bwana

ENCC Mji wa Bwana Wasiliana Nasi: 0652 789882, 0757 789883, 0686 058434

Mji wa Bwana: Mahala Mabaya Yasiporuhusiwa

08/06/2026

Tambua itifaki ya kuingia kwenye malango yatakayokusaidia katika maisha yako. Elewa jinsi ya kuenenda uweponi mwa Bwana, ondoa kila namna ya masumbufu.

📣 MWAMBIE RAFIKI YAKO, NAYE AMWAMBIE RAFIKI YAKE!ENCC-Tanzania inakukaribisha kwenye KONGAMANO LA VIJANA 2026🔥 Theme: Ma...
06/06/2026

📣 MWAMBIE RAFIKI YAKO, NAYE AMWAMBIE RAFIKI YAKE!

ENCC-Tanzania inakukaribisha kwenye KONGAMANO LA VIJANA 2026

🔥 Theme: Mara 1,000 Zaidi kwa Ubora
📖 Andiko Kuu: Kumbukumbu la Torati 1:11

🗓️ 10–12 Juni 2026, kila siku kuanzia saa 4:00 asubuhi
📍 Ukumbi wa CCT (Marauni), mkabala kabisa na Hospitali ya St. Thomas, Kilakala, Morogoro

🎙️ Tukiongozwa na:
Bishop Dr. Manasse DM

Watoa Mada:
▪️ Pst. Fredrick Muya
▪️ Pst. Jerome Yohana
▪️ Mwl. Rafaeli Banzi — Mafunzo ya Uchumi na Fedha

📚 Tutajadili mada muhimu zinazogusa maisha ya vijana:
✅ Uchumi na fedha
✅ Kumpata mwenza aliye sahihi
✅ Nidhamu na utii
✅ Usafi na maadili
✅ Kuishi vyema katika jamii inayokuzunguka

✨ Pia kutakuwa na:
🎶 Kusifu na kuabudu, maigizo
❓ Kipindi cha maswali na majibu
🤝 Ushirika wa vijana kutoka maeneo mbalimbali

Toka Dar es Salaam mpaka mikoani, vijana wote mnakaribishwa!

Njoo ukiwa na kiu ya kuwa bora zaidi, mara 1,000 zaidi kwa ubora.

🎟️ Kiingilio: BURE

03/06/2026

Karibu katika Ibada ya Ukombozi na Uponyaji, leo kuanzia saa 10:30 jioni katika Kanisa la ENCC-Mji wa Bwana

Tupo: Mbezi kwa Msuguri Barabara ya Shule ya St Anne Marie, dakika 5 kutoka kituoni.

Kwa mawasiliano zaidi piga namba;
Tigo - 0652 789882
Voda - 0757 789883
Airtel - 0686 058434

Karibu tuabudu pamoja katika ibada ya Meza ya Bwana na Dhabihu Zetu, jumapili hii.Katika mwezi huu wa Nguvu ya Hekima Il...
02/06/2026

Karibu tuabudu pamoja katika ibada ya Meza ya Bwana na Dhabihu Zetu, jumapili hii.

Katika mwezi huu wa Nguvu ya Hekima Iliyofichwa, njoo ukitegemea mafunuo, kubarikiwa, kuinuliwa, kufunguliwa, kuponywa, kupata mipenyo na kutofautishwa milele.

📅 Jumapili, 7 Juni
⏰ Saa 3:00 Asubuhi

Karibu pamoja na ndugu na marafiki.

01/06/2026

📅 Juni ni mwezi wa "Nguvu ya Hekima Iliyofichwa", na matukio na ibada nyingi za baraka mbele yetu, ikiwa ni pamoja na ziara za makanisa yetu ya ENCC-Tanzania!

Tafadhali pitia ratiba ya matukio ya mwezi Juni. Wasiliana nasi kwa maelekezo zaidi, ikiwa ni pamoja na maombi na maombezi.

🕓 Usisahau Ibada za Kila Wiki:
📖 Ibada ya Ukombozi na Uponyaji — Kila Jumatano saa 10:30 jioni
⛪ Sunday Live Services — Kila Jumapili saa 3:00 asubuhi

Karibuni tuabudu pamoja katika mwaka wa Mdhihirisho wa Lango la Masihi. Tunatazamia majira ya matendo ya Masihi katika maisha yetu.

Mwisho wa Hamani Ndiyo Mwisho wa Vitisho! (Esta 7:10)Kila mtego, kila hila na kila tishio la adui dhidi ya maisha yako l...
26/05/2026

Mwisho wa Hamani Ndiyo Mwisho wa Vitisho! (Esta 7:10)

Kila mtego, kila hila na kila tishio la adui dhidi ya maisha yako linafika mwisho wiki hii. Ungana nasi kuanzia kesho katika ibada za juma hili la kiunabii kwa ajili ya Neno, maombi na maombezi tukiamini kuuona ushindi mkuu na dhahiri ambao Bwana ametuandalia.

Usipange kukosa hata siku moja. Mkaribishe na mwingine tushiriki katika ushindi huu pamoja!
📍 Mahali: ENCC - Mji wa Bwana, Mbezi kwa Msuguri
📅 Tarehe: Jumatano 27 - Jumapili 31 Mei

06/05/2026

Juma la mabinti Abigaili

Address

Mbezi Kwa Msuguri
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ENCC Mji wa Bwana posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share