02/09/2026
π KARIBU GATEWAY TO HEAVEN CHURCH π
Tunakukaribisha katika ibada yetu ya moja kwa moja. Tunaamini kwamba kupitia sifa, kuabudu, maombi na Neno la Mungu, maisha yako yataguswa na kubadilishwa kwa utukufu wa Mungu.
"Mbingu ikuletee amani, uponyaji, ukombozi na baraka tele."
π
RATIBA ZA IBADA
πΉ Jumatano Ibada ya Mafundisho ya Neno la Mungu π Saa 11:00 Jioni β 1:00 Usiku
πΉ Ijumaa Saa Moja ya Maombi ya Maombezi π Saa 11:30 Jioni β 12:30 Jioni
πΉ Jumapili Sunday School π£ Saa 2:30β 3:00 Asubuhi
πΉIbada Kuu ya Sifa na Kuabudu π Saa 3:00 Asubuhi β 6:00 Mchana
π Mahali Kingamboni, Kibada Road, Mwasonga, Dar es Salaam, Tanzania.
π Mawasiliano +255 686 747 530
π¨βπΌ Mchungaji : Given MukendI
ππ₯β¨