Khairiyya Islamic Center

Khairiyya Islamic Center taasisi ya umoja wa khairiyya Islamic foundation

07/05/2026
07/05/2026

SAYID OMAR BIN SAYID NUR kutoka unguja ..akitoa mawaidha KATiIKA hauli YA SHEKH HASSAN BIN AMEIR msikitini KWA ALINATU

HAULI hii inakusanya pamoja na hauli za wanafunzi wake shekh

Shekh ameir tajo mkubwa
Shekh ameir tajo mdogo
Shekh mgaza jumbe

Kila ifikapo mwezi 16 dhul qaada

TUNAKUMBUSHWA HAULI YA SHEKH HASSAN BIN AMEIR SHIRAZYITAKAYOFANYIKA MWEZI 16 DHULQAADASIKU YA JUMATATU 4/5/2026ZANZIBAR ...
01/05/2026

TUNAKUMBUSHWA

HAULI YA SHEKH HASSAN BIN AMEIR SHIRAZY

ITAKAYOFANYIKA MWEZI 16 DHULQAADA

SIKU YA JUMATATU 4/5/2026

ZANZIBAR

KWA ALINATU
MSIKITI WA SHEKH AMER TAJU

MUDA:BAADA YA SWALA YA ALASIRI

Mudir wa Al Madrasatul Khayriyyatul Hassaniya  Shekhe Uwesu Kibosha Mzee kwa niaba ya familia yake anawashuku ndugu wote...
05/04/2026

Mudir wa Al Madrasatul Khayriyyatul Hassaniya Shekhe Uwesu Kibosha Mzee kwa niaba ya familia yake anawashuku ndugu wote, jamaa na marafiki wote kuja kujumuika nao kushiriki katika dua ya Khitma ya aliyekuwa mke wake Marehemu Bi Mwanaisha Bakari iliyofanyika leo April 05,2026 nyumbani kwake Magomeni Mikumi.

Mwenyezi Mungu awajaze kheri 🤲

Mwenyezi Mungu awahifadhi wazee wetu 🙏
05/04/2026

Mwenyezi Mungu awahifadhi wazee wetu 🙏

DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU BI MWANAISHA
01/04/2026

DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU BI MWANAISHA

24/02/2026

LEO NI RAMADHAN YA 6
HAULI YA USTADH ALHAD OMAR KAWAMBWA

ITAFANYIKA SAA KUMI MASJID KICHANGANI BAADA YA SWALA NA DARSA LA SHEKH WALID

KWA ASIYEWEZA KUFIKA AMSOMEE IKHLAAS NA SWALA ZA MTUME ZIMFIKIE mwalim wetu huyu

MTUME NA WATU WA MAKKA wakauliza Tena wale watu haya tuambie kuhusu misafara inayokuja huku maka ? Mtume akawatajia misa...
17/01/2026

MTUME NA WATU WA MAKKA
wakauliza Tena wale watu haya tuambie kuhusu misafara inayokuja huku maka ? Mtume akawatajia misafara yote aliyokutana nayo inakuja maka na mpaka siku watakayofika maka na saa yake
Msafara mmoja ambao mtume alisema utafika siku ya jtano ukachelewa kufika basi MAQURAYSH wakajitokeza kwenda kuisubiri muda ulikwenda na msafara haujatokea ..Allah hakutaka mtume wake aadhirike akausogeza muda nyuma kwaajili ya mtume Muhammad mpaka ule msafara ukatokea
Basi hapo MAQURAYSH wakaanza kuiuliza Ile misafara Yale yote waliyoambiwa na mtume ...wale wasafiri WAKAJIBU k**a alivyoeleza mtume haikutosha hiyo basi wale MAQURAYSH WAKAMUONA MTUME MUHAMMAD NI MCHAWI na wakasema
Amesema KWELI WALID kuwa Muhammad ni mchawi na hapo
ALLAH AKATEREMSHA AYA 30 KATIKA SURAT ISRAA

MWISHO wa KISA CHA ISRAA NA MIRAJI

MTUME YUPO NA WATU WAKE MAKKA Wale watu wakaanza kumuuliza mtume masuali ambayo yatawafanya wamuamini "Haya Muhammad tue...
17/01/2026

MTUME YUPO NA WATU WAKE MAKKA
Wale watu wakaanza kumuuliza mtume masuali ambayo yatawafanya wamuamini
"Haya Muhammad tuelezee SIFA za hiyo BAYTIL MAQDIS majengo na mapambo yake yapoje?" MTUME akawajibu k**a ilivyo LAKINi bado hawakumuamini Tena wengine wakasafiri kwenda kuthibitisha alichosema mtume ni KWELI au sikweli
MTUME aliwajibu Kila alichoulizwa kuhusiana na BAYTIL MAQDIS mpaka ikafika muda akawa anasahau basi hapo Allah akamletea mtume wake BAYTIL MAQDIS akawa anaiona k**a vile KWENYE TV NA mtume AKAENDELEA kuwajibu
Abubakar akasema UMESEMA KWELI EWE MUHAMMAD MIMI NASHUHUDIA KWAMBA WEWE NI MKWELI
wakasema Tena wale watu "hizi SIFA umepatia ila sisi HATUKUAMINI WALA HATUKUBALI
Wakawa wale watu wanamshawishi Abubakar amkatae mtume
Abubakar akasema mimi namkubali Muhammad akisema haya au zaidi ya haya namkubali akinipa habari za MBINGUNI IKIWA amekwenda jioni au mchana wake mimi huyu namkubali tu

MTUME AMEFIKA MAKKA MTUME alipowahadithia wale watu Kuna kati Yao waliomuamini na wengine hawakumuamini na wengine wakao...
17/01/2026

MTUME AMEFIKA MAKKA
MTUME alipowahadithia wale watu Kuna kati Yao waliomuamini na wengine hawakumuamini na wengine wakaona jambo hili ni la AJABU MNO
Akasema MUT'IM BIN ADIYYI kumwambia mtume kuwa KILA MANENO ULIYOYASEMA KABLA YA LEO NI YA UONGO ILA YANA AFADHALI ISPOKUW MANENO YAKO YA LEO NI UONGO WA WAZI KABISA MIMI NASHUHUDIA KWAMBA WEWE NI MUONGO SANA unakwendaje safari ambayo sisi tunatumia miezi mitatu mpaka miwili eti wewe utumie usiku mmoja tu ?
Hapo akasogea SWAHABA ABUBAKAR SWIDIQ na kumshangaa jinsi mut'im anavyomsuta mtume bila haya Wala AIBU na kumwambia MIMI NASHUHUDIA HAKIKA MUHAMMAD NI MKWELI HAONGOPI na hapo ndipo lilipokuja jina la *ABUBAKAR SWIDIQ* jina lake asili ni ABDULLAH BIN ABUU QUHAFA

SAFARI YA MTUME KURUDI MAKA MTUME alifika maka kabla hapaja pambazuka Akakaa barazani Kwa HUZUNI na kuwaza je akiwaambia...
17/01/2026

SAFARI YA MTUME KURUDI MAKA
MTUME alifika maka kabla hapaja pambazuka
Akakaa barazani Kwa HUZUNI na kuwaza je akiwaambia watu wake watamuamini Juu ya safari hiyo ya ajabu
Wakati anaendelea kuwaza akapita ABUU JAHAL akamuuliza mtume Kuna khabari gani Leo ? MTUME akamuelezea kuwa NIMECHUKULIWA NIKAPELEKWA MPAKA BAYTIL MAQDIS KWA USIKU MMOJA na kurudi alfajiri kabla hapajapambazuka
ABUU JAHAL akaona huu ni uongo mkubw kuliko uongo ambao umewahi kutudanganya KWA KUWA safari ya kutoka maka mpaka PALESTINA tunakwenda Kwa mwezi na kurudi Kwa mwezi mmoja wewe umeendaje Kwa usiku mmoja Tena ukarudi kabla ya watu kuamka ..?
Abuu jahali akaita watu ili wamsikie MUHAMMAD uongo wake.watu walipofika mtume akaongea k**a alivyomwambia abuu jahali bila ya kubadilisha maneno

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Khairiyya Islamic Center posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share