TAG ILALA Missions Centre

TAG ILALA Missions Centre DIRA
“Kuwa Kanisa litakalofanya Mataifa yote kuwa wanafunzi wa Yesu, likiwabatiza kwa jina la baba

Wakati mwingine changamoto za maisha zinasukuma moyo kukata tamaa, lakini leo tumekumbushwa kuwa bado ipo amani na ushin...
06/09/2026

Wakati mwingine changamoto za maisha zinasukuma moyo kukata tamaa, lakini leo tumekumbushwa kuwa bado ipo amani na ushindi tele. Hata uwe umepita kwenye kiasi gani cha maumivu au kushindwa, usikate tamaa.

Mark 9:25 - Naye Yesu akiona ya kuwa mkutano unakusanyika mbio, akamkemea yule pepo mchafu, akamwambia, Ewe pepo bubu na kiziwi, mimi nakuamuru, mtoke huyu, wala usimwingie tena.

Mbarikiwe sana! Leo tarehe 30 Agosti 2026 tumepata neema ya kukusanyika na kuabudu pamoja. Ujumbe wa leo umetukumbusha m...
30/08/2026

Mbarikiwe sana! Leo tarehe 30 Agosti 2026 tumepata neema ya kukusanyika na kuabudu pamoja. Ujumbe wa leo umetukumbusha msingi mkuu wa kanisa: UMOJA. Sisi ni mwili mmoja katika Kristo, na nguvu yetu ipo katika kuunganisha mikono ili kuifanya kazi ya Mungu. Tukiwa wamoja katika imani, hakuna kinachoweza kutuzuia kuhubiri Injili na kuleta mabadiliko. Mungu atutie nguvu katika safari hii! 🙏🏽 Maandiko: Waefeso 4:4-5

Mbarikiwe sana! Leo tarehe 30 Agosti 2026 tumepata neema ya kukusanyika na kuabudu pamoja. Ujumbe wa leo umetukumbusha m...
30/08/2026

Mbarikiwe sana! Leo tarehe 30 Agosti 2026 tumepata neema ya kukusanyika na kuabudu pamoja. Ujumbe wa leo umetukumbusha msingi mkuu wa kanisa: UMOJA. Sisi ni mwili mmoja katika Kristo, na nguvu yetu ipo katika kuunganisha mikono ili kuifanya kazi ya Mungu. Tukiwa wamoja katika imani, hakuna kinachoweza kutuzuia kuhubiri Injili na kuleta mabadiliko. Mungu atutie nguvu katika safari hii! 🙏🏽 Maandiko: Waefeso 4:4-5 🙏

Mungu wa mababu zako ameuona mateso yako, amesikia kilio chako, na leo anashuka kukutoa katika kila ukuta wa vikwazo! (K...
23/08/2026

Mungu wa mababu zako ameuona mateso yako, amesikia kilio chako, na leo anashuka kukutoa katika kila ukuta wa vikwazo! (Kutoka 3:7-8). Hata katikati ya kichaka kinachowaka moto bila kuteketea, Mungu anakutana nawe mahali pako pa kawaida ili kukupa mwanzo mpya na kusudi kuu. Yeye ni 'MIMI NIKO AMBAYE MIMI NIKO'—Mungu asiyebadilika, mwenye uwezo wa kukuvusha katika kila jaribu na kukupeleka kwenye nchi ya ahadi. Usiangalie unyonge wako au udhaifu wako; Mungu akikutuma, uwepo wake unatosha kuwa ushindi wako

🌅Ujumbe 📨
Ibada ya jumapili ya Leo tarehe 23 -08-2026.

JINSI YA KUSHINDA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO.Ujumbe wa ibada ya jumapili ya Leo tarehe 16/08/2026 ilikuwa ni siku nyingine...
16/08/2026

JINSI YA KUSHINDA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO.
Ujumbe wa ibada ya jumapili ya Leo tarehe 16/08/2026 ilikuwa ni siku nyingine njema ya kupokea neno la Mungu, na kusikia kile ambacho amekusudia kutufundisha.

Waefeso 6:10-12 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

Sifa na kuabudu,ibada ya kwanza siku ya leo jumapili ya tarehe 16Aug2026Waefeso 6:10-12   Hatimaye, mzidi kuwa hodari ka...
16/08/2026

Sifa na kuabudu,ibada ya kwanza siku ya leo jumapili ya tarehe 16Aug2026

Waefeso 6:10-12 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

Ujumbe wa ibada ya siku ya leo ilikuwa ni jinsi ya kushinda hila za shetani."Adui akitaka kulidhoofisha Kanisa, anajarib...
09/08/2026

Ujumbe wa ibada ya siku ya leo ilikuwa ni jinsi ya kushinda hila za shetani.
"Adui akitaka kulidhoofisha Kanisa, anajaribu kupoza moto wa maombi na kuingiza utengano. Lakini siri ni moja: Unapoongeza Upendo, Maombi, na Kujifunza Neno la Mungu, hila za shetani zinapoteza nguvu hapo hapo. Simama kwenye zamu yako, kulinda mwili wa Kristo"

Ibada ya jumapili || Sifa na kuabudu || Ibada ya kwanza|| Tarehe 09/08/2026
09/08/2026

Ibada ya jumapili || Sifa na kuabudu || Ibada ya kwanza|| Tarehe 09/08/2026

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255713776128

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TAG ILALA Missions Centre posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share