07/07/2022
Jumapili ya tarehe 10 mwezi huu wa Saba nitakuwa Kondoa mjini kwa ajili ya huduma kwenye kanisa la FPCT KONDOA MJINI.
Nakukaribisha Sana sana.
CHANZO CHA HOFU NA KUTOKUFANIKIWA KATIKA MAISHA NI KUTOTAMBUA WEWE NI NANI NA NINI THAMANI YAKO.
Mwanzo 1:26
[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth.
*Usijidharau,thamani yako ni kubwa Sana.
*Thamani yako unaitafuta/unaijua unapoanza kuchunguza na kujua kuhusu asili yako.
*Jinsi roho yako alivyoiumba Kuna vitu ambavyo aliviweka vya asili yake ambavyo
1.Sura yake
2.Mfano wake
3.Nguvu ya kutawala/kumiliki.
Kwa picha hiyo unaweza kuelewa kwanini Mungu anamwita mwanadamu "mungu" na yeye mwenyewe ni Mungu wa "miungu"
Zaburi 82:6
[6]Mimi nimesema, Ndinyi miungu,
NA
Yohana 10:34-35
[34]Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu?
[35]Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka);
NB:Kila mwanadamu liyekombolewa toka utumwa wa dhambi/aliyeokoka sawa na Yohana 10:35 anarudishiwa asili ya uungu iliyopotea pale Edeni.
English Translation.
*Don't undermine yourself/despise/put down yourself,you are highly precious.
*You get your value when you start evaluating your genesis/origin
*The way He created your spirit,He put things which carry His origin which are
1:His image
2.His likeness
3.Power of Dominion
With this view,you can now know why God calls human "god" and Himself is a God of "gods"
Psalm 82:6
[6]I have said, Ye are gods; and all of you are children of the most High.
&
John 10:34-35
[34]Jesus answered them, Is it not written in your law, I said, Ye are gods?
[35]If he called them gods, unto whom the word of God came, and the scripture cannot be broken;
These and much more,on Sunday morning of 10th July 2022 at FPCT CHURCH,KONDOA TOWN,DODOMA TANZANIA,will be spoken in detail.If you are in town do'nt miss.
For those away i promise you not much longer you will be able to access the teachings from our YouTube Channel which will be created,pray for that.
You are unique despite what they told you,relie on God's information about you and not people
Wewe ni wa pekee,tegemea vile Mungu anavyosema kuhusu wewe na si wanadamu.
I love you/Nawapenda
God bless you/Mungu awabariki.
Your brother,
Cosmas Karoly
Dar Es Salaam
Tanzania.
[email protected]
WhatsApp # (+255) 621 846 755.