20/01/2022
Wajumbe wa Kamati ya Dini mbalimbali
Wilaya ya Kasulu pamoja na Mratibu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Jmii iliyoboreshwa (iCHF)kutoka Halmashauri ya Mji wakiwa katika zahanati ya Kijiji cha Kanazi wilayani humo, mara baada ya kufanya zoezi la kuhamasisha wananchi kijiunga katika Mfuko huo . Shughuli hiyo imeratibiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania(TEC) kwa Ufadhiri wa wa Norwegian Church Aid(NCA)