Pete Ya Muhuri Int'l Ministries

Pete Ya Muhuri Int'l Ministries Pete Ya Muhuri Int. Ministries is the place of Sonship, Kingship, Inheritance and the Spirit of Lord of Host and Peace. ☆Objectives :
1.

"To prepare Sons, Heritage and Heirs of God, Priesthood Kings, who walk in the Spirit and Power and the Spirit of the Lord of Hosts and Peace."

2. "To prepare the Sons of God for CHRIST Jesus to reign with Christ when He comes the Second time for us (the Church) / his brethren."

☆Malengo :
1. "Kuwaanda Wana , Urithi na Warithi wa Mungu, Wafalme wa Kikuhani, wanaotembea katika Roho na Nguvu na R

oho wa Bwana wa Majeshi na Amani."

2. "Kuwaanda Wana wa Mungu katika KRISTO Yesu Kutawala pamoja na Kristo atakapo kuja mara ya Pili kwaajili ya sisi (Kanisa)/ ndugu zake."



☆Mission :
We have only one subject "...To know Jesus Christ and Him Crucified." 1 Corinthians 2:2 NKJV. He is our project in the World.

☆Utume :
Utume wetu ni mmoja tu "...Kumjua Yesu Kristo, Aliyesulubiwa." [1 Wakorintho 2:2] Tafsiri Biblia ya NENO. Yesu Kristo ndiyo Mradi wetu pekee duniani.

Ulishawahi kujiuliza kwanini watu wengi maarufu wanapokuwa kizuizini hutoka wakiwa imara zaidi? Wengi huandika vitabu na...
14/05/2026

Ulishawahi kujiuliza kwanini watu wengi maarufu wanapokuwa kizuizini hutoka wakiwa imara zaidi? Wengi huandika vitabu na maono yao huimarishwa zaidi. Si kila kizuizi kinakumaliza- HAPANA vingine vinakuimarisha zaidi katika maono. Ni uelewa tu wa nyakati.

Neema ya Mungu ya kuishi kabla ya mahitaji yetu ni Neema inayotupatia akili ya utulivu ambayo ndio nguvu, uweza na hekim...
14/05/2026

Neema ya Mungu ya kuishi kabla ya mahitaji yetu ni Neema inayotupatia akili ya utulivu ambayo ndio nguvu, uweza na hekima ya kutiisha fedha. [2 Kor 9:8]

The grace of God of living before our needs is the grace that gives us a sound mind which is the power, strength and wisdom to subdue money. [2 Cor 9:8]

Injili ya Yesu Kristo ni suluhisho la Elohim dhidi ya dhambi ambayo ilipoingia dunia kupitia Adamu wa kwanza pale eneo l...
14/05/2026

Injili ya Yesu Kristo ni suluhisho la Elohim dhidi ya dhambi ambayo ilipoingia dunia kupitia Adamu wa kwanza pale eneo la Elohim mashariki mwa bustani ya Eden ikasababisha uzao wote wa Adamu wa kwanza wa kimwili tuwe chini ya sheria dhambi na mauti.

“Ofisi na Karama ya Unabii inapofunua KWELI wana wa Mungu hukua na kukomaa katika kuishi Maono ya Mungu hapa duniani.”1 ...
14/05/2026

“Ofisi na Karama ya Unabii inapofunua KWELI wana wa Mungu hukua na kukomaa katika kuishi Maono ya Mungu hapa duniani.”
1 Tim 1:18.

Je WajuaWokovu unafunua kwamba baada ya Yesu Kristo kufa na kufufuka, dhambi kuu si udhaifu wa mwanadamu bali ni kutokum...
14/05/2026

Je Wajua
Wokovu unafunua kwamba baada ya Yesu Kristo kufa na kufufuka, dhambi kuu si udhaifu wa mwanadamu bali ni kutokumwamini Kristo Yesu. Badilishwa ufahamu wako sasa.
Yohana 16:7-11

Kwa kupitia Wana na Urithi wake, Mungu Baba amekusudia mema mengi juu ya nchi ili wokovu upate kufika kwa watu wote. [Ru...
13/05/2026

Kwa kupitia Wana na Urithi wake, Mungu Baba amekusudia mema mengi juu ya nchi ili wokovu upate kufika kwa watu wote. [Rum 8:28-30]

Through His Sons and heir, God the Father has prepared many good things here on earth so that salvation may come to all people. [Rom 8:28-30] [Ps 75:6]

Wazo ni ustawi.Wazo ni utajiri.
13/05/2026

Wazo ni ustawi.
Wazo ni utajiri.

Wakati unakuja ambapo kusimamiwa kunageuka kusimamia- huo ndio ukomavu wa mwana.
13/05/2026

Wakati unakuja ambapo kusimamiwa kunageuka kusimamia- huo ndio ukomavu wa mwana.

Jumba la malisho tunamsherekea mwana na urithi mwenzetu wa baraka za Mungu Baba pamoja na Yesu Kristo na watakatifu wote...
13/05/2026

Jumba la malisho tunamsherekea mwana na urithi mwenzetu wa baraka za Mungu Baba pamoja na Yesu Kristo na watakatifu wote ndani yake Kristo Yesu. Tunamsherekea kwa utajiri wa Roho wa Kristo na karama zake na karama za masaidizano. Careen ni mwandishi wa vitabu vya Ufalme wa Mungu, vitabu vya kutia moyo na kuwahamasisha watoto wenzake katika mafanikio, vitabu vya kutangaza utajiri wa nchi yetu Tanzania na mwandishi na mtunzi wa nyimbo mbalimbali za Ufalme wa Mungu.

Maana halisi ya wokovu ni kutengwa toka katika mfumo wa maisha ya duniani  au mwilini ili tuishi mfumo wa ufalme wa Mung...
13/05/2026

Maana halisi ya wokovu ni kutengwa toka katika mfumo wa maisha ya duniani au mwilini ili tuishi mfumo wa ufalme wa Mungu Baba katika Kristo Yesu.

Je WajuaWokovu ni kuzaliwa mara ya pili; kutoka mfumo wa maisha ya kitumwa yaletayo hofu kwenda mfumo wa maisha ya ufalm...
13/05/2026

Je Wajua
Wokovu ni kuzaliwa mara ya pili; kutoka mfumo wa maisha ya kitumwa yaletayo hofu kwenda mfumo wa maisha ya ufalme yanayotuthibitisha mamlaka ndani ya Kristo Yesu.
Kolosai 1:13-14KB

Address

Sinza-Remy
Dar Es Salaam
TIME12:00PMTO06:00PM

Opening Hours

Monday 06:00 - 18:00
Tuesday 06:00 - 18:00
Wednesday 06:00 - 18:00
Thursday 06:00 - 18:00
Friday 06:00 - 18:00
Saturday 07:00 - 18:00

Telephone

+255742250090

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pete Ya Muhuri Int'l Ministries posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Pete Ya Muhuri Int'l Ministries:

Share