12/05/2023
Maombi:
1. Mshukuru Mungu kwa ajili ya mfungo wa mwaka jana, maana Yeye amekuwa mwema kwetu na hata tumeona akijibu maombi yetu.
1 Mambo ya Nyakati 16:8 “Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake; Wajulisheni watu matendo yake.” 34 “Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.”
2. Zaburi 54:2 “ Ee Mungu, uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu.” Omba Mungu asikie na ayaridhie maombi yako yote utakayopeleka mbele zake ndani ya mwezi huu wa kufunga na kuomba.
3. Yeremia 17:14 “Uniponye, Ee Bwana, nami nitaponyeka; uniokoe, nami nitaokoka; kwa maana wewe ndiwe uliye sifa zangu.”
Muombe Mungu akaponye na kukomboa Kanisa, familia yako na hata nchi kwa ujumala.
Zaburi 69:13 “Nami maombi yangu nakuomba Wewe, Bwana, Wakati ukupendezao; Ee Mungu, Kwa wingi wa fadhili zako unijibu, Katika kweli ya wokovu wako.”
Zaburi 102:2 “Usinifiche uso wako siku ya shida yangu, Unitegee sikio lako, siku niitapo unijibu upesi. Maana siku zangu zinatoweka k**a moshi, Na mifupa yangu inateketea k**a kinga.”
Mwezi huu Bwana anakwenda kukujibu kwa wepesi.
4. Muombe Bwana kusiwepo na kizuizi chochote kitakachopingana na ratiba ya mfungo ndani ya mwezi h