18/04/2023
Tuna kukaribisha katika Swala ya Eid al-Fitr
Siku ya Eid itakuwa
Jioni ya Alhamisi, Apr 20, 2023 au Jioni ya Ijumaa, Aprili 21, 2023.
Waislamu wote wa Dar es salaam hususwa wakazi wa Kimara Baruti, Kimara Korogwe na Kimara Mwisho, Swala ya Eid itaswaliwa viwanja vya Msikiti wa 'Baabul-Ilmi' uliopo karibu na chuo cha Afya ya KAM College, maarufu k**a BAKIIF Islamic.
Tunakuomba kuhudhuria katika Swala hii hapa Msikitini, ukiwa wewe pamoja na familia yako, pia ''Zakatil Fitir'' itafanyika kuwapa wahitaji hapa Msikitini.
BAKIIF Islamic
0755 351 262