The Power Of Grace International Church

The Power Of Grace International Church The power of grace international church,here we are for learning God's word which influence you to receivi restoration,prayers,healing and get reedems

07/11/2019
Don’t miss it!!!
23/05/2019

Don’t miss it!!!

Don’t miss it!! (USIKOSE)
07/05/2019

Don’t miss it!! (USIKOSE)

Don’t miss it!!!!
01/05/2019

Don’t miss it!!!!

Karibuni sana kwenye Maombi!!
08/04/2019

Karibuni sana kwenye Maombi!!

08/04/2019

WAEFESO 5;20

20 na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo;

10/03/2019

Mwanafunzi na amshirikishe mkufunzi wake katika mema yote.
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.
Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.
Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.
Wagalatia 6:6-10

27/02/2019

22 Ni huruma za Bwana kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.
23 Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu.
24 Bwana ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, Kwa hiyo nitamtumaini yeye.
25 Bwana ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.
26 Ni vema mtu autarajie wokovu wa Bwana Na kumngojea kwa utulivu.
Maombolezo 3
Amen!!

22/02/2019

10 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Isaya 41 :10

11 Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.
Isaya 41 :11

12 Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa k**a kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako.
Isaya 41 :12

13 Kwa maana mimi, Bwana, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.
Isaya 41 :13
Amen!!

22/02/2019

10 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Isaya 41 :10

11 Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.
Isaya 41 :11

12 Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa k**a kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako.
Isaya 41 :12

13 Kwa maana mimi, Bwana, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.
Isaya 41 :13
Ameen!!

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Power Of Grace International Church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share