29/06/2022
*Date: Jun 28, 2022*
*Subject: NENO KUU DAY 04*
*SOMO* : ```UKWELI JUU YA MUNGU WA KWELI```
_MHUDUMU: PR. DAVID MADUHU MAKOYE_
*JE, Kuna miungu wangapi?*
Yohana 14:6
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
*MUNGU wa kweli ni Muunganiko wa nafsi tatu za milele anaestahili Kuabudiwa, Kusujudiwa na Kuogopwa*
```NI AJABU SANA KUONA WANADAMU WAKIABUDU, WANYAMA, AMA MITI MIKUBWA AU MILIMA MIREFU, TENA CHA AJABU SANA UTAKUTA MTU ANAABUDU KINYAGO ALICHOKICHONGA MWENYEWE😭😭```
_SIFA ZA MUNGU WA KWELI NA MUUMBAJI_
*1.NI MUNGU ANAEJUA KILA KITU(OMNISCIENT)*
>>>Hafungwi wala hazuiliwi na kitu, hahitaji kujifunza chochote, yeye hufahamu mambo yote meisho wake hata kabla ya kuwake, Ni Mwenye Ufahamu na Hekima yote
```2.MWENYE UWEZA WOTE(OMNIPOTENT)```
>>>
Ana uwezo unaopita ukomo na unaopita mipaka ya bunadamu
>>>Hakuna nguvu ya asili iliyowahi kuwashinda wanadamu na ikamshinda Mungu🧏
```3.YUPO KILA MAHALI KWA WAKATI MMOJA(OMNIPRESENT)```
>>>>Hivyo ndivyo alivyo, yeye hana chanzo wa asili na jina lakeni YEHOVA, Na hakuna kitu chochote chenye kuwa na sifa hizo tatu
```Kumbukumbu la torati 6:```
*5 Nawe mpende Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.*
>>>>Hatuwezi kumpenda Mungu tusiemfahamu, Sharti tumfahamu kisha tumpende
_USHAHIDI UNAOONYESHA UWEPO WA MUNGU NA KWELI_
*1.KITABU CHA MAUMBILE YA ASILI, YAANI MAUMBO YA KILA KITU UNACHOKIONA INATOSHA KUKUFAHAMISHA KUWA YUPO DESIGNER*
*2.KATIKA MAANDIKO YAKE, YAANI BIBLIA*
>>>>>>MAANDIKO HAYATHIBITISHI UWEPO WA MUNGU BALI HUCHUKULIA KUWA MUNGU YUPO NA INAFAHAMILA TU.
*3.USHAHIDI KUTOKA KATIKA MAJINA*
>>>Kwa mfano kwa kisukuma
Welelo,Mgasa, Mdimi....Haya yote huthibitisha kuwa Mungu yupo.
```MUNGU AKUBARIKI SANA, KARIBU TENA.