Agape Centre Habari

Agape Centre Habari Karibu kwenye ukurasa Rasmi wa Facebook wa Agape Centre, Shule ya Kanisa Katoliki ya Biblia Ufuasi na Uenezaji Injili. Karibu sana.

DAY 2MAOMBI YA KUBOMOA UKUTA WA YERIKO. Leo Tarehe 17.08.2026Ni siku ya Pili ya Maombi ya kubomoa ukuta wa Yeriko. Hudum...
17/08/2026

DAY 2

MAOMBI YA KUBOMOA UKUTA WA YERIKO.

Leo Tarehe 17.08.2026
Ni siku ya Pili ya Maombi ya kubomoa ukuta wa Yeriko.

Huduma itaanza saa 9:00 Alasiri Hadi saa 12:00 Jioni.
Jitahidi kuwahi kabla ya muda huo ili tuanze pamoja. Itafanyikia Agape Centre, Mbezi, Kibanda cha mkaa.

Ni siku ya pili
utazunguka tena Yeriko yako na Mungu atatenda makuu.

Don't Miss it's for Seven days only.

16/08/2026

MAOMBI YA KUBOMOA UKUTA WA YERIKO
Yanaendelea

kesho Jumapili huduma inaanza
15/08/2026

kesho Jumapili huduma inaanza

14/08/2026

MAOMBI YA KUBOMOA UKUTA WA YERIKO 🔥🔥🔥KWA SIKU SABA.

Jericho prayer for breaking Jericho walls, Don't Miss this Ministry.
13/08/2026

Jericho prayer for breaking Jericho walls, Don't Miss this Ministry.

13/08/2026
COURSE JOHN
11/08/2026

COURSE JOHN

7 DAYS FOR BREAKING JERICHO WALL
11/08/2026

7 DAYS FOR BREAKING JERICHO WALL

SIKU SABA ZAMAOMBI YA KUBOMOA UKUTA WA YERIKO Ni Maombi ya aina yake ambayo yatakupatia nafasi ya kubomoa ukuta ambao ua...
10/08/2026

SIKU SABA ZA

MAOMBI YA KUBOMOA UKUTA WA YERIKO

Ni Maombi ya aina yake ambayo yatakupatia nafasi ya kubomoa ukuta ambao uanzuia hatima katika mambo yako yote uyafanyayo.
ni Kuanzia Tarehe 16 hadi 22/08/2026.
yatafanyikia Agape Centre, Mbezi, Kibanda cha mkaa.
kuanzia saa 9: 00 Alasiri Hadi saa 12:00 Jioni.
karibuni sana

KATIKA PICHA Ni wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu lililofanyika Kituo Cha Agape, Misa iliongozwa na Mlezi msaidizi wa...
09/08/2026

KATIKA PICHA

Ni wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu lililofanyika Kituo Cha Agape, Misa iliongozwa na Mlezi msaidizi wa Agape, Padre Robert Mdhambia, na Mlezi wa Kituo Cha Agape, Padre Dieudonne Makiala pamoja na Mlezi msaidizi wa Kituo Cha Agape Padre Phelim Malumo.
pia katika Misa hiyo tulikumbuka na kumpongeza Madam Stella Mitti ambaye amesherehekea miaka Thelathini ya utumishi katika Kituo Cha Agape.

Address

Mbezi Kibanda Cha Mkaa
Dar Es Salaam
255746722484

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Agape Centre Habari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share