Masjid Noor Mbezi Louis

Masjid Noor Mbezi Louis Huu ni ukurasa maalumu wa Masjid Nnoor Mbezi Louis.karibu kwa maoni,maswali na ushauri kuhusu Uislamu wetu Mbezi na Tanzania kwa ujumla.

Namba ya Mchango

0710058620

Jina Almasjid Nuru Mbezi Luisi

Taarifa ambayo huenda wengine wanaisikia kwa mara ya kwanza!!Mtu aliyefariki (aliyeonekana kwenye picha) wanasaliwa juu ...
14/09/2025

Taarifa ambayo huenda wengine wanaisikia kwa mara ya kwanza!!
Mtu aliyefariki (aliyeonekana kwenye picha) wanasaliwa juu yake akiwa uso wake uko wazi ndani ya Msikiti Mtukufu wa Makka (Al-Haram) … Je, ni kwa nini?

👉Kwa sababu alikufa akiwa amehirimia. Na yeyote atakayekufa akiwa katika Ihram, awe ni kwa ajili ya Umra au Hija, hufunikwa kwa sanda yake huku uso na kichwa vikiwa wazi.

Hii imekuja kwa Sunnah ya Mtume (s.a.w)
Mtume (s.a.w), alipofariki mtu akiwa katika Ihram, alisema:

“Mvikeni sanda kwa nguo zake mbili, wala msifunike kichwa chake wala uso wake, kwani atafufuliwa Siku ya Kiyama akiwa anatamka Talbiya.(Yaani LabbaykaLlahuma labbayka, Labbayka laa shariika laka Labbayka.....)

🤲🏻♥️ Ee Mwenyezi Mungu, utuhitimishie kwa kheri, na utufishe hali ya kuwa Wewe umeridhika nasi na utupe mwisho ulokuwa Mwema, Aamiin yaa Rabb🤲🤲🤲

24/02/2025

Ndugu waislam ,ujenze wa msikiti wetu utakaokua n ghorofa 7 unaendelea na sasa tunapandisha ghorofa ya pili

24/02/2025

*ORODHA YA WAUMINI WALIO AHIDI KUCHANGIA KILA MWEZI UPANDE WA KINA BABA NI* NA WALIO LIPA KUPITIA No
0710 058620
Jina Almasjid Nuru Mbezi Luisi.

1.ABDALLAH MHSAMVU 10,000/=

2. HAMIS JUMA AHMAD. 30,000/=

3.SHABANI SELEMANI 15,000

4.SAID AHMADI KANYAMALA 30,000

5.ABDUL MWINYI.
10000

6.SALUM HUSEIN.10,000

7.HATIBU HEMEDI. 20,000

8.SAID B. MOHAMED 5,000

9.RAJABU JUMA MHANDO. 10,000

10.AMIRI H. ATHUMAN MUNGA. 10,000

11.M***A H RINDANO 50,000

12.M***A MOHAMED 10,000

13.M***A JUMA MHANGE 5,000

14.M***A MRISHO 5,000

15. KHANAFI. 500

16. RAHIM IDDI. 5000

17.KASSIM HAMIS. 5000

18. SKAY DAUDI LIHIYO. 10,000

19.HASSAN OMARY MAGANGA 5,000/=

20.SALUM OMARY KOMB0. 20,000

21.KHALID HASSAN. 5,000

22.M***A R. MGAYA. 5,000

24.ALLY H. MSHICHATI. 15,000

25.HAMIS O. HUSEIN 10,000

26.MOHAMED KHALID. U10,000

27.JAFARI H. MSHANA. 5,000

28.ALLY M. SELEMAN. 5,000

29.SHABAN R. ALLY 2000

30.RAJABU TELLACKY RAJAB 10,000

31. RAMADHANI K. KIKARI 10,000

32.ABDALLAH JUMA HASAN. 10,000.

33.SALUM K. SELEMAN. 10,000

34.SHABAN ABDALLAH. 10,000

35.MAJALIWA YASSIN. 10,000.

36.ABDUL Z. ADAM. 10,000

37.ALFAN H. ATHUMAN 5,000

38.IDRISA L. KYARUZI 10,000.

39.SEIF ISSA. 10,000

40.IMANI MIGOMBA. 5,000.

41. SELEMAN MBOGA 10,000.

42.HASHIM MGANGE. 10,000.

43.MUAMINI RAMADHAN. 15,000.

44.JAMALY ALLY ABDALLAH 10,000.

45.NASORO FARAHANI. 10,000

46.HAMIS YAHYA. 10,000

47.BADRU ABDULRAHMAN. 50,000.

48.HASSAN OMARY. 5,000

49.SELEMAN KASSIM. 15,000.

50.SADIKI M***A. 10,000.

51.HUSEIN SAIDI. 10,000

52. ABDUL J. BILINGI. 5,000

53. RAJABU OMARY. 5,000.

54. M***A JUMA. 5000

#55.BOROGIRE OMARY. 5,000

56.NASSORO AYOUB. 5,000

57.KITWANA KINYOGOLI 10,0000

58.RAJABU KISAILO. 5,000

59.SELEMAN OMARY. 5,000

60.NURDIN ISAYA 5000

61.ABDUL KARIM 6000

62.ZUBER KHATIB MWAGILO. 10,000

63.OMARY JUMA
MSHAURI 10, 000.

63.MOHAMED AWADHI. 5,000.

64.IZADIN J. KALOKOLA. 10,000

65.*YASSIN R *MYANZA 10,000*.

66. SULTAN R. MYANZA. 15,000.

67.JUMA HASSAN MKOMBO

11/12/2024

Ukiwa unaswali na watoto hakikisha unaweza kujizuia kucheka laasivyo itakua unaharibu swala zako ,maana watoto muda wote wao ni vituko tu.

06/08/2024

Ndugu waislam sadaka zetu za Awam ya jamvi zimetufikisha hapa tunaendelea na usimamishaji wa Nguzo hivyo tunawaomba ndugu muendelee kutoa sadaka zenu kupitia namba yetu ya Tigo Pesa 0719969023

06/02/2024

Karibu kwenye ujenzi wa msikiti mkubwa Mbezi Louis karibu na stand ya magufuli,
Weka akiba yako akhera hata kwa tofali moja

Ndugu Waislam tunaendelea kuomba michango yenu ya dhati kwakua hatua tuliyofikia inahitaji zaidi fedha ili walau tufunik...
05/02/2024

Ndugu Waislam tunaendelea kuomba michango yenu ya dhati kwakua hatua tuliyofikia inahitaji zaidi fedha ili walau tufunike jamvi letu ikhwaaan mnaombwa kwa walio mbali mtume kupitia 0710058620 jila la Almasjid Nuru mbezi Luis. kwa wale mlio karibu tunawakaribisha Muone hatua na juhudi zetu zilipofikia.

02/02/2024

Tunnajenga nyumba ya Allah ghorofa Saba kwa michango ya waumini wenyewe.

Karibun Waislam kote Duniani

Mashallah Hongera kwetu sote tuliokua tukichangia hatua hiii ya ujenzi wa Nyumba ya Allah Masjidi Nuru Mbezi Luisi. hatu...
02/02/2024

Mashallah Hongera kwetu sote tuliokua tukichangia hatua hiii ya ujenzi wa Nyumba ya Allah Masjidi Nuru Mbezi Luisi. hatua tuliyo fikia baada ya kukusanya fedha na vifaa ni hiyo Tunataraji muda mfupi ujao kumwaga Jamvi, lakin ndugu waumini Tumekwama kwenye fedha ya Ufundi (labour charge )Ambayo inahitajika Tsh 17,000,000/= milion kumi na saba, na k**a mnavyoona mafundi wako moto hivyo ndugu zangu Tunawaomba Muendelee kutuma Michango yenu kupitia namba yetu ya Tigo pesa 0710058620 kwa jina la Almasjid Nuru mbez luis Fedha hizi zinahitajika kwa haraka na namna ya kuzipata ni kupitia kujitoa kwetu ndugu zangu Tunawaomba Mutume michango yenu na k**a kuna mtu tunamjua anaweza kutushika mkono na kupata thawabu kwenye hili tunamkaribisha UJENZI BADO UNAENDELEA .UJENZI WETU NI WA GHOROFA TANO NA NDIO KWANZA TUMEANZA SHIME NDUGU ZANGU .

MIAKA 55 YA BAKWATARATIBA ya shughuli za maazimisho yatolewaRATIBA KAMILI YA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MIAKA 55 YA BAK...
14/12/2023

MIAKA 55 YA BAKWATA

RATIBA ya shughuli za maazimisho yatolewa

RATIBA KAMILI YA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MIAKA 55 YA BAKWATA HII HAPA......

🔷 17.12.2023

Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania -BAKWATA- Jumapili hii tarehe 17.12.2023 litaadhimisha kumbukizi ya miaka 55 tangu kuanzishwa kwake tarehe 17.12.1968 ambapo masheikh wa mikoa, makatibu, wenyeviti wa halmashauri za mikoa na wahasibu pamoja na wajumbe wa Halmashauri Kuu Bakwata Taifa watahudhuria.

Kwa mujibu wa Taarifa maalum ya katibu Mkuu Bakwata Alhaj Nuhu Mruma Waalikwa wengine ambao ni viongozi wa serikali, Mashirika, Makampuni na viongozi wa taasisi mbalimbali za kiislamu watahudhuria hafla hiyo maalum itakayofanyika kuanzia saa tatu asubuhi Bakwata makao makuu Kinondoni Shamba jijini Dar es salaam.

Siku hiyo pamoja na mambi mengine Katibu mkuu Bakwata atawasilisha taarifa ya maendeeleo pamoja na kuwasilisha mpango mpya wa maendeleo wa miaka 25 Wa Bakwata

🔷 16.12.2023

Kabla ya Maashimisho ya kilele tarehe 16.12.2023 Siku ya Jumamosi kutakuwa na semina ya Makadhi wa mikoa ambapo masheikh wa mikoa nao pia wamealikwa kwenye semina hiyo ambayo pia itaanza saa Tatu asubuni na kufunguliwa na Samaha M***i kwenye Ukumbi nambari moja wa Mfalme Mohammed VI Bakwata Makao Makuu.

✔ KIKAO CHA WAMILIKI WA SHULE ZA KIISLAMU TISOA.

Aidha sambamba na semina ya Makadhi kutakuwa na mkutano mkuu wa Mwaka wa Jumuia ya wamiliki wa Shule za kiislamu.

Mkutano huo ambao utafungwa saa nane mchana na Mh. Waziri wa Elimu utafanyika ukumbi nambari mbili wa Mfalme Mohammed VI hapohapo Bakwata Makao Makuu.

🔷 18 na 19.12.2023

Kwa mujibu wa naibu katibu mkuu Anayeshughulikia Utawala na Fedha Alhaj Mwenda Mwenda kutakuwa na semina elekezi itakayofanyika siku mbili baada ya killele cha maadhimisho ya miaka 55 ya Bakwata.

Amesema semina hiyo itakayofanyika tarehe 18 na 19 12.2023 itahudhuriwa na makatibu wa mikoa, wahasibu, wenyeviti na wajumbe wa halmashauri Kuu Bakwata Taifa.

Alhaj Mwenda amesema pamoja na mambo m

Sambaza chapisho hili ili liwafikie watu wengi zaidi k**a huna cha kuchangia basi hata kusambaza ujumbe itakua moja ya s...
31/08/2023

Sambaza chapisho hili ili liwafikie watu wengi zaidi k**a huna cha kuchangia basi hata kusambaza ujumbe itakua moja ya sadaka zako,kila atakesoma na kufanyia kazi ujenzi wa Nyumba ya Mungu utakua na ujira wako Kwa Allah wewe uliesambaza ujumbe huu..

MKATA MITIHapo zamani kulikuwa na Mkata Miti mahiri sana. Mkata Miti yule, alikwenda kuomba kazi kwenye Kiwanda cha Miti...
31/08/2023

MKATA MITI

Hapo zamani kulikuwa na Mkata Miti mahiri sana. Mkata Miti yule, alikwenda kuomba kazi kwenye Kiwanda cha Miti.

Maombi yake yalikubaliwa na kuanza kazi, Bosi akampatia shoka na kumuonesha sehemu ya kufanya kazi.

Siku ya kwanza Mkata Miti aliangusha miti 18 na kumkabidhi Bosi, Bosi akampongeza sana kwa kujituma kwake.

Maneno ya Bosi yalimfurahisha sana Mkata Miti, akataka siku ya pili afanye zaidi ya kwanza, aliongeza juhudi zaidi lakini alipata miti 11 tu. Akajiona amefanya uzembe.

Siku ya tatu ilikuwa mbaya zaidi, kwani alipata miti 3 pekee, ikabidi akamuombe radhi Bosi. Bosi akamuuliza: "Mara ya mwisho kunoa shoka lako ni lini?".

Mkata Miti: "Sijawahi kunoa tangu unikabidhi".

Hii ndio hali halisi ya imani zetu, kwasababu ya kutokunoa imani zetu basi kila siku tunazidi kuzama kwenye maasi.

Ndugu yangu Muislamu, noa imani yako kwa Kusoma sana Qur'an, Kusikiliza Mawaidha, Kukaa sana na Watu wa Kheri na Kukaa kwenye Majaalis za Elimu.

ALLAH atujaalie tuwe katika Waja wake Wema... Aamiin 🤲

Kuwa sehemu ya ujenzi wa msikiti mkubwa na wa kisasa unaojengwa Mbezi Luis wa Ghorofa 5 je unajua msikiti ukikamilika utadumu miaka mingapi? Hivyo ndivyo amali na ujira wako utadumu hata Kwa kipande kimoja cha tofali utakachochangia,

Jiwekee akiba yako ya baade malipo yako yataendelea kudumu hata baada ya kufa kwako mpaka msikiti utakapobomoka namba za uchangiajia..

KCB BANK -3300245672
Almasjid Nnur Dar es salaam.

Tigo pesa -0710058620 Jina almasjid Nuru Mbezi Luis

Chochote utakachojaaliwa Allah atakulipa.

Ujenzi upo katika hatua za kufunika floo ya kwanza

Admin facebook.

Share jumbe hizi ni moja ya sadaka

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Masjid Noor Mbezi Louis posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Masjid Noor Mbezi Louis:

Share