02/12/2022
(📕ZABURI 127: 1-2💥)
MAOMBI MAALUM YA KUMLINDA MUME WAKO,, MKE WAKO,, MCHUMBA WAKO,, MPENZI WAKO,, NA ROHO ZA UZINZI NA UKAHABA💥...
Kuna wanawake wengi warembo💋 wanamtamani sana mumeo😋, kwa kutumia maumbo ya miili yao na nguvu za Pesa, Cheo, hata kutumia nguvu za kichawi👹 Ili tu wampate mumeo au mkeo.🤔💘
Mume wako/Mke wako au mpenzi wako, anaweza akawa kwaasiri siyo mzinzi au muhuni lakini akaangukia kwenye mitego ya makahaba
huko kazini kwake, akakusariti💘
na kuanza tabia za umalaya bila kutegemea😪,
Ikawa ni chanzo cha ndoa au mahusiano yenu kuvunjika. Hata akasababisha laana kwenye familia na kusambalatika😢 watoto wakakosa mwelekeo.😭
Mara nyingi ukiwauliza wanaume au wanawake walio achana👐 kwenye ndoa au mahusiano yalipo vunjika💔 watakwambia walikuwa wanapendana sana❣ lakini ilikuwaje wakaachana? wanakuwa hawana majibu ya kutosha🤷♀️ wanaishia kusema ni shetani tu.
Nikweli nishetani lakini mlango washetani kuingia kuharibu ndoa yako au mahusiano yako alipita kwa kahaba huko ofisini kwa Mpenzi wako, na akamnasa mumeo au mkeo. 😭💘
Najua huwezi kumlinda Mumeo au Mkeo kwa kuwa haukonae muda wote, lakini Mungu🙏 anauwezo wa kumlinda mda wote kwakuwa yeye yuko nae siku zote
Hiyvo wajibu wako ni kumlinda unae Mpenda💓 kwa Maombi na kumtolea Sadaka kwa Mungu ili ziwe agano la ulinzi kwa Mumeo/Mkeo Mchumba wako au mpenzi wa moyo wako💥 maana yeye nisababu ya furaha na Amani kwenye maishayako.🙏🙏🙏
Tuandikie inbox 📥 majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako tukuombee 👏