KKKT Zingiziwa Partnership

KKKT Zingiziwa Partnership Zaburi 133:1 Tazama, jinsi ilivyo vema, na kupendeza, Ndugu wakae pamoja, kwa umoja. (1 Yoh.3:16), na wawajibike ninyi kwa ninyi (Efe.5:21).

Kwa pamoja, tunaungana na Mungu katika mpango wake wa kuleta mabadiliko ya kudumu katika ulimwengu wetu; mkubaliane ninyi kwa ninyi (Rum.15:7), kutunzana ninyi kwa ninyi (Gal.6:2), kujitolea ninyi kwa ninyi.

28/08/2023

Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt. Alex Gehaz Malasusa amechaguliwa kuwa Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania [KKKT] katika Mkutano Mkuu wa KKKT ulioambatana na uchaguzi uliofanyika katika Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Arusha.

Askofu Dkt. Malasusa alichaguliwa kwa kura 167 (69.3%) akifuatiwa na Askofu Abednego Keshomshahara wa Dayosisi ya Kaskazini Magharibi aliyepata kura 72 (30.7%).

Bwana Mungu akutangulie na kukuongoza vema Baba Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa.

28/08/2023

โ—‹ Mkutano mkuu wa 21 wa KKKT umemchagua ASKOFU DKT ALEX G. MALASUSA kuwa mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania .

- Ni maombi yetu ,Mungu azidi kumlinda na kumtunza. Hekima ya Bwana Mungu ikawe juu yake ili apate kuliongoza vyema kanisa lake.

Amen!

28/08/2023

๐Œ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ง๐จ ๐Œ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ง๐ข ๐ง๐š ๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ฐ๐š ๐Š๐š๐ง๐ข๐ฌ๐š ๐ฅ๐š
๐Š๐ข๐ข๐ง๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฅ๐š ๐Š๐ข๐ฅ๐ฎ๐ญ๐ก๐ž๐ซ๐ข ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š (๐Š๐Š๐Š๐“)
๐ฎ๐ฆ๐ž๐ฆ๐œ๐ก๐š๐ ๐ฎ๐š ๐€๐ฌ๐ค๐จ๐Ÿ๐ฎ ๐ƒ๐ซ. ๐€๐ฅ๐ž๐ฑ ๐Œ๐š๐ฅ๐š๐ฌ๐ฎ๐ฌ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐Œ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐Œ๐ญ๐ž๐ฎ๐ฅ๐ž ๐ฐ๐š ๐Š๐š๐ง๐ข๐ฌ๐š ๐ฅ๐š ๐Š๐ข๐ข๐ง๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฅ๐š ๐Š๐ข๐ฅ๐ฎ๐ญ๐ก๐ž๐ซ๐ข ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š(๐Š๐Š๐Š๐“).
๐€๐ฌ๐ค๐จ๐Ÿ๐ฎ ๐Œ๐š๐ฅ๐š๐ฌ๐ฎ๐ฌ๐š ๐ฐ๐š ๐ƒ๐š๐ฒ๐จ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š
๐Œ๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐๐ฐ๐š๐ง๐ข ๐š๐ง๐š๐œ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ๐š ๐ง๐š๐Ÿ๐š๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š ๐€๐ฌ๐ค๐จ๐Ÿ๐ฎ ๐ƒ๐ซ. ๐…๐ซ๐ž๐๐ซ๐ข๐œ๐ค ๐’๐ก๐จ๐จ ๐š๐ฅ๐ข๐ฒ๐ž๐ฆ๐š๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ฆ๐ฎ๐๐š ๐ฐ๐š๐ค๐ž ๐ฐ๐š ๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐š๐ฐ๐š๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐›๐ข๐ฅ๐ข.
๐€๐ง๐š๐ซ๐ž๐ฃ๐ž๐š ๐ญ๐ž๐ง๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ง๐š๐Ÿ๐š๐ฌ๐ข ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐š๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐ข๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ณ๐ข๐š ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ๐Ÿ•-๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ“ ๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ๐ฆ๐š๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ง๐š ๐ง๐š๐Ÿ๐š๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ข๐ค๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐€๐ฌ๐ค๐จ๐Ÿ๐ฎ ๐’๐ก๐จ๐จ.
__๐Š๐Š๐Š๐“ ๐”๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐ข๐ค๐š ๐ฐ๐š ๐Œ๐›๐ž๐ณ๐ข๐›๐ž๐š๐œ๐ก (KKKT - DMP Usharika wa Mbezi Beach )๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฆ๐ฉ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐€๐ฌ๐ค๐จ๐Ÿ๐ฎ ๐ƒ๐ซ.๐€๐ฅ๐ž๐ฑ ๐Œ๐š๐ฅ๐š๐ฌ๐ฎ๐ฌ๐š ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ญ๐š๐ค๐ข๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ฅ๐š ๐ค๐ก๐ž๐ซ๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ฉ๐ฒ๐š!

16/08/2023

.
Tafakari ya leo.

Mnenaji ni .dr.elionakimaro


โ›ช๏ธ

16/08/2023

โ€œMwanangu, nipe moyo wako; Macho yako yapendezwe na njia zangu.โ€
โ€” Methali 23:26 (SUV)

- Uwe na wiki njema.
Amen!

31/05/2023

31/05/2023

.
Tafakari ya Jumapili.

Mnenaji ni Mchungaji K***a Sadataley


โ›ช

19/05/2023

.
Tafakari ya Jumapili ya leo.

Mnenaji ni Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro.dr.elionakimaro


โ›ช

13/12/2022

07/12/2022

ASKOFU wa KKKT, Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt. Alex Malasusa, amegusia suala la Kanisa hilo kuwa na Katiba moja ambayo itatumiwa na Dayosisi zote pale mchakato wake utakapokamilika.

Askofu Dkt. Malasusa aliyazungumza hayo wakati wa Mkutano Mkuu wa 36 wa Dayosisi hiyo, ulofanyika Usharika wa Mbezi Beach Dar es Salaam wiki iliyopita. Aliwajulisha wajumbe hao kuwa kikosi kazi tayari kimeundwa kwa ajili ya kushughulikia mchakato huo na kueleza kuwa kwa sababu DMP ni sehemu ya KKKT haina budi kujua juu ya jambo hilo.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Dkt. Rogate Mshana anasema bado wanaendelea na mchakato kukusanya maoni juu ya Katiba pendekezwa kutoka kwa watu na vyombo vya Kanisa. Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Dkt. Rogathe Mshana ambaye alizungumza na Upendo Media hivi karibuni, alisema mchakato huo utakamilika mwaka 2025.

Dkt. Mshana alisema ni lazima mchakato upite kwenye Dayosisiย na makundi mbalimbali ili kukusanya maoni na itakapofika mwaka 2025, Mkutano Mkuu wa Kanisa ndiyo utakaoidhinisha Katiba moja ya Kanisa.

Mchakato wa KKKT kuwa na Katiba moja ulitajwa kwa mara ya kwanza kwenye Halmashauri Kuu ya Kanisa, iliyofanyika mwezi Mei mwaka huu wa 2022 jijini Arusha, kisha ikaundwa Kamati ambayo itashughulika suala hilo.

Kamati hiyo ya Katiba inaaongozwa na Mwenyekiti, Ask. Dkt. Msafiri Mbilu wa KKKT, Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (Lushoto โ€“ Tanga) na tangu ilipoundwa imeyafikia makundi makubwa ndani ya Kanisa ambayo kwa mujibu wa Dkt. Mshana yaliunga mkono wazo la Kanisa kuwa na Katiba moja.

Address

Dar Es Salaam

Website

https://facebook.com/kzpartnership, https://twitter.com/kzpart

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KKKT Zingiziwa Partnership posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to KKKT Zingiziwa Partnership:

Share