10/08/2026
Somo: NGUVU YA SHUKURANI.
>kuwa na moyo wa shukurani ni jambo lenye nguvu sana na linaugusa moyo wa Mungu
>> wakolosai 1:12-13.
> shukurani inafunguwa Baraka zilizokuwa zimekwama kufunguka.
> mtu mwenye moyo wa shukurani ana mafanikio makubwa sana.
> watu wengi wamezoea kushukuru wakati wa mazuri tu pasipo kujua hata kwenye Yale mazito Huwa ni vipimo.
>> matendo 16:25-26
>Paulo na sira walipita kwenye kipindi kigumu sana lakini hawakuacha kumshukuru Mungu.
> walipomshukuru Mungu kwenye magumu waliyo kuwa wakipitia Mungu alifanya njia milango ikafunguka.
>> 2nyakati 20:21-
>mfalme yehoshafati alipo kuwa amezingirwa na maadui haku sumbuka alicho kifanya alianza kusifu Mungu utaona yehoshafati alishinda kwa kumsifu Mungu.
> unapopita kwenye magumu usisahau kumshukuru Mungu pengine hapo unapopita ni kipimo cha Mungu anaipima imani yako je? Utaendelea kumpenda.