22/08/2023
DAWA YA MCHAWI YOYOTE ANAYEKUSHAMBULIA NI HII HAPA?
HESABU 23:23
Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
DAWA NAMBA NO: I-USIWAOGIOPE WACHAWI
ISAYA 41:10-13
usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu. Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia. Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa k**a kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako. Kwa maana mimi, Bwana, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia. Usiogope, Yakobo uliye mdudu, nanyi watu wa Israeli; mimi nitakusaidia, asema Bwana, na mkombozi wako ni Mtakatifu wa Israeli.
MAELEZO
WACHAWI BAADHI WANA TABIA YA KUTOA VITISHO, MFANO TUONE K**A UTATAFANIKIWA, HAUTAZAA, HAUTAPONA, HAUTAOLEWA NA MENGINE
ZABURI 35:1-9
Ee Bwana, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami. Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie. Uutoe na mkuki uwapinge wanaonifuatia, Uiambie nafsi yangu, Mimi ni wokovu wako.Waaibishwe, wafedheheshwe, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, wafadhaishwe, Wanaonizulia mabaya. Wawe k**a makapi mbele ya upepo, Malaika wa Bwana akiwaangusha chini. Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa Bwana akiwafuatia. Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu. Uharibifu na umpate kwa ghafula, Na wavu aliouficha umnase yeye mwenyewe; Kwa uharibifu aanguke ndani yake.
MAMBO YA KUZINGATIA IKIWA NI KWELI UMESHASHAMBULIWA
SOMA HAYO MAFUNGU YA BIBLIA OMBA KWA IMANI UTAPATA USHINDI KWA KWA JINA LA YESU, USHINDI NI WAHAKIKA:
KUANZIA LEO TUTAKUWA NA MAOMBI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA NA MASHAMBULISHI YAKE NA MAAGANO ULIYOFANYIWA YA KICHAWI NA UGANGA IKIWA UNAMGONJWA AMESHAMBULIWA NA