06/03/2024
Tunakusalimu Kwa jina kuu la Bwana Yesu,
Kupitia Idara ya Vijana tunakuletea Maono yatakayo kusababisha na wewe kuteka Baraka za Mungu,
Ni Maono ya kufadhili na kutia moyo Makanisa Yaliyopandwa BUKOBA MANISPAA ili Ufalme wa Mungu ujengwe jina la Yesu liinuliwe Kwa kununua Viwanja, kujenga Majengo mazuri ya muda na ya Kudumu na kununua Vyombo vya Mziki.
Wakati tunachangia harusi, Misiba, n.k kutoa kwaajili ya Bwana kunaweza kubadilisha maisha yako kabisa, ziko Baraka nyingi katika utoaji
Tunapokea sadaka yako Kupitia A/C hii tu ya Bank ya CRDB.
A/C No. 015C861112300.
A/C Name: IDARA YA CAs SECTION YA KUSINI.
M-PESA: 0769193784 JINA: HOSEA JOSEPH
Usipitwe na hii Haina Dini Wala dhehebu Karibuni watu wote.