Idara ya vijana Tegeta SDA

Idara ya vijana Tegeta SDA Habari njema ya ufalme, ihubiriwe ulimwenguni kote, katika kizazi hiki.

Kanisa la Waadventista wa Sabato Tegeta linawakarbisha tena katika wiki ya Huduma za Familia iliyoanza jmapili tarehe 3 ...
05/11/2019

Kanisa la Waadventista wa Sabato Tegeta linawakarbisha tena katika wiki ya Huduma za Familia iliyoanza jmapili tarehe 3 Nov. na itahitimishwa Sabato ya terehe 9 Nov. 2019.

Mhubiri ni Mch. Wanjara kutoka mtaa a Bagamyo.

Karibuni sana.

05/11/2019

KESHA LA ASUBUHI

Jumanne, Novemba, 05, 2019

*SHUKURANI YA WALIOKOMBOLEWA*

📖"Na mfalme atajibu, akiwaambia, Amin nawaambia, kadiri mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi"📖. *Mathayo* 25:40.

✍🏻Kila tendo letu la kufanya urafiki kwa watu wa Mungu, litalipwa kana kwamba alitendewa yeye. Kila mvunaji ataridhika sana, wakati sauti angavu ya Yesu iliyo k**a muziki itakaposikika ikisema, "Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa kwa ulimwengu." "Ingia katika furaha ya Bwana wako."

✍🏻Mkombozi atatukuzwa kwa kuwa atakuwa hakufa bure. Wale waliokuwa watenda kazi pamoja na Mungu wataona, kwa mioyo ishangiliayo kwa furaha, mazao ya taabu ya nafsi zao kwa ajili ya wenye dhambi waliokuwa wanaangamia na kufa, nao wataridhika.

✍🏻Saa walizokuwa wakifadhaika, mazingira ya kutatanisha waliyokuwa wanakutana nayo, huzuni ya moyo kwa kuwa wengine walikataa kuyaona na kuyapokea mambo yapasayo amani, vitasahauliwa. Kujikana nafsi walikofanya kwa ajili ya kusaidia kazi, hakutakumbukwa tena.

✍🏻Watakapowatazama watu waliokuwa wakijitahidi kuwaleta kwa Yesu, na kuona wameokolewa milele---alama za rehema ya Mungu na upendo wa Mkombozi---kutasikika sauti za sifa na shukurani kutoka katika matao ya mbinguni.

✍🏻 Mbele yetu kuna mbingu, na miongoni mwa wakazi wake hakutakuwa na mivutano......

✍🏻Tutaipokea familia takatifu ya waliokombolewa, na kusikia maneno ya Kristo, "Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa kwa ulimwengu." Tutavigusa vinubi vyetu, na mbingu itarindima kwa muziki mtamu. Tutazitupa taji zetu zing'aazo katika miguu yake, na kumpa utukufu yeye aliyeshinda kwa niaba yetu.

✍🏻Inawezekana kuna mambo ambayo hatuyaelewi hapa. Mambo mengine katika Biblia yanaweza kuonekana k**a mafumbo kwetu, kwa sababu yako nje ya uwezo wetu mfinyu wa kuelewa.

✍🏻Lakini Mwokozi atakapokuwa akitupitisha kwenye maji yaliyo hai, atayaweka wazi katika akili zetu yale ambayo mwanzoni hayakueleweka vizuri.

*MUNGU AKUBARIKI UNAPOTAFAKARI NENO LAKE*..🙏

Ni sabato hii terehe 13 July 2019
09/07/2019

Ni sabato hii terehe 13 July 2019

Vijana tukutane pale
08/06/2019

Vijana tukutane pale

Matendo ya Huruma sehemu ya Pili, Permanent Glory Home.
17/03/2019

Matendo ya Huruma sehemu ya Pili, Permanent Glory Home.

At Tegeta Sda Church
15/09/2018

At Tegeta Sda Church

Je, umewahi kuviona visivyoonekana? Kutana na jesho la vijana walioenda Kilosa Morogoro wakifumbua namna ya kuvitazama v...
18/07/2018

Je, umewahi kuviona visivyoonekana? Kutana na jesho la vijana walioenda Kilosa Morogoro wakifumbua namna ya kuvitazama visivyoonekana....21July2018...

AC Day 16.06.2018
16/06/2018

AC Day 16.06.2018

Baadhi ya watoto wa Kwaya ya watoto kanisa la Waadventista wa Sabato Tege
17/12/2017

Baadhi ya watoto wa Kwaya ya watoto kanisa la Waadventista wa Sabato Tege

BWANA YESU ASIFIWE.Sabato hii ni maalum ya kutambua huduma ya mchungaji.Tutafanya sherehe fupi. Ewe mshiriki na ambaye h...
22/11/2017

BWANA YESU ASIFIWE.

Sabato hii ni maalum ya kutambua huduma ya mchungaji.
Tutafanya sherehe fupi. Ewe mshiriki na ambaye hujawa mshiriki. Wiwa kuja na zawadi siku hiyo ama fanya chochote kitakachompa hamasa zaidi ndani ya wiki hii hadi Sabato.

Mungu akubariki tunaposhiriki huduma hii yenye mibaraka.

Jina: Mch. Stephen Letta
Simu: +255 764 600 362

Facebook pia anapatikana kwa hii link.
https://web.facebook.com/profile.php?id=100010100805268&ref=br_rs

Karibuni sana.
15/11/2017

Karibuni sana.

Address

Bagamoyo

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Idara ya vijana Tegeta SDA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share