HBM Church bagamoyo

HBM Church bagamoyo Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from HBM Church bagamoyo, Church, Bagamoyo.

Moto fire πŸ”₯ haujawahi kuzimika kabisa kwenye madhabahu ya Baraka na uponyaji HBM bagamoyo Mjini kidongo chekundu Mtiki w...
14/06/2025

Moto fire πŸ”₯ haujawahi kuzimika kabisa kwenye madhabahu ya Baraka na uponyaji HBM bagamoyo Mjini kidongo chekundu Mtiki wa Boni mtaarifu na Mtu mwingine hizi ni habari njema na hili ni kongamano la kihistoria litakalo ongozwa na mtumishi wa Mungu kutokea Dar es Salaam ni kuanzia jtatu - jnne mwezi wa sita 2025 bagamoyo inawaka moto πŸ”₯





Tunashindwa kukutana na Mungu kwasababu ya vitu vidogo fedha cheo umaarufu hivi vitu ni hatari vitaharibu mahusiano yako...
14/07/2024

Tunashindwa kukutana na Mungu kwasababu ya vitu vidogo fedha cheo umaarufu hivi vitu ni hatari vitaharibu mahusiano yako na Mungu kabla ya cheo ulikuwa mwanadamu kabla ya umaarufu ulikuwa mwanadamu kabla ya kila kitu ulikuwa wewe ukimtaka Mungu bakia wewe kwenye biblia watu waliweka vyeo na nafasi pembeni wakamtafuta Mungu kwanza

Luka 8:3
[3]na Yoana mkewe Kuza, wakili wake Herode, na Susana, na wengine wengi, waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.
And Joanna the wife of Chuza Herod's steward, and Susanna, and many others, which ministered unto him of their substance.





Zakayo aliamua kuupokea ufalme wa Mungu K**a mtoto ingawa alikuwa bosi kwenye ofisi ya Kodi ingawa alikuwa tajiri lakini...
14/07/2024

Zakayo aliamua kuupokea ufalme wa Mungu K**a mtoto ingawa alikuwa bosi kwenye ofisi ya Kodi ingawa alikuwa tajiri lakini aliweka mbali nafasi zake na akawa na kiu njaa na shauku

Luka 19:1-10
[1]Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.
And Jesus entered and passed through Jericho.
[2]Na tazama, palikuwa na mtu, jina lake Zakayo, mkubwa mmoja katika watoza ushuru, naye ni tajiri.
And, behold, there was a man named Zacchaeus, which was the chief among the publicans, and he was rich.
[3]Huyu alikuwa akitafuta kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, asiweze kwa sababu ya umati wa watu, maana ni mfupi wa kimo.
And he sought to see Jesus who he was; and could not for the press, because he was little of stature.
[4]Akatangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu apate kumwona, kwa kuwa atakuja kuipitia njia ile.
And he ran before, and climbed up into a sycomore tree to see him: for he was to pass that way.
[5]Na Yesu, alipofika mahali pale, alitazama juu, akamwambia, Zakayo, shuka upesi, kwa kuwa leo imenipasa kushinda nyumbani mwako.
And when Jesus came to the place, he looked up, and saw him, and said unto him, Zacchaeus, make haste, and come down; for to day I must abide at thy house.
[6]Akafanya haraka, akashuka, akamkaribisha kwa furaha.
And he made haste, and came down, and received him joyfully.
[7]Hata watu walipoona, walinung’unika wote, wakisema, Ameingia kukaa kwa mtu mwenye dhambi.
And when they saw it, they all murmured, saying, That he was gone to be guest with a man that is a sinner.
[8]Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang’anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.
[9]Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Ibrahimu.
[10]Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.





SOMO MTU YEYOTE ASIYEUPOKEA UFALME WA MUNGU K**A MTOTO MDOGO HAWEZI KUUINGIA KABISAMarko 10:13-16[13]Basi wakamletea wat...
14/07/2024

SOMO MTU YEYOTE ASIYEUPOKEA UFALME WA MUNGU K**A MTOTO MDOGO HAWEZI KUUINGIA KABISA

Marko 10:13-16
[13]Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea.
And they brought young children to him, that he should touch them: and his disciples rebuked those that brought them.
[14]Ila Yesu alipoona alichukizwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto k**a hawa ufalme wa Mungu ni wao.
But when Jesus saw it, he was much displeased, and said unto them, Suffer the little children to come unto me, and forbid them not: for of such is the kingdom of God.
[15]Amin, nawaambieni, Ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu k**a mtoto mdogo hatauingia kabisa.
Verily I say unto you, Whosoever shall not receive the kingdom of God as a little child, he shall not enter therein.
[16]Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabarikia.
And he took them up in his arms, put his hands upon them, and blessed them.





Karibu kwenye juma la tano wiki hii hatujawahi kuwa na mambo madogo madogo kwenye ibada zetu iwe ni jumapili au katikati...
10/07/2024

Karibu kwenye juma la tano wiki hii hatujawahi kuwa na mambo madogo madogo kwenye ibada zetu iwe ni jumapili au katikati ya wiki Alhamisi tamani kuabudu Nasi





Popote ulipo pokea  neema ya kuingia Yeriko yako kwa jina la Yesu
17/06/2024

Popote ulipo pokea neema ya kuingia Yeriko yako kwa jina la Yesu






USIPANGE KUKOSA JUMAPILI HII TAREHE 19 NOV 2023 KWENYE IBADA KUBWA  YA KUPOKEA TAJI YA UFALME HAPA  bagamoyo mjini kidon...
14/11/2023

USIPANGE KUKOSA JUMAPILI HII TAREHE 19 NOV 2023 KWENYE IBADA KUBWA YA KUPOKEA TAJI YA UFALME HAPA bagamoyo mjini kidongo chekundu mtiki was Boni TAJI no utawala TAJI no ukuu njoo upokee ukuu was Mungu kwenye maisha Yako ukuu kwenye Ndoa Yako ukuu kwenye ofisi Yako biashara Yako Kwa kifupi hii sio Ibada ya kukosa kabisaa mtu wa Mungu popote unapotoka hakikish, unafika HBM Church madhabahu ya Baraka na Uponyaji itakuwa ni Ibada yenye nguvu mno kupita kawaida USIPANGE KUKOSA KABISAA




JUMAPILI HII 1.10.2023 NI IBADA YA KUPAKWA MAFUTA MIGUUNI USIPITWE NA UPAKO WA KUMILIKI NA KUTAWALA IBADA YA KWANZA SAA ...
28/09/2023

JUMAPILI HII 1.10.2023 NI IBADA YA KUPAKWA MAFUTA MIGUUNI USIPITWE NA UPAKO WA KUMILIKI NA KUTAWALA IBADA YA KWANZA SAA 2:00 ASUBUHI IBADA YA PILI SAA 8:00 MCHANA HAYA MAMBO MAZURI UTAYAKUTA BAGAMOYO MJINI KIDONGO CHEKUNDU MTIKI WA BONI USIPANGE KUKOSA WATU WA DINI ZOTE MNAKARIBISHWA

Yoshua 1:3 (KJV) Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yenu, nimewapa ninyi, k**a nilivyomwapia Musa.




HIVI UNAJUA WEWE NI NANI NA MUNGU AMEKUSUDIA NINI KWAKO BASI USIPANGE KUKOSA π—π—¨π— π—”π—£π—œπ—Ÿπ—œ π—›π—œπ—œ 30/π—π˜‚π—Ήπ˜†/2023 KWENYE IBADA KUBW...
25/07/2023

HIVI UNAJUA WEWE NI NANI NA MUNGU AMEKUSUDIA NINI KWAKO BASI USIPANGE KUKOSA π—π—¨π— π—”π—£π—œπ—Ÿπ—œ π—›π—œπ—œ 30/π—π˜‚π—Ήπ˜†/2023 KWENYE IBADA KUBWA YA 𝗨π—₯π—˜π—π—˜π—¦π—›π—’ π—ͺπ—ͺ𝗔 π—›π—”π—§π—œπ— π—” π—¬π—”π—žπ—’

Yeremia 1:4-5 (KJV) Neno la Bwana lilinijia, kusema,
Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.



Nakusihi sana mtu wa Mungu kwenye maisha yako hapa Duniani usimuangushe mtu ili wewe uinuke Usimdhulumu mtu haki yake Us...
21/07/2023

Nakusihi sana mtu wa Mungu kwenye maisha yako hapa Duniani usimuangushe mtu ili wewe uinuke Usimdhulumu mtu haki yake Usimdharau mtu awae yeyote kwenye maisha yako kwakuwa ni fumbo na haujui nani atakae kuja kuwa msaada wako mbele ya Safari Mungu huinua wadhaifu wasio na nguvu watu wallio kataliwa wenye kunyanyaswa hapa Duniani hao ndio Mungu huwapelekea Msaada k**a uthibitisho naweza kumbariki mtu yoyote

Address

Bagamoyo

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HBM Church bagamoyo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category