10/10/2022
REPLICATING DOMINATION
(the Lord is my shepherd)
-------------
Ujumbe utakaobadilisha maisha yako kutoka kwa 'the Voice of Love, School of Deliverance'
-------------
Shalom rafiki; biblia haisemi watu hawataenda kukuroga kwa mganga, bali inasema "kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa... Isaya 54:17)". Aidha, biblia haisemi watu hawatakusema vibaya, bali inakuhakikishia kuwa salama na kila hila (Zab 46:2).
Uwapo ndani ya Yesu Kristo usiwe na hofu na mashaka, kwani hofu ni adui wa imani; hofu inamaanisha hujatambua nguvu za Mungu wetu, itasababisha kuangamizwa kwa kukosa maarifa (Hosea 4:6).
Luka 2:14, "Atukuzwe Mungu juu mbinguni,
Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia."
K**a Mungu alivyo na nguvu, nasisi watoto wake tusimamie imani ili kudhihirisha nguvu za Baba wa ufalme wetu. Shalom!
Mungu akubariki kupitia ujumbe huu;
(let's REPLICATE DOMINATION of God our Father)
- ni mimi mwalim Godfrey; kwaniaba ya watumishi wenzangu wa jumuiya ya" the Voice of Love, School of Deliverance ",
Renatus, Sauli, Queen Samwel, Queen Malekela, Joshua, Charles, Ayubu, Rebeca, Ester, Frank, Sekela, mch N Sanga, Chacha, Seth Eliezer.