15/08/2026
Muda mwingine majibu ya maombi yako ni vile ulivyokataliwa kwenye interview ya kazi au kwenye mahusiano kwenye ile biashara je? unapokeaje vile unavyopokea ndivyo inavyokupeleka kwenye hatua nyingine mwambie Mungu nashukuru maana hili ni jema sana maana wewe unayajua maisha yangu asante kwa hatua nyingine.
Isaya 55:8-9
Maana, Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Mawazo yangu si k**a mawazo yenu, wala njia zangu si k**a njia zenu. K**a vile mbingu zilivyo mbali na dunia, ndivyo njia zangu zilivyo mbali na zenu, na mawazo yangu mbali na mawazo yenu.