17/08/2018
Unaweza kuwaza sana na kufikir kwann suleman alichagua hekima na akaacha vitu vingine ambavyo wewe na mimi tunaona au kudhani vina thaman sana,
Hekima ni nini hasa:-
>> Hekima ni hali bora ya mtu katika kutambua
ukweli wa binadamu , vitu, matukio na
mazingira mbalimbali hata kuchagua vizuri la kufanya.
Katika dini mbalimbali inatokana na imani kwa
Mungu.
Katika Ukristo inatajwa pengine kati ya vipaji vya Roho Mtakatifu vinavyokamilisha maadili ya kiutu na maadili ya Kimungu vilevile.
>> kuna watu wengi sana wana mali na utajiri wa hali ya juu kabisa ila kuna kitu kimoja tuu kinachoitwa hekima ndio wamekosa
>> unaweza ukawa na hekima ikakusaidi kupata fedha mali na utajiri lakini amini usiamini una weza ukawa na fedha mali na utajiri lakini ukanyimwa hekima.
>> utasikia tuu yule bwana aliwahi kuchimba madini akapata milioni 800 lakini skuizi hana kitu, wewe ukisikia hivyo unadhani huyo bwana alikosa nini zaidi ya hekima
MWOMBE SANA MUNGU AKUPE