Wana Wapendwao na Mungu

Wana Wapendwao na Mungu Waefeso 4:
11. Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na
wengine kuwa wachungaji na waalimu; Karibu sana

Ni kwa neema tumepawa vipaji mbalimbali katika maisha haya,
Nakukaribisha ndugu yangu katika page hii ili tushiriki pamoja kujifunza, kufurahi, kukumbushana, kufarijiana, kulike na kucomment kwenye mada au lolote lile kwa utukufu wa Mungu.

Siku ikawe ya baraka tele
19/09/2023

Siku ikawe ya baraka tele

Ameketi mkono wa Kuume wa Mungu
26/05/2022

Ameketi mkono wa Kuume wa Mungu

WANA WAPENDWAO NA MUNGUFAMILIA YA KIKRISTO YENYE NIA YA KUIMARISHANA KIROHO. _____Hivyo mfuateni Mungu, k**a watoto wana...
25/05/2022

WANA WAPENDWAO NA MUNGU
FAMILIA YA KIKRISTO YENYE NIA YA KUIMARISHANA KIROHO.
_____
Hivyo mfuateni Mungu, k**a watoto wanaopendwa;
Waefeso 5:1

Tufwate kwenye channel yetu ya Telegram

https://t.me/Wana_Wapendwao_na_Mungu

Mungu ni mkuu kuliko vyote
01/02/2022

Mungu ni mkuu kuliko vyote

Kukimbia ibada za samamu inahitaji ufahamu mkubwa...
26/01/2022

Kukimbia ibada za samamu inahitaji ufahamu mkubwa...

Omba bila kukoma..πŸ’’
26/01/2022

Omba bila kukoma..πŸ’’

Angalia uendavyo......
21/01/2022

Angalia uendavyo......

Tufunikwe na kifuniko cha Bwana Mungu.Vingine ni ubabaishaji tu!
27/11/2021

Tufunikwe na kifuniko cha Bwana Mungu.
Vingine ni ubabaishaji tu!

Yuko anayeweza yotee....πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
28/10/2021

Yuko anayeweza yotee....πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡

Ubarikiwe sana
26/10/2021

Ubarikiwe sana

YESU MKONONI MWAKO 1. Yesu mkononi mwako     nitalindwa vema.    Raha bora Napata     kwa upendo wako.    Nawe kwa sauti...
24/08/2021

YESU MKONONI MWAKO

1. Yesu mkononi mwako
nitalindwa vema.
Raha bora Napata
kwa upendo wako.
Nawe kwa sauti tamu
waniita mimi:
Wacha tu nguvu yako,
kwangu ni raha kuu.
Yesu mkononi mwako
nitalindwa vema,
raha bora napata
kwa upendo wako!

2. Yesu mkononi mwako
sioni taabu.
Shetani nguvu zake
haziwezi kwako.
Shaka na woga kwako
zinakosa nguvu,
na majaribu yote
nayashinda pia.
Yesu mkononi….

3. Umenifia Bwana,
nakukimbilia.
Wanishika milele,
nakutegemea.
Nakungojea hapa
na giza liishe,
mchana wapambazuka
na kwako milele.
Yesu mkononi….

BWANA U SEHEMU YANGU 1. Bwana, u sehemu yangu,rafiki yangu, Wewe; katika safari yangu nitembee na Wewe.    Pamoja na Wew...
26/03/2021

BWANA U SEHEMU YANGU

1. Bwana, u sehemu yangu,
rafiki yangu, Wewe;
katika safari yangu
nitembee na Wewe.
Pamoja na Wewe,
pamoja na Wewe,
katika safari yangu
nitembee na Wewe.

2. Mali hapa sikutaka
ili niheshimiwe,
yanikutapo mateso
sawasawa na Wewe.
Pamoja na Wewe,
pamoja na Wewe,
heri nikute mateso
sawasawa na Wewe.

3. Niongoze safarini,
mbele unichukue.
Mlangoni mwa mbinguni
niingie na Wewe.
Pamoja na Wewe,
pamoja na Wewe,
Mlangoni mwa
mbinguni
niingie na wewe.

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wana Wapendwao na Mungu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share