Mr. Peace Foundation

Mr. Peace Foundation Ukarimu Daly is the foundation which devoted its self in teaching and sharing love to every one who is need of help

JCM International means Jesus Creation Ministry which is dedicated in preaching, teaching and sharing the message of Grace (Jesus). Course we believe that Jesus is the only source of abundant life and He is the only source of our Righteousness and through him we are called sons and daughters of God, by Him we exist and have a gift of everlasting life after these life.

14/03/2026
07/05/2024

Mteja Wetu ameshapendeza na tabasamu lake la PAPO KWA PAPO! Ukitaka yawe Meupe zaidi ya hapo ni wewe TU🔥

KUMBUKA; Dawa ya Mr cheka Ina sifa Moja kuu ambayo ni;

KUONDOA RANGI YOTE YA BROWN, NJANO AU NYEUSI KWENYE MENO NA KUYAACHA MEUPE P*E!!

Agiza Sasa uondokane na hiyo rangi inayokunyima raha ya kutabasamu.
0759 540 354 au 0757 698 000 au 0746 992 299 au 0746 777 789 au 0679 540 354

Today on the 11th August 2023, Mr. Peace Foundation completed the project of building a sink toilet for a crippled boy t...
11/08/2023

Today on the 11th August 2023, Mr. Peace Foundation completed the project of building a sink toilet for a crippled boy that lives at Moses comfort orphanage located in Usa River at kisambare village. The foundation is happy that it made a step in helping the boy and making a part of his life comfortable .For any of you that feel touched and need to help some homes as Mr Peace contact us and join us or do it by yourself influence people to help others too, because it doesn’t sound right if you are living a luxurious life without having impacted some other lives out of yours. See you in the next project✌️

Help others without any reason and give without the expectation of receiving anything in return. “Service to others is t...
27/04/2023

Help others without any reason and give without the expectation of receiving anything in return. “Service to others is the rent you pay for your room here on earth. “We know only too well that what we are doing is nothing more than a drop in the ocean

Habari za saa hizi Ndugu Yangu. Mimi naitwa Peace Simon, Nimekua nikijihusisha kutoa misaada kwa jamii ya watu wasiojiwe...
04/04/2023

Habari za saa hizi Ndugu Yangu. Mimi naitwa Peace Simon, Nimekua nikijihusisha kutoa misaada kwa jamii ya watu wasiojiweza hususani yatima, wagonjwa, vilema, omba omba, wajane na wazee.
Nimekua nikifanya hivyo kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa muda sasa, nikijaribu kusaidia kutatua matatizo ya wahitaji lakini kwa bahati maya nashindwa kuwafikia wote. Hivyo tukachagua tarehe 22/7 kuwa Siku ya ukarimu, siku ambayo tutaweza kuwasaidia watu wenye mahitaji tofauti tofauti k**a vile yatima, wajane, walemavu, wazee, watoto wa mtaani n.k. Ndugu.........NAOMBA ujiunge na Mimi kusaidia watu wa jamii hii maana tukiungana kwa pamoja na kushirikiana Mimi na wee naamini tutaweza kufanikisha siku hii na kuweza kufikia wahitaji wote k**a tutashare na kusambaza kwenye kurasa zetu za kijamii kwa kuhushtag , ili kuweza kuhamasisha jamii kujitokeza na kuonyesha ukarimu kwa wahitaji walio Karibu na wao. Nina taka kueneza uelewa na kuweka juhudi siku hii ifanyike kila mwaka nchi nzima basi nyinyi ndugu zangu mkinishika mkono inaweza kufanyika hata dunia nzima kila mwaka.

UKARIMU DAY

Tarehe 18 mwezi watatu 2023 Ukarimu life foundation iliweza kutembelea kituo cha watoto yatima kilichopo kisambare Legan...
19/03/2023

Tarehe 18 mwezi watatu 2023 Ukarimu life foundation iliweza kutembelea kituo cha watoto yatima kilichopo kisambare Leganga, Arusha kiitwacho Mosses Confort Home Foundation chenye watoto 65. Tuliweza kupeleka idadi ya mablangeti arobaini(40) na nguo kadhaa. Kiukweli hawa ndugu zetu wa mosses confort wanahitaji msaada wenu kwa namna yoyote ile maana wanavyoo ambavyo havijamalizika kujengwa, mabweni ya wavulana, madarasa ya watoto wadogo ya kuanza kujengewa msingi mzuri kabla ya kwenda shule nk. Sasa nawaasa na nawaomba ndugu zangu kwa yeyote atakae guswa na kujisikia kwenda kutembelea kituo hicho au kutoa chochote kwao k**a pesa, vyakula, nguo, au kufadhili watoto hao mashuleni atakua amewasaidia sana chochote ulichonacho watapokea. Nitaweka namba zao za simu ili atakae guswa na kutaka kwenda kutembelea kituo hicho awasiliane na mlezi +255 753 357 994 Tujitahidi kutenda ukarimu kwa watu tunao wajua au tusio wajua kwani baraka zote huwa zinahesabika na huwa fadhila inarudishwa mara dufu kwa wanaosaidia wenye uhitaji, tujiulize k**a sio mimi na wewe nani atawasaidia tujiekee utaratibu wakusaidia hata wazee barabarani, viwete, ndugu wasiojiweza pia katika familia zetu kila mtu akisaidia mtu natumaini tutafika mbali

happy women’s day from Ukarimulifefoundation
08/03/2023

happy women’s day from Ukarimulifefoundation

Happy international women’s day😍 much love to women empowering 🥳🥳
08/03/2023

Happy international women’s day😍 much love to women empowering 🥳🥳

its the beginning of the lent season. Find peace, love and harmony in your societies help the needy, cover the cloth les...
22/02/2023

its the beginning of the lent season. Find peace, love and harmony in your societies help the needy, cover the cloth less, feed the starving, give water to the thirsty its a time to do good deeds repent your sins and fast pray for all you need and you will see Jesus as he resurrects. All the best in this lent season🙏❤️
yours secretary of ukarimu life foundation Cecilia Orera Noel

Dear brothers and sisters, for as long as we are all in control and useless before God lets learn to love even where you...
21/02/2023

Dear brothers and sisters, for as long as we are all in control and useless before God lets learn to love even where you are shown disrespect, ungratefulness and even deceived. Do not rise and return or point the same evil to your enemies for a wise choice is only Gods. Let it pass, forgive and move-on because no man can ever be true to you than God and human race is not in-control of anything. Learn to love, care,share and appreciate people close to your communities and nevertheless judge them for any of their doings

Address

Mr. Peace. As@gmail. Com
Arusha
KALOLENISECONDARYSCHOOL,ARUSHA

Telephone

+255765992299

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr. Peace Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Mr. Peace Foundation:

Share