Anointed Room Ministry

Anointed Room Ministry OUR VISION IS TO HELP PEOPLE DEEPEN THEIR PERSONAL RELATIONSHIPS WITH GOD IN JESUS CHRIST. KUWASAIDIA WATU KUIMARISHA MAHUSIANO YAO NA MUNGU KATIKA KRISTO YESU.

Mungu akupiganie kwa kuwamaliza adui zako wote kwa jina la Yesu
12/05/2026

Mungu akupiganie kwa kuwamaliza adui zako wote kwa jina la Yesu

IBADA YETU YA UZINDUZI(KUWEKWA WAKFU KWA HEMA LETU ITAFANYIKA DAR ES SALAAM na itakuwa siku ya jumamosi saa sita mchana....
11/05/2026

IBADA YETU YA UZINDUZI(KUWEKWA WAKFU KWA HEMA LETU ITAFANYIKA DAR ES SALAAM na itakuwa siku ya jumamosi saa sita mchana.

Usimuache Mtoto nyumbani. Kutakuwa na eneo nzuri sana kwaajili ya The Children. Waandae vizuri wapendeze waje wamtukuze Bwana kwa pamoja.

Lakini pia usiache kuombea hii siku itakuwa siku njema sana yenye uwepo mkubwa wa Mungu kwa maana Mungu anakwenda kufungua maisha ya watu siku hizi mbili.

Tutapata mkate wa pamoja.

Hakuna kiingilio ni bure kabisa.

11/05/2026

MUDA ni moja ya agenda kubwa ambayo vijana wengi tunapaswa kuelewa.

Hapo ulipo na maisha unayoishi,uliyochagua yaemebevwa na muda.

Jitahidi usipoteze muda wako sehemu ya comfortzone.


Yes siku muhimu na ya maana imekaribia, Jamani watu wetu wote kutoka kila mkoa na mataifa mbalimbali, ule uzinduzi mkubw...
11/05/2026

Yes siku muhimu na ya maana imekaribia, Jamani watu wetu wote kutoka kila mkoa na mataifa mbalimbali, ule uzinduzi mkubwa wa hema letu la phase one umewadia.

Tarehe 16 na 17 Dar es salaam l,turakuwa na ibada kubwa ya uzinduzi wa hema yaani kuliweka wakfu kwa kazi kubwa ya Mungu.

Hema ili tutalizindua katika jumamosi saa sita mchana. Jitahidi ufike mapema na tutakua na wakati mzuri wa kupata mkate kwa pamoja.

Ni katika viwanja vya Sayansi Kijitonyama.
Hakuna kiingilio


Tumesikia tu kusema tunakupenda na unashinda  Kitofauti.
10/05/2026

Tumesikia tu kusema tunakupenda na unashinda Kitofauti.

So this is how we won differently.WD BATTLE GROUND, Place to win your battles.
10/05/2026

So this is how we won differently.
WD BATTLE GROUND, Place to win your battles.


Hamuwezi kuacha vitanda ninyi alafu Mungu hasionekane kwenye maisha yenu.Bwana hatanyamaza juu yenu kwa jina la Yesu.Wew...
09/05/2026

Hamuwezi kuacha vitanda ninyi alafu Mungu hasionekane kwenye maisha yenu.

Bwana hatanyamaza juu yenu kwa jina la Yesu.
Wewe ambaye bado huko nyumbani today is your day.


Kuna watu leo wanatamani kweli kukaa na kuomba mida hii tayari walishafika uwanjani.Jamani watu wa Mungu, usiku wa kukaa...
09/05/2026

Kuna watu leo wanatamani kweli kukaa na kuomba mida hii tayari walishafika uwanjani.

Jamani watu wa Mungu, usiku wa kukaa kwenye uwepo wa Bwana na kuomba ni leo.

Hakikisha unaanza kujivuta kutokea unakotokea. Tukutane Kijitonyama Sayansi.


Tumebakiza masaa machache ya kukutana ulingoni. Kumbuka nikuanzia saa nne usiku mpaka asubuhi.
09/05/2026

Tumebakiza masaa machache ya kukutana ulingoni. Kumbuka nikuanzia saa nne usiku mpaka asubuhi.


Address

Arusha
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Anointed Room Ministry posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share