12/08/2026
*ANOINTED ROOM MINISTRY*
Inakuletea semina ya vijana wa kiume kuanzia miaka 18-25.
Tumeona vijana wetu wanakoelekea na tusipofanya juhudi za makusudi kuwawahi kabla hawajatumumbukia kwenye shimo linaloitwa dunia hakika tutalia huko mbele ya safari. Tutajikuta tuna vijana wasiojua cha kufanya, wasiojua thamani yao, wanaokimbia majukumu yao nk
Wale wanaotegemea kwenda mavyuoni, walete na wao. Umeshasikia story za watu kuharibikiwa baada ya kufika vyuoni?
*Topics will include:*
* Purpose and Identity
* Character Development
* Financial Literacy
* Career & Entrepreneurship
* Relationships
* Leadership
* Spiritual Growth
* Practical Life Skills
Tuna vingi sana vya kuzungumza na hili rika, tafadhali mzazi tuletee kijana wako kwa ajili yako mwenyewe. Yuko mbali ya Dar es Salaam msafirishe.
Bonyeza link hii kwa usajili. Hakuna kiingilio ni bure kabisa.
https://tally.so/r/J9j9g7
Shinda kitofauti, wewe na uzao wako
Beatrice & Colle
Anointed Room Ministry