Efatha Church Sharoni - Arusha

Efatha Church Sharoni - Arusha KANISA LA EFATHA ARUSHA. Uponyaji na Ukombozi kwa damu ya YESU KRISTO. Mark7:34

02/06/2026

ZABURI 127:1
BWANA asipoijenga nyumba
Waijengao wanafanya kazi bure.
Tunaikabidhi siku ya jumanne mikononi mwa BWANA maana ni siku ya kujenga familia zetu na ndoa zetu.

01/06/2026

Naibariki jumatatu yangu nitakwenda kufanya kazi na pesa zitanifuata maana zimeamriwa kunifuata

Zaburi 90:17
Na fadhili za BWANA, Mungu wetu, ziwe juu yetu, Na kazi ya mikono yetu uifanye thabiti, Naam, kazi ya mikono yetu uifanikishe.

Heri ya mwezi June ukawe mwezi wa Baraka na Fanaka kwakoukawe mwezi wakujibiwa maombi yako yote uliyoyaomba toka mwaka h...
01/06/2026

Heri ya mwezi June ukawe mwezi wa Baraka na Fanaka kwako
ukawe mwezi wakujibiwa maombi yako yote uliyoyaomba toka mwaka huu 2026 uanze

Yohana 15:7
Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lolote mtakalo nanyi mtatendewa.

31/05/2026

IBADA YA JUMAPILI 31.5.2026

30/05/2026

Ibada ya mfungo 30.05.2026

29/05/2026

29.MAY.2026
31 DAYS OF FASTING AND PRAYER
WOMEN'S NIGHT

PRAISE AND WORSHIP TO OUR GOD'S PRESENCE

WELCOME TO JOIN US
BE BLEESSED, STAY BLESSED .

29/05/2026

MFUNGO 28.05.26

27/05/2026

JEE
Unafurahia kuwepo hemani mwa BWANA?
Mtumishi wa MUNGU Daudi akasema katika
Zaburi: 122:1
Nalifurahi waliponiambia, Na twende nyumbani kwa Bwana.

Jee ni nini kinachokuzuia kuwepo hemani mwa BWANA?

26/05/2026

Yohana 4:23-24
Lakini wakati unakuja, tena umekwisha timia, ambapo wale wanaoabudu inavyostahili watamwabudu Baba katika roho na kweli. Watu wanaoabudu kwa njia hii ndio anaowataka Baba. 24 Mungu ni roho na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.”

Address

Kimandolu
Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Church Sharoni - Arusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category