02/01/2026
Jukumu la Kanisa ni kugusa Roho na mioyo ya waumini wake na wasio waumini ili kuwafanya wausikie na kuuhisi Upendo wa Yesu Kristo kwenye maisha yao ya kila siku.
Tutaanza program ya kuwachangia watu wenye mahitaji maalum hapa ili wakutane na upendo wa Yesu Kristo.
Je, nini maoni yako katika hili??
0712401880