Casfeta-Tayomi - ATC_Official

Casfeta-Tayomi - ATC_Official Wanachuo TULIOOKOKA wa makanisa Ya KIPENTEKOSTE hapa CHUO CHA UFUNDI ARUSHA. HISTORIA FUPI YA KUNDI TOKEA KUANZISHWA MWAKA 1980. Ezborn Yohana - 2010/2011
02.

Mnamo mwaka 1980, kikundi kidogo cha wanachuo wapentekoste kilijitenga kutoka kwenye jumuiya ya wakati huo ya Umoja wa kikristo wa wanafunzi Tanzania (UKWATA) na kuunda ushirika mpya ulio julikana k**a Christian Fellowship (CF) na kuanza kufanya ibada katika chumba namba 06 (Ukumbi wa Bunge - Arusha Technical College) kwa kuanza na wanafunzi wachache wasiozidi 15 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa t

awi wakati huo, ambaye kwasasa ni Mchungaji na Askofu Lawrance Kameta. Tangu wakati huo Christian Fellowship (CF) bila kujali uchache waliokuwa nao iliendelea kukua na kuleta UAMSHO katikati ya chuo hivyo kusababisha baadhi ya wanafunzi kumpokea YESU kuwa BWANA na MWOKOZI wa maisha yao. Christian Fellowship (CF) iliendelea kukua na kuongezeka mwaka hadi mwaka chini ya viongozi mbalimbali, na yafuatayo ni majina machache tu ya baadhi ya viongozi walio ongoza kundi chini ya Christian Fellowship(CF) ambao ni Eng.Kalembo(1980), Mchungaji na Askofu Lawrance Kameta(1981), Mchungaji na Muhandisi Rodgers Namwenje(1982), Mchungaji na Muhandisi Joseph Kotini(1983), Mchungaji Raphael, Eng.Simon Mbaga(1997), Mkufunzi wa Elimu Ya Juu na Mzee wa Kanisa Nicolaus Stanslaus (1998), Mzee wa Kanisa na Muhandisi Seba Maginga(1999), Eng.Huruma Kidenya(2000), Eng.Wilfred Ntandu Mkese(2001), Eng.Hosea Nango(2002). Mnamo mwaka 2006 Uongozi wa CASFETA TAYOMI mkoa wa Arusha pamoja na Mkurugenzi wa kwanza wa CASFETA nchini; Mch. JOSEPH JUSTINE kwa kushirikiana na Christian Fellowship(CF) uongozi wa tawi pamoja na mlezi wa Christian Fellowship Mchungaji na Muhandisi Joseph M. Kotini (ambaye amekuwa Mwalimu mlezi kwa miaka 32 kuanzia 1989 - 2021, kisha Kuwa Mchungaji Mlezi wa tawi) walikubaliana kubadilisha jina la ushirika kutoka Christian Fellowship kwenda CASFETA TAYOMI ATC. Kuanzia wakati huo hata sasa tawi hili limekuwa chini ya TANZANIA YOUTH MINISTRIES (TAYOMI). IFUATAYO NI ORODHA YA BAADHI YA WALIOWAHI KUTUMIKA K**A WENYEVITI :-
01. Erick Longino - 2011/2012
03. Florian Kamala - 2012/2013
04. Christover Mahenge - 2013/2014
05. Emmanuel Nobert - 2014/2015
06. Lazaro Mollel - 2015/2016
07. Onorasco Daudi - 2016
08. Jeremiah Samson •2016/2017 •2017/2018 •2018/2019
09. Mwemezi William Kato - 2019/2020
10. Maiko Elisha Haonga - 2020/2021
11. Ramson G. Weston - 2021/2022

Pia mchango wa wateule wengine k**a Rhoda Kephas(2019), Joseph Makindi(2020), Ivan Kameka(2021), Emmanuel Macha(2022). Sifa na utukufu apewe Mfalme Yesu. BAADHI YA MIKUTANO YA INJILI TULIYOIFANYA MPAKA SASA:-
•Kilimanjaro, MOSHI (2012).
•SINGIDA (2014).
•Kilimanjaro, OldMoshi - KIKARARA (2015).
•Tanga, Handeni - KABUKU (2016).
•Manyara, Simanjiro - NABERELA (2017).
•Kimanjaro, Moshi - HIMO (2018).
•Pwani, Kibaha - MLANDIZI (2019).
•Tanga, LUSHOTO (2020).
•Kilimanjaro, Rombo - TARAKEA (2021).
•Manyara, Hanang - KATESH (2022). Casfeta Tayomi Atc, familia hii imekuwa ya muhimu sana katika kukuza na kuvilea vipawa na huduma zetu mbalimbali k**a watumishi wa Mungu lakini pia k**a wasafiri wa kwenda mbinguni. "Kwa hiyo nampigia Baba magoti, ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa" - Waefeso 3:14-15.

26/05/2026

🅴🅴🅼🅲
("leo tunajifunza kesho tunaongozaa")

𝔻𝔸𝕐 2 𝕆ℕ   𝕋ℍ𝔼 𝕎𝔼𝔼𝕂 𝕆𝔽  🅴🅴🅼🅲 🔥🔥🔥
26/05/2026

𝔻𝔸𝕐 2 𝕆ℕ 𝕋ℍ𝔼 𝕎𝔼𝔼𝕂 𝕆𝔽 🅴🅴🅼🅲 🔥🔥🔥

25/05/2026

𝕂𝔸ℝ𝕀𝔹𝕌ℕ𝕀 𝕂𝔸𝕋𝕀𝕂𝔸 𝕎𝔼𝔼𝕂 𝕃𝔸 𝔹𝔸ℝ𝔸𝕂𝔸 𝕃𝔸 🅴🅴🅼🅲 . 𝕄𝕌ℕ𝔾𝕌 𝔸𝕂𝕌𝔹𝔸ℝ𝕀𝕂𝕀 𝕊𝔸ℕ𝔸𝔸 ,🙏🙏🙏

24/05/2026

Worship moment

24/05/2026

𝕋ℍ𝔼 ℙℝ𝔼𝔸ℂℍ𝔼ℝ 𝕆𝔽 ℂℍ𝕌ℝℂℍ ℝ𝕆𝕋𝔸𝕋𝕀𝕆ℕ
ℝ𝔼𝕍 ℕ𝔸𝕋ℍ𝔸ℕ

24/05/2026

𝕎ℍ𝔸𝕋 𝔸 ℙ𝕆𝕎𝔼ℝ𝔽𝕌𝕃𝕃 ℂℍ𝕌ℝℂℍ ℝ𝕆𝕋𝔸𝕋𝕀𝕆ℕ
𝕋𝕆𝔻𝔸𝕐 24 𝕄𝔸𝕐 2026 𝔸𝕋 ℙ𝔸𝕊𝕋𝕆ℝ 𝔸𝕃𝔼𝕏 𝔼𝕃𝕀𝔸𝕊.
𝕎𝔼 𝕋ℍ𝔸ℕ𝕂 𝕐𝕆𝕌 𝔸𝕃𝕃 ℙ𝔸ℝ𝕋𝕀ℂ𝕀ℙ𝔸ℕ𝕋𝕊 𝔽𝕆ℝ 𝕐𝕆𝕌ℝ ℂ𝕆𝕆ℙ𝔼ℝ𝔸𝕋𝕀𝕆ℕ . 𝕄𝔸𝕐 𝕋ℍ𝔼 𝕃𝕆ℝ𝔻 𝕁𝔼𝕊𝕌𝕊 𝔹𝕃𝔼𝕊𝕊 𝕐𝕆𝕌 𝔸𝕃𝕃 💥💥💥🙏🙏🙏

23/05/2026
21/05/2026

𝔾𝔼𝕋 𝕎𝔼𝕃𝕃 ℙℝ𝔼ℙ𝔸ℝ𝔼𝔻 𝔽𝕆ℝ
🅃🄷🄴 🄽🄸🄶🄷🅃 🄾🄵 🄶🄻🄾🅁🅈
𝔾𝕆𝔻 𝔹𝕃𝔼𝕊𝕊 𝕐𝕆𝕌 💥💥💥🙌

20/05/2026

𝕄𝔸𝔸ℕ𝔻𝔸𝕃𝕀ℤ𝕀𝕀 𝕂𝕌𝔼𝕃𝔼𝕂𝔼𝔸 𝕋𝔸ℝ𝔼ℍ𝔼 19 𝕁𝕌ℕ𝔼 2026 𝕀𝔹𝔸𝔻𝔸 𝕐𝔸 𝕄𝕂𝔼𝕊ℍ𝔸 𝕀ℕ𝔸𝕐𝕆𝕃𝔼𝕋𝕎𝔸 𝕂𝕎𝔼ℕ𝕌 𝕂𝕎𝔸 𝕁𝕀ℕ𝔸 𝕃𝔸 🅃🄷🄴 🄽🄸🄶🄷🅃 🄾🄵 🄶🄻🄾🅁🅈 𝕂𝔸ℝ𝕀𝔹𝕌ℕ𝕀 𝕊𝔸ℕ𝔸𝔸 𝔼ℕ𝔼𝕆 ℕ𝕀 𝔼𝔸𝔾𝕋 𝔹𝕆ℕ𝔻𝔼 𝕃𝔸 𝔹𝔸ℝ𝔸𝕂𝔸 🙏🙏🙏

AWAMU ZA WENYEVITI HAPA TAWINI •Eng.Kalembo(1980);•Bishop Lawrence Kameta(1981);•Pst. Rodgers Namwenje(1982);•Ev.Eng.Dav...
22/01/2025

AWAMU ZA WENYEVITI HAPA TAWINI


•Eng.Kalembo(1980);
•Bishop Lawrence Kameta(1981);
•Pst. Rodgers Namwenje(1982);

•Ev.Eng.David Mtunguja (1993);
•Eng.Simon Mbaga(1997);

•Eng.Seba A. Maginga (1999);
•Eng.Huruma Kidenya (2000);
•Eng.Wilfred N. Mkese (2001);
•Eng.Hosea Nango (2002);

• Emmanuel Chuma 2006/2007;
• Emmanuel Waweru 2007/2008;
• Waziri Mlalila 2008/2009;
• Emmanuel Norbert 2009/2010;
• Ezborn Yohana 2010/2011;
• Erick Longino - 2011/2012;
• Florian Kamala - 2012/2013;
• Christover Mahenge - 2013/2014;
• Emmanuel Nobert - 2014/2015;
• Lazarus Mollel - 2015/2016;
• Onorasco David – 2016/2017;
• Jeremiah S. Jeremiah - 2017/2018/2019;
• Mwemezi W. Kato - 2019/2020;
• Maiko E. Haonga - 2020/2021;
• Ramson G. Weston - 2021/2022;
• Christina D. Waijaha - 2022/2023;
• Yohana R. Mpongo - 2023/2024;
• Emmanuel M. Macha - 2024/2025.

Address

Mianzini
Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Casfeta-Tayomi - ATC_Official posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Casfeta-Tayomi - ATC_Official:

Share