Holy Cross Family Ministries Tanzania

Holy Cross Family Ministries Tanzania Promoting and supporting the spiritual well-being of the family.

Holy Cross Family Ministries is a family of catholic ministries that inspires, promotes and fosters the prayer life and spiritual well-being of families throughout the world

Kwa Mioyo ya shukrani kwa Mwenyezi Mungu, tumehitimisha Safari ya Mama katika Parokia parokia ya Mt .Anton wa Padua , Ch...
03/06/2026

Kwa Mioyo ya shukrani kwa Mwenyezi Mungu, tumehitimisha Safari ya Mama katika Parokia parokia ya Mt .Anton wa Padua , Chemchem na Parokia na Mt.Petro na Paulo mtume Rhotia Kainam, safari ya sala kwa maombezi ya Mama Bikira Maria kwa ajili ya kuombea amani, upendo na umoja katika familia zetu.

Tunawashukuru wote walioshiriki katika safari hii ya kiroho. Tuendelee kujikabidhi kwa Mama Maria, akiendelea kutuombea ili familia zetu ziwe chemchemi ya amani na Umoja katika sala.

🙏 Mama Maria, Malkia wa Familia, utuombee.
Family Rosary Hcfm Tanzania @holycrossfamilyministries

03/06/2026

Leo tunakumbuka Kifo cha Pd. Patrick Peyton, mwanzilishi wa Utume wa Familia wa Shirika la Msalaba Mtakatifu Ulimwenguni.
Aliyefariki tarehe k**a ya leo mwaka 1992, na maneno yake ya mwisho yalikuwa: "Maria, Malkia wangu na Mama yangu."

Today, we commemorate Fr. Patrick Peyton’s Death.
He died peacefully on June 3, 1992, his final words were: “Mary, my Queen, my Mother.”

We continue to pray for his beatification.

Family Rosary Hcfm Tanzania

"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha..... mjifunze kwangu; kwa kuwa mim...
02/06/2026

"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha..... mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo" ~Mathayo 11:28 - 30 /

"Come to me, all you who labor and are burdened, and I will give you rest...
Learn from me, for I am meek and humble of heart.”
~Matthew 11:28 - 30

Family Rosary Holy Cross Family Ministries








See less

30/05/2026

"Sala yenye nguvu ipo mikononi mwako" - Venerable Patrick Peyton CSC
Family Rosary

Mama Maria hasiti kuingia katika familia inayomwita kwa sala ya Rozari Takatifu, kupitia maombezi yake familia hupata fa...
29/05/2026

Mama Maria hasiti kuingia katika familia inayomwita kwa sala ya Rozari Takatifu, kupitia maombezi yake familia hupata faraja katika huzuni, umoja katika migawanyiko, na tumaini katika nyakati ngumu na kustawi.

"Familia Inayosali Pamoja, Huishi Pamoja" - Padre Patrick Peyton CSC.

https://youtu.be/_79iUnCs65Q?si=aJAktNVOJHFI-o5K

Family Rosary Holy Cross Family Ministries








“Mama Maria hasiti kuingia katika familia inayomwita kwa sala ya Rozari Takatifu, kupitia maombezi yake familia hupata faraja katika huzuni, umoja katika mig...

 Family Rosary
26/05/2026


Family Rosary

Tuzikusanye familia zetu mbele ya Mungu kwa kusali sala ya Rozari Takatifu ili ziwe na upendo, amani na ulinzi. "Familia...
26/05/2026

Tuzikusanye familia zetu mbele ya Mungu kwa kusali sala ya Rozari Takatifu ili ziwe na upendo, amani na ulinzi.

"Familia Inayosali Pamoja, Huishi Pamoja" - Padre Patrick Peyton CSC.

Family Rosary Holy Cross Family Ministries








See less

“Roho Mtakatifu tujaze amani, hekima, na nguvu ya kuwa mashahidi wa Kristo katika maisha yetu ya kila siku.”
24/05/2026

“Roho Mtakatifu tujaze amani, hekima, na nguvu ya kuwa mashahidi wa Kristo katika maisha yetu ya kila siku.”

“Hata yasiyowezekana huchanua kupitia imani.”“Even the impossible blooms through faith.” — St. Rita of CasciaFamily Rosa...
22/05/2026

“Hata yasiyowezekana huchanua kupitia imani.”
“Even the impossible blooms through faith.” — St. Rita of Cascia
Family Rosary

“Maisha ya Watoto wa Fatima: Mfano kwa Watoto wa Familia za Sasa”📅 Siku: Jumatano⏰ Muda: Saa 4:00 asubuhi hadi Saa 5:00 ...
19/05/2026

“Maisha ya Watoto wa Fatima: Mfano kwa Watoto wa Familia za Sasa”
đź“… Siku: Jumatano
⏰ Muda: Saa 4:00 asubuhi hadi Saa 5:00 asubuhi (10:00am – 11:00am)
đź“» Kupitia: Amani Radio Fm - Arusha

Usikose kipindi hiki chenye mafundisho na hamasa kwa watoto, wazazi, na familia zote.

Tutatafakari jinsi watoto wa Fatima walivyoishi maisha ya sala, utiifu, maadili mema, na kumtegemea Mungu na namna gani watoto wa leo wanaweza kujifunza kutoka kwa ushuhuda wao.
“Watoto wa leo wakimjua Mungu mapema, jamii ya kesho itakuwa na tumaini.” 🙏
Family Rosary

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Holy Cross Family Ministries Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Holy Cross Family Ministries Tanzania:

Share