Holy Cross Family Ministries Tanzania

Holy Cross Family Ministries Tanzania Promoting and supporting the spiritual well-being of the family.

Holy Cross Family Ministries is a family of catholic ministries that inspires, promotes and fosters the prayer life and spiritual well-being of families throughout the world

This month of September let’s dedicate it to “Our Lady Of Sorrows”Jiunge nasi tarehe 22 Oktoba katika Rozari Takatifu ku...
05/09/2026

This month of September let’s dedicate it to “Our Lady Of Sorrows”

Jiunge nasi tarehe 22 Oktoba katika Rozari Takatifu kuombea Amani Ulimwenguni (Global Rosary For Peace), tunapoungana na familia kote duniani kusali kwa ajili ya amani. 🌍🕊️
Jisajili leo kupitia: hcfm.org/pray-for-peace na tuungane katika sala kwa ajili ya amani duniani.
FFamily Rosary

Jiunge nasi tarehe 22 Oktoba katika Rozari Takatifu kuombea Amani Ulimwenguni  (Global Rosary For Peace), tunapoungana n...
03/09/2026

Jiunge nasi tarehe 22 Oktoba katika Rozari Takatifu kuombea Amani Ulimwenguni (Global Rosary For Peace), tunapoungana na familia kote duniani kusali kwa ajili ya amani. 🌍🕊️
Jisajili leo kupitia: hcfm.org/pray-for-peace na tuungane katika sala kwa ajili ya amani duniani. 🙏
Family Rosary

https://youtu.be/94GDUIFqJyo?si=edUgaxIskSHXU2fGChagua malezi bora kwa watoto wako, haijalishi ni mlezi mmoja au wawili,...
02/09/2026

https://youtu.be/94GDUIFqJyo?si=edUgaxIskSHXU2fG
Chagua malezi bora kwa watoto wako, haijalishi ni mlezi mmoja au wawili, haya yamejadiliwa leo katika mwendelezo wa vipindi vyetu kutoka Amani Radio 100.5 FM. Sikiliza hapa.

hcfm.org/pray-for-peace
Karibu ujisajili Kwa ajiri ya kusali pamoja Rosari tarehe 22/10 Kwa ajili ya kuiombea amani ulimwenguni.
Hi! I just signed up to be part of the Global Rosary on October 22nd. I will pray for peace alongside hundreds of thousands of families worldwide.
I call on you and every Catholic to join us! You can register here: hcfm.org/pray-for-peace

Sambamba na hilo Kila siku kutakuwa na sala maalumu Kwa ajili ya kusali na Mtakatifu Fulani ambaye tutaomba maombezi yake mpaka tarehe hiyo 22

Chagua malezi bora kwa watoto wako, haijalishi ni mlezi mmoja au wa...

01/09/2026

Simu yako si ya burudani tu, itumie kumkaribia Mungu!🙏🏾
Sali, soma Neno, na ishi imani yako kila siku.

Familia Inayosali Pamoja, Huishi Pamoja - Ven. Patrick Peyton

Habari! Nimejiandikisha kushiriki katika Rozari ya Ulimwengu tarehe 22 Oktoba. Nitasali kwa ajili ya amani pamoja na mamia ya maelfu ya familia kutoka kote duniani.
Ninakualika wewe pamoja na kila Mkatoliki kujiunga nasi! Unaweza kujisajili hapa:
hcfm.org/pray-for-peace

31/08/2026

WILL YOU ANSWER THE CALL? I invite you to pray the Rosary every day for peace in the world – POPE LEO XIV True peace is possible, and it begins when we pray together. Imagine every Catholic in the world lifting up a single voice at the exact same moment. United with Mary, the Mother […]

Kijana, usikubali changamoto za leo zikufanye uache kuamini kesho yako, kila ndoto kubwa huanza na hatua ndogo, na kila ...
27/08/2026

Kijana, usikubali changamoto za leo zikufanye uache kuamini kesho yako, kila ndoto kubwa huanza na hatua ndogo, na kila mafanikio yanahitaji uvumilivu, nidhamu na moyo wa kutokata tamaa.
Usiogope kuanza kwa kidogo., usijilinganishe na wengine, safari yako ni yako, na wakati wako utafika, kuna siku utatazama nyuma na kugundua kwamba maumivu, kushindwa na vikwazo ulivyopitia vilikuwa sehemu ya kukujenga kuwa mtu mwenye nguvu zaidi.
Pigania ndoto zako, fanya kazi kwa bidii, jifunze kila siku, simama tena kila unapoanguka, na zaidi ya yote, Mshirikishe Mungu katika kila hatua ya safari yako.

"Sala yenye nguvu, Ipo mikononi mwako" ~ Padre Patrick Peyton CSC.

Family Rosary Holy Cross Family Ministries








"Nguvu ya Sala ya Rozari Takatifu"🙏🙏🙏Rozari ni chanzo cha nguvu, amani na tumaini katika maisha yetu, tunapoisali kwa mo...
26/08/2026

"Nguvu ya Sala ya Rozari Takatifu"🙏🙏🙏

Rozari ni chanzo cha nguvu, amani na tumaini katika maisha yetu, tunapoisali kwa moyo wa imani, tunatafakari maisha ya Yesu na kujifunza kumtumaini Mungu katika kila hali tunayopitia.

Katika dunia yenye changamoto, vishawishi na hofu nyingi, Rozari hutusaidia kukaa karibu na Mungu, kupata nguvu ya kushinda majaribu na kuimarisha imani yetu, kupitia Mama yetu Bikira Maria, tunamkabidhi Mungu mipango, ndoto na mahitaji yetu.
Usiione Rozari k**a sala ya kawaida tu, ifanye kuwa sehemu ya maisha yako, ukiwa na furaha, sali Rozari; ukiwa na changamoto, sali Rozari, shika Rozari yako kwa imani, mshikilie Kristo kwa moyo wa matumaini.

"Sala yenye nguvu, Ipo mikononi mwako" ~ Padre Patrick Peyton CSC.

Family Rosary Holy Cross Family Ministries








"Kijana, tumia fedha kwa hekima, Jifunze kutofautisha mahitaji na tamaa, epuka matumizi yasiyo ya lazima, na uwe na tabi...
25/08/2026

"Kijana, tumia fedha kwa hekima, Jifunze kutofautisha mahitaji na tamaa, epuka matumizi yasiyo ya lazima, na uwe na tabia ya kuweka akiba kwa ajili ya kesho.
Katika kila mpango wako wa kifedha, mhusishe Mungu, Sali kuomba hekima, fanya kazi kwa bidii, na tumia kile ulichopewa kwa uaminifu."

Haya yamesemwa leo tukiwa katika kongamano la vijana Singida kuwasaidia namna ya kujieneleza kiuchumi, lakini pia kuwakumbusha kuwa na ushirika na Mungu wakati wote wa mapambano ya maisha yao ya kila siku.

"Jaribu Sala Inatenda" ~ Padre Patrick Peyton CSC.

Family Rosary Holy Cross Family Ministries








Vijana, dunia ya leo imejaa fursa, tumia mitandao ya kijamii kwa hekima, jifunze, jenga mahusiano mazuri, tangaza vipaji...
24/08/2026

Vijana, dunia ya leo imejaa fursa, tumia mitandao ya kijamii kwa hekima, jifunze, jenga mahusiano mazuri, tangaza vipaji vyako na tafuta njia za kujiongezea kipato,
popote ulipo iwe mjini au kijijini, tumia mazingira yako kujijenga na kujenga wengine,
mazingira yasiwe sababu ya wewe kutofikia ndoto zako, bali heshima, bidii na ubunifu viwe funguo za milango ya maendeleo yako,
Kanisa likupa nafasi ya kuonyesha vipaji na uwezo wako usiache fursa hizo zipite, tumikia, shiriki na tumia kipawa ambacho Mungu amekupa,

Zaidi ya yote, baki ndani ya Kristo, mshirikishe Mungu katika mipango yako, kwa sababu mafanikio ya kweli si mali pekee, bali ni kuwa na maisha yenye kusudi, heshima na imani, tumia fursa za leo kuijenga kesho yenye baraka na mafanikio!

"Jaribu Sala Inatenda" ~ Padre Patrick Peyton CSC.

Family Rosary Holy Cross Family Ministries








24/08/2026

Tunajivunia kumheshimu na kumpenda Mama yetu Bikira Maria. 💙🙏
Mama Maria, Utuombee na utuongoze daima kwa Mwanao Yesu.

HIJA YA MAMA BIKIRA MARIA - MVIMWA
KONGAMANO LA VIJANA, SUMBAWANGA
Sala yenye nguvu ipo mikononi mwako - Venerable Patrick Peyton
Family Rosary

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Holy Cross Family Ministries Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Holy Cross Family Ministries Tanzania:

Shortcuts

Share