03/06/2026
Kwa Mioyo ya shukrani kwa Mwenyezi Mungu, tumehitimisha Safari ya Mama katika Parokia parokia ya Mt .Anton wa Padua , Chemchem na Parokia na Mt.Petro na Paulo mtume Rhotia Kainam, safari ya sala kwa maombezi ya Mama Bikira Maria kwa ajili ya kuombea amani, upendo na umoja katika familia zetu.
Tunawashukuru wote walioshiriki katika safari hii ya kiroho. Tuendelee kujikabidhi kwa Mama Maria, akiendelea kutuombea ili familia zetu ziwe chemchemi ya amani na Umoja katika sala.
🙏 Mama Maria, Malkia wa Familia, utuombee.
Family Rosary Hcfm Tanzania @holycrossfamilyministries