22/01/2026
❗️DAY 04 OF 12 DAYS OF PRAYER AND FASTING | SIKU YA 04 MFUNGO SIKU 12❗️
(2 Nyakati 20:15)
"BWANA awaambia hivi, Msiogope wala msifadhaike kwa ajili ya jeshi kubwa hili; kwani vita si yenu bali ni ya Mungu."
1.Mungu atakupigania mwenyewe mwaka huu kwa jina la Yesu...!
2.Haijalishi idadi ya walio kinyume chako, Mkono wake ni mkuu sana na atajidhuhirisha kwako k**a jemedari na komando wa vita kwa yeyote atayesimama kukushambulia na kutaka kukudhuru mwaka huu, kwa jina la Yesu...!
3.Pamoja na kwamba watajaribu kukurushia mishale yao ya uovu na uharibifu; kwa sababu ya Mungu kuwa upande wetu, mishale yao haitatufikia kwa jina la Yesu.
4.Mungu atapigania familia yako mwaka huu...
-Mungu atapigania ndoa yako mwaka huu...
-Mungu atapigania mahusiano yako mwaka huu....
-Mungu atawapigania watoto wako mwaka huu kwa jina la Yesu...
-Mungu atapigania biashara na kazi yako mwaka huu...
-Mungu atapigania mifugo na mashamba yako mwaka huu...
-Mungu atapigania masomo na taaluma yako mwaka huu....
-Yeye aliyekuita kumtumikia,Atapigania na kutetea nafasi yako ya wito, na hakuna atakayekudhuru wala kuchukua nafasi yako kwa jina la Yesu.
-Mwamini Mungu, tenga muda wako kufuatisha maombi haya kwa imani.
📍Kumbuka, maombi ya mwenye haki yafaa sana akiomba kwa bidii na kwa imani.
Yesu anakupenda sana...
Shalom 🙏!
NB:
K**a Hujafunga Anza leo Kilele cha maombi haya ni tarehe 30|01|26 SIKU YA IJUMAA.Na Tutakuwa na KONGAMANO Kubwa la KUANZA MWAKA NA BWANA KWANZIA SAA NANE MCHANA.Anza Kujiandaa Kuhudhuria.
Apostle Emmanuel Malisa
House Of Prayer Ministries Int
0743010082