09/07/2020
*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*
"Wakimtii Mungu na kumtumikia, hufanikiwa katika siku zao zote; miaka yao yote huwa ya furaha." Ayubu 36:11 BHN
“If they hear and serve Him, They will end their days in prosperity And their years in pleasantness and joy." Job 36:11 AMP
UKITII na KUMTUMIKIA MUNGU swala la KUFANIKIWA linakua siyo UCHAGUZI tena bali ni MAISHA na FURAHA inakua ni MTINDO wako Maisha (Hautakua Mtu wa MOODS).
Follow Us Instagram:
```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```
*Savior Ministry*