Savior Ministry

Savior Ministry Tunapenda kuwakaribisha Watu wote katika Page yetu.Huduma hii inahusisha madhehebu mbalimbali, lengo ni kujenga mwili wa kristo YESU pamoja

09/07/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Wakimtii Mungu na kumtumikia, hufanikiwa katika siku zao zote; miaka yao yote huwa ya furaha." Ayubu 36:11 BHN

“If they hear and serve Him, They will end their days in prosperity And their years in pleasantness and joy." Job 36:11 AMP

UKITII na KUMTUMIKIA MUNGU swala la KUFANIKIWA linakua siyo UCHAGUZI tena bali ni MAISHA na FURAHA inakua ni MTINDO wako Maisha (Hautakua Mtu wa MOODS).



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

08/07/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata *uzima wa milele.* " Yohana 12:25 SUV

“The one who loves his life [eventually] loses it [through death], but the one who hates his life in this world [and is concerned with pleasing God] will keep it for life eternal." John 12:25 AMP

Kuhusu maisha ya umilele...
Watu: Nimemwachia Mungu apange
MUNGU:Nimeshapanga, nimemwachia mtu achague. 🤔🤔🤔



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

07/07/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa BWANA umekuzukia." Isaya 60:1 SUV

“Arise [from spiritual depression to a new life], shine [be radiant with the glory and brilliance of the Lord ]; for your light has come, And the glory and brilliance of the Lord has risen upon you." Isaiah 60:1 AMP

NURU ya BWANA iko upande wako ni swala la wewe kuchukua atua ya KUONDOKA na KUANGAZA. Umeaminiwa rafiki 😊



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

04/07/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Lakini mwenendo wenu na uwe k**a inavyoipasa Injili ya Kristo, ili, nikija na kuwaona ninyi, au nisipokuwapo, niyasikie mambo yenu, k**a mnasimama imara katika roho moja, kwa moyo mmoja mkiishindania imani ya Injili;" Wafilipi 1:27 SUV

“Only [be sure to] lead your lives in a manner [that will be] worthy of the gospel of Christ, so that whether I do come and see you or remain absent, I will hear about you that you are standing firm in one spirit [and one purpose], with one mind striving side by side [as if in combat] for the faith of the gospel."Philippians 1:27 AMP

Injili inakuja kukutengenezea mwenendo unaompendeza MUNGU, ili UISHI sawasawa na MAPENZI ya MUNGU. 😊



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

03/07/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lo lote." Yohana 15:5 SUV

“I am the Vine; you are the branches. The one who remains in Me and I in him bears much fruit, for [otherwise] apart from Me [that is, cut off from vital union with Me] you can do nothing." John 15:5 AMP

Nje ya YESU KRISTO hakuna utakaloweza, Ukikaa ndani yake nae ndani yako umeingia kwenye level za *YASIYOWEZEKANA KUWEZEKANA*



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

02/07/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Aniaminiye mimi, k**a vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake." Yohana 7:38 SUV

“He who believes in Me [who adheres to, trusts in, and relies on Me], as the Scripture has said, ‘From his innermost being will flow continually rivers of living water.’ ”John 7:38 AMP

Niswala la KUMWAMINI na KULIAMINI NENO lake. 😊 Alafu Unabaki mahali pa UTELE.



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

01/07/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;" Yohana 4:13 SUV

“Jesus answered her, “Everyone who drinks this water will be thirsty again." John 4:13 AMP

YESU ndiye MAJI yaliyo HAI yeye anywae hatoona kiu KAMWE. Je, shida yako ni Ulevi? Uasherati? Wizi,? Uzinzi? Kunywa Maji yaliyo HAI kuondoa KIU uliyonayo.



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

30/06/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo dogo, huwa dhalimu katika lililo kubwa pia." Luka 16:10

““He who is faithful in a very little thing is also faithful in much; and he who is dishonest in a very little thing is also dishonest in much." Luke 16:10 AMP

MUNGU anaanza kukwamini pale ambapo unakua MWAMINIFU mwenyewe kwenye yale yaliyo ndani ya UWEZO wako mwenyewe. (MWAMINIFU kwenye MADOGO). Mchakato wa KUAMINIKA ni mchakato wa KUJIAMINI



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

29/06/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende." Yohana 5:11 SUV

“He answered them, “The Man who healed me and gave me back my strength was the One who said to me, ‘Pick up your pallet and walk.’ ”
John 5:11 AMP

Mara nyingi tunapoteza MIUJIZA yetu kwa kuruhusu Mazingira ya NJE kufanya kazi. Kwanini kuwa na Shaka Kile BWANA amesema nawe?



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

27/06/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote;" 1 Timotheo. 2:1 SUV

“First of all, then, I urge that petitions (specific requests), prayers, intercessions (prayers for others) and thanksgivings be offered on behalf of all people,
1 Timothy 2:1 AMP

Kabla ya Mambo yote Unafanya nini? Na Je, ukiomba Unaomba kwaajili yako peke yake? Ungana nasi kila Jumatatu hadi Ijumaa Kuanzia Saa 11 Asubuhi kwa Maombi kupitia Instagram Account edwin_mosha. Umekaribishwa. 😊



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

26/06/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;" 1 Wakoritho 6:19 SUV

“Do you not know that your body is a temple of the Holy Spirit who is within you, whom you have [received as a gift] from God, and that you are not your own [property]?" 1 Corinthians 6:19 AMP

Wewe siyo Mali yako mwenyewe ndiyo maana mwenye Mali (MUNGU) anakukumbusha. Usijitumie Vibaya.



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

25/06/2020

*MKATE 🥪 wa ASUBUHI*

"Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani." Isaya 9:6 SUV

“For to us a Child shall be born, to us a Son shall be given; And the government shall be upon His shoulder, And His name shall be called Wonderful Counselor, Mighty God, Everlasting Father, Prince of Peace." Isaiah 9:6 AMP

Umewahi Mruhusu ROHO MTAKATIFU kuwa MSHAURI wako? Maana yeye ni MSHAURI WA AJABU, ya nini KULIA na kukwama ili hali YESU yupo? Rejea kwenye CHANZO.



Follow Us Instagram:




```UTOSHELEVU wetu watoka kwa BWANA```


*Savior Ministry*

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Savior Ministry posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share