25/11/2025
Kitu chochote unachokitaka kipo ndani ya Neno la Mungu.
Utii wako kwa kile ambacho Mungu anataka ufanye, utakupa matokeo kwenye eneo lolote la maisha yako. That's why Mungu anasema tafuteni kwanza ufalme wangu na hayo mengine yote mtazidishiwa.
Akawaita wale Thenashara, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi.
Akawatuma wautangaze ufalme wa Mungu, na kupoza wagonjwa.
Luke 9:1-2