Njoo kwa Yesu Kristo, Arusha Tanzania

Njoo kwa Yesu Kristo, Arusha Tanzania Jukumu letu ni kukusaidia kuwa karibu zaidi na Yesu Kristo kupitia injili ambayo hubariki watu binafsi na familia.

28"Petro akamjibu, akasema, Bwana, ikiwa ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji. 29 Akasema, Njoo. Petro akashuka chomb...
08/03/2022

28"Petro akamjibu, akasema, Bwana, ikiwa ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji. 29 Akasema, Njoo. Petro akashuka chomboni, akaenda kwa miguu juu ya maji, ili kumwendea Yesu. 30 Lakini alipouona upepo, akaogopa; akaanza kuzama, akapiga yowe, akisema, Bwana, niokoe. 31 Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka." Mathayo 14:28-31

K**a Petro, upepo utakuja katika maisha yetu wakati tunamfuata Yesu Kristo. Tunawezaje kuwa na imani na kushika mkono wa Yesu Kristo wakati mashaka yanakuja?

16/02/2022

Tunawezaje kutambua Nabii wa kweli? Ujumbe huu wa Urejesho wa Injili ya Yesu Kristo utajibu swali hilo.

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Njoo kwa Yesu Kristo, Arusha Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share