06/04/2020
Wapendwa katika Kristo Yesu ombeni bila kukoma japokuwa kawa sasa tumeepushwa na janga hili la Corona kwa kuwa na wagonjwa wachache kulinganisha na baadhi ya mataifa yanayotusunguka lakini bado nawasii msikome kuomba kwani Mungu anasikia na anajibu. Muwe na siku njema na Bwana Mungu awabariki. Amen