01/08/2020
Shalom
Heri ya mwezi watu wa MUNGU.
Mwezi wa kuelea nchi ya Gosheni.
Mwanzo 47 4
Wakamwambia Farao, Tumekuja kukaa ugenini katika nchi hii, kwa sababu wanyama wa watumwa wako hawana malisho, maana njaa ni nzito sana katika nchi ya Kanaani. Basi, twakusihi, uturuhusu sisi watumwa wako tukae katika nchi ya Gosheni.
Mwanzo 47 5
Farao akamwambia Yusufu, akisema, Baba yako na ndugu zako wamekujia;
Mwanzo 47 6
nchi ya Misri iko mbele yako, palipo pema pa nchi uwakalishe baba yako na ndugu zako; na wakae katika nchi ya Gosheni. Tena ukijua ya kuwa wako watu hodari miongoni mwao, uwaweke wawe wakuu wa wanyama wangu.
Hakika mwezi huu utakua mwezi wa kuelekea nchi yenye chakula, ulizinzi na malisho ya roho yako.
Nchi hii ni Goshen acha ikawe kwako k**a kwa wana wa Israel. Ukapate raha kwenye mwezi huu wa nane.
Barikiwa Sana wapendwa
Usisahau kulike page yangu na kuacha comment yako please.
Jina langu ni Elisha Ulomi
.