EAGT Kisima Cha Baraka Church Terrat

EAGT Kisima Cha Baraka Church Terrat Ukurasa wa kanisa la EAGT KISIMA CHA BARAKA lililopo Bondeni kati, Terrat Arusha

05/01/2025
22/11/2024

Karibu kwa Yesu kumenoga

24/07/2024

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Bonman Evarister, Rose Tarimo, Edward Mwalongo, Abasi Lashikoni, Joseph Kaka, Pascalia Simwinga, Moreen Mwaweza, Timotheo Mayaya, Mwangwa John, Jese Bizzu, Veronica Mome Veronica Mome, Yusuph Msigwa

KARIBU IBADANI E.A.G.T KISIMA CHA BARAKA- TERRATIBADA JUMAPILI  INAANZA  SAA NNE KAMILI ASUBUHIYohana 4:23[23]Lakini saa...
25/05/2024

KARIBU IBADANI
E.A.G.T KISIMA CHA BARAKA- TERRAT
IBADA JUMAPILI INAANZA SAA NNE KAMILI ASUBUHI

Yohana 4:23
[23]Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu k**a hao wamwabudu.

Mungu anahaja na waabuduo halisi wanaomwabudu yeye katika Roho na kweli maana Mungu ni Roho kwahyo wanaomwabudu imewapasa kuabudu katika Roho na kweli
Ibada inaanzia katika Roho kwahyo k**a ibada yako ipo zaidi katika mwili kuliko katika Roho basi jichunguze vizuri
Neno ''waabuduo halisi'' linatuonesha kabisa kuwa wapo waabuduo ambao sio halisi ''fake''

Yohana 4:24
[24]Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

"Katika kila jambo unalolifanya jifunze kusikiliza sauti ya Mungu kwanza"Lakini ili uisikie sauti ya Mungu lazima  mahus...
18/04/2024

"Katika kila jambo unalolifanya jifunze kusikiliza sauti ya Mungu kwanza"

Lakini ili uisikie sauti ya Mungu lazima mahusihano yako na Mungu yawe mazuri

Mungu ni Mtakatifu kwa maana hiyo hawezi kukaa mahali pachafu kwa sababu uovu/uchafu huuficha uso wake asimwone mwanadamu

Maisha ya dhambi yanamfanya mtu aishi mbali na Mungu, dawa ya dhambi ni kutubu siyo kukimbia, ukizidi kutenda dhambi uta...
11/11/2023

Maisha ya dhambi yanamfanya mtu aishi mbali na Mungu, dawa ya dhambi ni kutubu siyo kukimbia, ukizidi kutenda dhambi utakufa mapema
Ezekieli 18:20
[20]Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.
Ukitaka kuishi kwa amani mtafute Mungu siku zote na kujiepusha na uovu
Mithali 7:1-2
[1]Mwanangu, yashike maneno yangu,

Na kuziweka amri zangu akiba kwako.

[2]Uzishike amri zangu ukaishi,
Na sheria yangu k**a mboni ya jicho lako.

Ukitaka kufanikiwa1. Mpende Mungu kuliko vitu vyote2. Kuwa mtu wa ibada siku zote 3.Kemea na kataa dhambi4. Kuwa msafi k...
11/10/2023

Ukitaka kufanikiwa
1. Mpende Mungu kuliko vitu vyote
2. Kuwa mtu wa ibada siku zote
3.Kemea na kataa dhambi
4. Kuwa msafi kimwili na kiroho
Mungu awe nawe kila wakati, AMEN.

Ukamilifu wa maisha ya wokovu ni kuepuka maisha ya dhambi na kumtegemea Mungu kila siku
20/07/2023

Ukamilifu wa maisha ya wokovu ni kuepuka maisha ya dhambi na kumtegemea Mungu kila siku

Address

Bondeni Kati
Arusha

Telephone

+255759235768

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when EAGT Kisima Cha Baraka Church Terrat posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to EAGT Kisima Cha Baraka Church Terrat:

Share