01/09/2026
Karibu katika semina ya mafundisho ya ndoa. Ujifunze jinsi ndoa inavyoweza kudumisha na kulinda nguvu ya madhabahu ktkt ya familia na kanisa. Ndoa ikiharibika na madhabahu yanaharibika je wajua kuwa uhai wa ndoa ndio uhai wa kanisa? Njoo ujifunze jambo juu ya hilo.