KIA Qur'an Academy

KIA Qur'an Academy Jifunze Kuisoma Qur'an popote pale ulipo.

BISMILLAH RAHMAN RAHIM...Kila sifa njema anastahiki Allah mtukufu,mmoja hana mshirika na ambaye ameteremsha kitabu (Quran ) ili kiwe ni onyo kwa walimwengu, akaiweka nuru na uongofu ndani yake na akamuahidi fadhila nyingi yule atakaye isoma na kuifanyia kwa kuiweka ndani ya maisha yake ya kila siku, kisha akawalaumu na kuwaahidi adhabu Kali wale watakao itweza na kukadhibisha. Tumuombe Allah apele

ke swala na salamu kwa kipenzi cha mioyo yetu Mtume Muhammad pamoja na kizazi chake kilichotwaharishwa na Sahaba zake wema... Naam, ndugu yangu mpenzi wa kiislamu unakaribishwa katika kufurahia makala yetu haya ambayo lengo si lingine Ila kuwafundisha wale wasio na ujuzi na Quran na kuwakumbusha wale wanaojua... Hakika hakuna aliyebora miongoni mwetu ispokuwa Yule atakayeifanyia kazi elimu yake na watu wakafaidika nayo...Ninawaomba watu wote washiriki vizuri ili tuweze kufaidika na kufahamu kuisoma Quran pamoja na hukmu zake.....Wabillah Tawfiq... Wal-hamdulillah..

"Jihadi ya mwanamke ni kuwa mke bora kwa mume wake." - Imam Ali (as).Chanzo: Mizanul Hikma, Ukurasa 374._"The jihad of a...
24/06/2024

"Jihadi ya mwanamke ni kuwa mke bora kwa mume wake." - Imam Ali (as).

Chanzo: Mizanul Hikma, Ukurasa 374.

_

"The jihad of a woman is being a good wife to her husband." - Imam Ali (as)

Source: Mizanul Hikma, Page 374.

"Verily, the Exalted God detests foul-mouthed, scurrilous people." - The Holy Prophet Muhammad (saww)Source: Nahj Al-Fas...
12/06/2024

"Verily, the Exalted God detests foul-mouthed, scurrilous people." - The Holy Prophet Muhammad (saww)

Source: Nahj Al-Fasah, Hadith No 2597.

_____

"Hakika Mungu Mtukufu anawachukia sana watu wenye mdomo mchafu, wenye kueneza maovu." - Mtukufu Mtume (saww)

Chanzo: Nahj Al-Fasah, Hadith Namba 2597.

Toa Maoni Yako.Habari Za Asubuhi Nyote!Je, Ni Mada Gani Ungependa Kujifunza Ndani Ya Wiki Hii Kutoka Kwangu?_____Share Y...
06/06/2024

Toa Maoni Yako.

Habari Za Asubuhi Nyote!

Je, Ni Mada Gani Ungependa Kujifunza Ndani Ya Wiki Hii Kutoka Kwangu?

_____

Share Your Thoughts!

Good Morning To All Of You!

Which Content Would You Like To Learn From Me This Week?

Hakika!! ❤️😂
05/06/2024

Hakika!! ❤️😂

"A highest degree of calamity is to have a large family in a state of poverty" - Holy Prophet Muhammad (saww)Source: Nah...
03/06/2024

"A highest degree of calamity is to have a large family in a state of poverty" - Holy Prophet Muhammad (saww)

Source: Nahj Al-Fasah, Hadith No 2046, Page 287.
_____

"Balaa kubwa zaidi ni kuongeza familia katika hali ya umasikini." - Mtukufu Mtume Muhammad (saww)

Chanzo: Nahj Al-Fasah, Hadith Namba 2046, Ukurasa 287.

Kanuni Ya Gradualism (Mabadiliko Ya Taratibu).Hii ni kanuni ya muhimu sana inayoeleza kuhusu: mabadiliko ya kitu yanayot...
02/06/2024

Kanuni Ya Gradualism (Mabadiliko Ya Taratibu).

Hii ni kanuni ya muhimu sana inayoeleza kuhusu: mabadiliko ya kitu yanayotokea taratibu lakini yanachukua muda mredu sana kukamilika. Yaani hayatokei ghafla.

Usipende sana mabadiliko ya ghafla kwa sababu yanaleta anguko la ghafla.

Mabadiliko ya taratibu yatakujengea tabia na hulka nzuri na bora zaidi itakayokusaidia maisha yako yote.

Lengo kuu ni kuyafikia tunayoyahitaji bila kuangalia tunayaendea kwa mwendo gani.

"Badilika. Lakini iwe taratibu, kwasababu lengo ni kuelekea tunapokwenda na sio kasi tunayokwenda nayo." - Paulo Coelho

_____

The Principle of Gradualism

A priciple admits the fact that, a change that occurs in small stages over a long period of time, rather than suddenly.

Never admit a sudden change as they result to a sudden fall.

A slower change would build a great character that would help you for rest of your life.

The aim is to reach the destination no matter the speed.

"Change. But start slowly, because direction is more important than speed." - Paulo Coelho

KING Ni Wewe.Maisha yetu ni mfano wa mchezo wa Sataranji (Chess). Mchezo huu haumaliziki mpaka KING afe. Haijalishi umel...
31/05/2024

KING Ni Wewe.

Maisha yetu ni mfano wa mchezo wa Sataranji (Chess). Mchezo huu haumaliziki mpaka KING afe. Haijalishi umeliwa kete nyingi kiasi gani. Labda Queen, au Knight wamekufa na wengine wengi ila k**a bado KING yupo, mchezo haujakwisha na unaweza kushinda muda wowote.

KING ananguvu za ajabu. Anaweza kutembea katika kona nne akiwakwepa maadui na ili awamalize. Ikitokea amepata nafasi nzuri basi anaweza kuwamaliza maadui wote kwa mpigo na mchezo ukawa umemalizika kwa ushindi mkubwa.

Kadhalika ni hivyo hivyo katika maisha yako. Haijalishi umewapoteza wangapi, umelia mara ngapi, au umepitwa na fursa nyingi kiasi gani ambazo zingeweza kuyabadilisha maisha yako. Au pengine ulipata hasara katika kila jambo ulilofanya, au kila mpango mzuri uliokupatia matumaini ulikufa ghafla, basi tambua kuwa maisha yako hayajakwisha mpaka KING afe. Na KING ni wewe.

Endelea kupambana hadi ufike unapopataka. Kwa sababu hujui ni fursa gani itakuwa ndio sababu ya kukufikisha katika ushindi unaouhitaji. Yaone maisha yako kuwa ni sawa na mchezo wa Chess, haumaliziki mpaka KING afe.

Winston S. Churchill alisema: "Now this is not the end. It is not even the beginning of the end. But it is, perhaps, the end of the beginning." Yaani " Huu sio mwisho. Na bali sio mwanzo wa mwisho. Lakini, unaweza kuwa ni mwisho wa mwanzo." Yaani: Mwanzo ndio umeenza.

😂😂😂
30/05/2024

😂😂😂

Success CodesBeing succeed means alligning yourself within the success formula. Consider these 3P as the codes for your ...
30/05/2024

Success Codes

Being succeed means alligning yourself within the success formula. Consider these 3P as the codes for your success.

1P: Passion

It's a driving force for keeping going, working up daily, and never stop unless you reach the destination.

2P: Patience.

Underst the fact that, no overnight success. Everything needs time, committment, and a complete system.

3P: Persistence

Let yourself go wrong, make mistakes, correct them, and never give in. Stay focused will help you get there early.

_____

Siri Ya Mafanikio

Mafanikio maana yake ni kujiweka katika mfumo rasmi utakaokufanya uyafikie. Zingatia siri hizi ili uweze kufanikiwa. Hizi zinaitwa 3P za mafanikio

P1: Passion (Shauku)

Hii ni nguvu itakayokufanya uendelee kujipambania, kuamka kila siku, na kutokuacha mpaka ufike unapopataka.

P2: Patience (Uvumilivu)

Ni lazima uelewe kuwa, hakuna mafanikio ya ghafla. Kila kitu kinahitaji muda, kujituma, na mfumo uliokamilika.

P3: Persistence (Kuendelea)

Kubali kushindwa, kufanya makosa, kuyarekebisha, na kutokukata tamaa. Kuendelea kumakinika kutakufanya ufike kwa haraka.

"And We will surely test you until We ascertain those of you who strive and those who are steadfast..." Holy Quran 47, V...
30/05/2024

"And We will surely test you until We ascertain those of you who strive and those who are steadfast..." Holy Quran 47, Verse 31.

_____

"Na tutawajaribu hadi tuwajue wapambanaji na wavumilivu kati yenu..." - Quran Tukufu 47, Aya 31.

"Contentment In An Unfailing Wealth." - Holy Prophet Muhammad (saww)Source: Nahj Al-Fasah, Hadith No 417, Page 63._____"...
30/05/2024

"Contentment In An Unfailing Wealth." - Holy Prophet Muhammad (saww)

Source: Nahj Al-Fasah, Hadith No 417, Page 63.

_____

"Kuridhika Ni Mali Isiyokwisha." - Mtukufu Mtume Muhammad (saww)

Chanzo: Nahj Al-Fasah, Hadithi 417, Ukurasa 63.

Change The Ending.Most of people ruin their energy focusing on what happened than pushing to what is coming up.If you we...
29/05/2024

Change The Ending.

Most of people ruin their energy focusing on what happened than pushing to what is coming up.

If you were once do a mistake, accept and let it go. Focusing on thinking it would consume your energy and keeping you backward as a result of not working on what is more worth to you.

Keep in mind that: "You can't go back and change the beginning, but you can start where you are, and change the ending." - C.S. Lewis

Wake Up And Restart Your Race.

_____

Ubadilishe Mwisho.

Watu wengi wameharibu nguvu zao kwa kuendelea kumakinika na yale yaliyopita badala ya kujikusanya na kuyaelekea yanayokuja.

Ikiwa uliwahi kufanya kosa lolote, likubali na acha yaiche. kuendelea kuyang'ang'ania na kuyafikiria yaliyopita kutazimalia nguvu zako bure na kukurudisha nyuma, na hatimaye utashindwa kukipigania kilicho na umuhimu zaidi kwako.

Tambua: "Huwezi kurudi na kuubadilisha mwanzo, lakini unaweza kuanzia hapo ulipo, na ukaubadilisha mwisho." C.S. Lewis

Amka na Uanze Upya.

Address

Lilongwe

Telephone

+265998293509

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KIA Qur'an Academy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to KIA Qur'an Academy:

Share