Bibilia kwa Kiswahili

Bibilia kwa Kiswahili Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi

Matendo 19:20

1 Wathesalonike 5:18  shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndio mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Al-Masihi Isa...
30/04/2025

1 Wathesalonike 5:18 shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndio mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Al-Masihi Isa.Jesus Bible Foundation

Mathayo 6:34 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi kuhusu kesho, kwa sababu kesho itajitaabikia yenyewe. Kila siku ina masumbufu ya...
29/04/2025

Mathayo 6:34
Kwa hiyo msiwe na wasiwasi kuhusu kesho, kwa sababu kesho itajitaabikia yenyewe. Kila siku ina masumbufu yake ya kutosha. Jesus Bible Foundation

Mathayo 5:14  “Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika. Jesus Bible Foundation            ...
28/04/2025

Mathayo 5:14 “Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika. Jesus Bible Foundation

Waefeso 6:10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana Isa na katika uweza wa nguvu zake. Jesus Bible Foundation         ...
25/04/2025

Waefeso 6:10
Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana Isa na katika uweza wa nguvu zake. Jesus Bible Foundation

1 Yohana 4:16 Hivyo nasi twajua na kulitumainia pendo la Mungu alilo nalo kwa ajili yetu. Mungu ni Upendo. Kila akaaye k...
24/04/2025

1 Yohana 4:16 Hivyo nasi twajua na kulitumainia pendo la Mungu alilo nalo kwa ajili yetu. Mungu ni Upendo. Kila akaaye katika upendo hukaa ndani ya Mungu na Mungu hukaa ndani yake. Jesus Bible Foundation

Yohana 15:4 Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. K**a vile tawi lisivyoweza kuzaa matunda lisipokaa ndani ya mzabib...
17/04/2025

Yohana 15:4
Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. K**a vile tawi lisivyoweza kuzaa matunda lisipokaa ndani ya mzabibu, vivyo hivyo ninyi msipokaa ndani yangu hamwezi kuzaa matunda. Jesus Bible Foundation

Zaburi 33:20Sisi tunamngojea Mwenyezi Mungu kwa matumaini, yeye ni msaada wetu na ngao yetu. Jesus Bible Foundation     ...
16/04/2025

Zaburi 33:20
Sisi tunamngojea Mwenyezi Mungu kwa matumaini, yeye ni msaada wetu na ngao yetu. Jesus Bible Foundation

1 Wakorintho 15:10 Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo, na neema yake kwangu haikuwa kitu bure. Bali nilizid...
15/04/2025

1 Wakorintho 15:10
Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo, na neema yake kwangu haikuwa kitu bure. Bali nilizidi sana kufanya kazi kuliko mitume wote, lakini haikuwa mimi, bali ni ile neema ya Mungu iliyokuwa pamoja nami. Jesus Bible Foundation

Mithali 4:23 Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote uyalindayo, maana ndiko zitokako chemchemi za uzima. Jesus Bibl...
14/04/2025

Mithali 4:23
Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote uyalindayo, maana ndiko zitokako chemchemi za uzima. Jesus Bible Foundation

Mathayo 5:14 “Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika. Jesus Bible Foundation             ...
13/04/2025

Mathayo 5:14
“Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika. Jesus Bible Foundation

Zaburi 51:12 Unirudishie furaha ya wokovu wako, unipe roho ya utii, ili initegemeze. Jesus Bible Foundation             ...
12/04/2025

Zaburi 51:12
Unirudishie furaha ya wokovu wako, unipe roho ya utii, ili initegemeze. Jesus Bible Foundation

Isaya 40:31 bali wale wamtumainio Mwenyezi Mungu atafanya upya nguvu zao. Watapaa juu kwa mabawa k**a tai; watapiga mbio...
11/04/2025

Isaya 40:31 bali wale wamtumainio Mwenyezi Mungu atafanya upya nguvu zao. Watapaa juu kwa mabawa k**a tai; watapiga mbio wala hawatachoka, watatembea kwa miguu wala hawatazimia. Jesus Bible Foundation

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bibilia kwa Kiswahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share