Potter's church Njiru

Potter's church Njiru This is religious that worships one God. Confirmed in the following scriptures; Deuteronomy 6:4, Isaiah 44:6, mark 12:29 etc

13/11/2025
A BLESSED SUNDAY
01/09/2025

A BLESSED SUNDAY

01/09/2025

Summary of today's word.

THEME: MUNGU, NATAKA USHIRIKA NA WEWE.

Acts 2:42
‎Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali. Maisha ya Waumini

Luke 22:42
‎Akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke.

‎°Ushirika ni kufanyia kila kitu pamoja kwa Umoja, upendo na Utakatifu.
‎•Kikombe ni ile kitu (Dhambi) huja kwetu au katikati yetu ili kuua ushirika.

AINA ZA USHIRIKA
1. ‎= Ushirika wa Baraka (Giving and obeying)
‎Huleta ushirikiano kati ya Waumini na Madhabahu
Hufungua Baraka, Hulinda Baraka na kuinua Baraka.
‎°Mungu Hushikanisha na madhabahu yenye ulibarika maana ndiyo ina hizo Baraka zako (Unacho kipanda ndicho unacho kivuna).
‎•Ulipo panda Baraka madhabahu hayo ndiyo yana Baraka zako. Hiyo Baraka ulipanda ndio Mungu huzalisha na unavuna kwa wingi.
‎••Malachi 3:8-10

2. ‎= Ushirika wa Upendo (Having true love that endures forever) - hufanya watu kudhaminiana, kusaidiana, kuombeana, Kuinuana, Kuteteana na kutembeleana.
‎1 Corinthians 13:1-6
‎[1] Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, k**a sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.
‎[2] Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, k**a sina upendo, si kitu mimi.
‎[3]Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, k**a sina upendo, hainifaidii kitu.
‎[4] Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;
‎[5] Haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
‎[6]Haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja.


3. ‎= Ushirika wa utakatifu (Being holy through obeying God fully)
‎^ Praying and Fasting - Hufanya mtu kuwa safi bila dhambi.
‎1 Thessalonians 5:17
‎Pray without ceasing. ombeni bila kukoma;
‎° Prayers unlocks a supernatural powers which then locks satanic plans.

30/06/2025

‎PRAISE GOD
‎BREAKFAST| AFTERNOON| EVENING MOMENT
‎ Theme: Love helps you endure

‎ JOHN 3.16 - "For God so loved the world that he gave his one and only Son, that whoever believes in him shall not perish but have eternal life".

‎>The reason why Christ came was so that he could save man, and all this salvation of mankind is engulfed in a lot of pain but covered in love. What gave him the ability to endure was the love that God has for the world.
‎When Jesus goes to pray he sweats until his sweat is like blood, and he says;

‎ LUKE 22.42 - "Father, if you are willing, take this cup from me; yet not my will, but yours be done."

‎>Love the Lord your God, let your ways remain straight in him, for at the end is dwelling in his courts forever.
‎>Loving God gives a true way of loving a mankind that God created out of love. What God love must be loved too. If you hate, you are against the work of God [As well as you hate God]. Why?

‎1 JOHN 4:8, "He that do not love do not know God; for God is love."

‎>Loving is [Compulsory] law under oracles of;
‎GALATIANS 5:14,22, "For all the law is fulfilled in one word, even in this; You shall LOVE your NEIGHBOUR as YOURSELF."

‎>In the event you pretend to hate, you are not working in spirit; immediately, you endure hatred; you're in flesh automatically.
‎>The truth through;
‎GALATIANS 5:22, "But the fruit of the Spirit is love, joy, peace, longsuffering, gentleness, goodness, faith."

‎>Spirit [Salvation] witout fruits is a dead spirit [Salvation]. As a called, chosen, appointed and set apart ( saints and ministers in categorically) work on your salvation for & in love, joy, peace, longsuffering, gentleness, goodness and faith.
‎>If you're loved, accept the love and love too. why?
‎1 JOHN 4:7-8, "Beloved, let us love one another: for love is of God; and every one that loveth is born of God, and knoweth God".

‎NOTE: HATE AT YOUR OWN PERIL, LOVE AT YOUR OWN BENEFIT.
‎[The decision to hate is a

19/06/2025

KESHA! KESHA! KESHO
20TH FRIDAY
COME FELLOWSHIP WITH US.

19/06/2025

Good morning and Praise God everyone.

Tomorrow Friday 20th June 2025, we're having an overnight vigil (Kesha) at Life in the Potter's hands Church - Njiru.

You're all welcomed🙏

The church of God as we praise and worship our heavenly father. Let him be God, let him remain to be God forevermore.🙏
07/04/2025

The church of God as we praise and worship our heavenly father.

Let him be God, let him remain to be God forevermore.🙏

SPIRIT OF PEACE AND UNITYEphesians 4:3Endeavouring to keep the unity of the Spirit in the bond of peace. na kujitahidi k...
09/01/2025

SPIRIT OF PEACE AND UNITY

Ephesians 4:3
Endeavouring to keep the unity of the Spirit in the bond of peace.
na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.

✓PEACE (Amani) - Freedom from disturbance; quite and tranquility(calm). ( Uhuru wa kutosumbuliwa; Upole na utulivu).
✓UNITY (Umoja) - A state of being joined as a whole. (Hali ya kunganishwa kwa pamoja)

° Peace and unity only exists if there is no disturbance, things are quite, tranquility and people stay together.

Benefits of peace and unity are vindicated from; PSALMS 133:1-3.
Behold, how good and how pleasant it is for brethren to dwell together in unity!
Tazama, jinsi ilivyo vema, na kupendeza, Ndugu wakae pamoja, kwa umoja.
[2]It is like the precious ointment upon the head, that ran down upon the beard, even Aaron's beard: that went down to the skirts of his garments;
Ni k**a mafuta mazuri kichwani, Yashukayo ndevuni, ndevu za Haruni, Yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake.
[3]As the dew of Hermon, and as the dew that descended upon the mountains of Zion: for there the LORD commanded the blessing, even life for evermore.
K**a umande wa Hermoni ushukao milimani pa Sayuni. Maana ndiko BWANA alikoamuru baraka, Naam, uzima hata milele.

Three benefits are;
1. It pleases God.
2. That's where blessings are
3. Everlasting Life.

At the moment you please God, obviously, you becomes his Child.
And is only the child has authority to inherit what belongs to the father.
Is only the child has power and authority to command anything in the kingdom of his father and it shall happen. Because it's the home where he also belongs.
Whatever he asks the father, is given without delay. The responsibility of a parent.
He's I'll, he's treated. Responsibility of the parent.

Ladies and gentlemen, it pleases God if you can jointly stay in peace, be in unity. That's where your blessings are. Everlasting life is guaranteed.

This year 2025, stay in peace, encourage unity.

  FAITHVISIT OUR YOUTUBE PAGE Potter's church NjirueveryonefollowmeApostolic Church Evangelistic Ministry of Kenya - ACE...
29/10/2024




FAITH

VISIT OUR YOUTUBE PAGE

Potter's church Njiru
everyonefollowme
Apostolic Church Evangelistic Ministry of Kenya - ACEM
Oneness International Fellowship

28/10/2024
REVIVAL SERVICE 27TH OCTOBER 2024.GUEST SPEAKER: PST YONAM OKUMBI(Potter's church Kayole)Theme: FAITH READINGS: Hebrews ...
28/10/2024

REVIVAL SERVICE 27TH OCTOBER 2024.
GUEST SPEAKER: PST YONAM OKUMBI(Potter's church Kayole)
Theme: FAITH
READINGS: Hebrews 11:1-2
[1]Now faith is the substance of things hoped for, the evidence of things not seen.
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
[2]For by it the elders obtained a good report.
Maana kwa hiyo wazee wetu walishuhudiwa.

Potter's church Njiru

everyonefollowme
Everyone

Preaching by PST Francis JumaTHEME: YOUR CHOICE IN LIFE READINGS: Deuteronomy 30:15-18[15]See, I have set before thee th...
28/10/2024

Preaching by PST Francis Juma
THEME: YOUR CHOICE IN LIFE
READINGS: Deuteronomy 30:15-18
[15]See, I have set before thee this day life and good, and death and evil;
Angalia, nimekuwekea leo mbele yako uzima na mema, na mauti na mabaya;
[16]In that I command thee this day to love the LORD thy God, to walk in his ways, and to keep his commandments and his statutes and his judgments, that thou mayest live and multiply: and the LORD thy God shall bless thee in the land whither thou goest to possess it.
kwa hivi nikuagizavyo leo kumpenda BWANA, Mungu wako, kuenenda katika njia zake, na kushika maagizo yake, na amri zake, na hukumu zake, upate kuwa hai na kuongezeka; BWANA, Mungu wako, apate kukubarikia katika nchi uingiayo kuimiliki.
[17]But if thine heart turn away, so that thou wilt not hear, but shalt be drawn away, and worship other gods, and serve them;
Lakini moyo wako ukikengeuka, usipotaka kusikiza, lakini ukavutwa kando kwenda kuabudu miungu mingine, na kuitumikia;
[18]I denounce unto you this day, that ye shall surely perish, and that ye shall not prolong your days upon the land, whither thou passest over Jordan to go to possess it.
nawahubiri hivi leo hakika mtaangamia; hamtazifanya siku zenu kuwa nyingi juu ya nchi, uivukiayo Yordani, uingie kuimiliki.

Morning service
Apostolic Church Evangelistic Ministry of Kenya - ACEM
Potter's church Njiru

Oneness International Fellowship
Everyone

Address

160
Nairobi
00600

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Potter's church Njiru posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Potter's church Njiru:

Share