02/06/2026
Jioni hii tumeshuhudia mkono wa Mungu ukitenda kwa nguvu na neema nyingi. Madhabahu nyingi za kifamilia zimevunjwa, minyororo imekatika, na maisha mengi yameguswa na uwepo wa Mungu.
Tunamshukuru Mungu kwa kila mmoja aliyeshiriki ibada hii ya kipekee. Tunaamini kwamba kila kilichokuwa kikizuia maendeleo yako, ndoa yako, afya yako na mafanikio yako kimeanza kuondolewa kwa jina la Yesu.
Madhabahu ya Mungu ni kubwa kuliko madhabahu yoyote ya ukoo. Ushindi wako umeanza leo!
fans