Christ's Gospel Foundation Church.

Christ's Gospel Foundation Church. Christ's Gospel Foundation Church is a registered religious organization of Pentecostal belief.

20/01/2021

The LORD'S MERCIES AND HIS COMPASSIONS FAILS NOT.
THEY ARE NEW EVERY MORNING; GREAT IS YOUR FAITHFULNESS, O LORD.

25/12/2020

ON BEHALF OF CHRIST'S GOSPEL FOUNDATION CHURCH
We wish you a merry Christmas and a happy new year 2021.

05/12/2020

KUISHI MAISHA MAPANA (LARGER LIFE)
Ni mapenzi ya Mungu kwamba watu wake waishi maisha mazuri yaliyo panuka. 2 Samueli 22:37 Daudi alielewa neno hili na akamwambia Mungu hivi " Umezifanyia nafasi hatua zangu wala miguu yangu haikuteleza."

Ili tupige hatua tunahitji nafasi ya kusonga mbele.
Kusonga mbele kihekima, kimali na hata mipaka iliyopanuka.

Mungu alimpanulia Sulemani mipaka yake. 1 Wafalme 4:29 - Mungu akampa Sulemani hekima na akili nyingi sana na moyo mkuu, K**a mchanga ulioko pwani.
Akamzidishia na Mali pia.

Mungu alimpanulia Isaka mipaka yake na pia uzao wake. Mwanzo 26:4 akamwahidi haya-- " Nitazidisha uzao wako k**a nyota za mbinguni, na nitawapa uzao wako nchi hizi zote, na katika uzao wako mataifa yote watajibarikia.
Kwa sababu Ibrahimu alisikia sauti yangu,akayahifadhi maagizo yangu, na amri zangu, na hukumu zangu, na sheria zangu.

Ufunguo wa kufungua baraka zetu ni kusikia sauti ya Mungu wetu aliye mbinguni.

Kupanuliwa kuna kanuni zake za muhimu sana.

Yabesi alizielewa kisawasawa akamwomba Mungu naye akamsikiliza.
1 Mambo ya Nyakati 4:10 -- " Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema,
-- Lau kwamba ungenibarikia kweli kweli
-- na kunizidishia hozi (milki, nchi) yangu
-- na mkono wako ungekuwa pamoja nami,
-- nawe ungenilinda na uovu,
-- ili nisiwe kwa huzuni yangu!
-- Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.

Zaburi 113: 5 - 9 -- Mungu " Humwinua mnyonge kutoka mavumbini na kumpandisha maskini kutoka jaani.
Amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.

-- Humweka nyumbani mwanamke aliye tasa awe mama wa watoto wenye furaha.

Isaya 54:2 - 3 ahadi ya Mungu kwetu Ni hii -- " Panua mahali pa hema yako,
na yatandaze mapazia ya maskani yako;
usiwakataze; ongeza urefu wa kamba zako;
vikaze vikingi vya hema yako;
-- kwa maana utaenea upande wa kuume na upande wa kushoto;
na wazao wako watawamiliki mataifa;
wataifanya miji iliyoachwa ukiwa kukaliwa na watu."

Mungu wetu anatuahidi kuenea, kupanua hema zetu, uzao wetu, mali zetu na roho zetu.

16/08/2020

Glory to God. I am glad that God has blessed us with two more churches namely 1. Kwinyanki Church and 2. Masurura Church. May God enlarge their Territory.

Address

Migori

Telephone

+254726342486

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Christ's Gospel Foundation Church. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Christ's Gospel Foundation Church.:

Share