AIC Uvalini Kaliluni DCC

AIC Uvalini Kaliluni DCC Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AIC Uvalini Kaliluni DCC, Religious organisation, 2607, Machakos.

16 Ndipo watu wanaomcha Mwenyezi-Mungu walipozungumza wao kwa wao, naye Mwenyezi-Mungu akasikia mazungumzo yao. Mbele ya...
03/06/2026

16 Ndipo watu wanaomcha Mwenyezi-Mungu walipozungumza wao kwa wao, naye Mwenyezi-Mungu akasikia mazungumzo yao. Mbele yake kikawekwa kitabu ambamo iliandikwa kumbukumbu ya wale wanaomcha na kumheshimu. 17Iliandikwa hivi: Mwenyezi-Mungu asema: “Hao watakuwa watu wangu. Watakuwa urithi wangu maalumu siku ile nitakapoinuka kufanya ninalokusudia. Sitawadhuru k**a vile baba asivyomdhuru mwanawe anayemtumikia. 18Hapo ndipo mtakapotambua tena tofauti iliyopo kati ya waadilifu na waovu; naam, kati ya mtu anayemtumikia Mungu na asiyemtumikia.”
~ Malaki 3:16 - 18 ~ See less

1Hakika, Mungu ni mwema kwa watu wanyofu;ni mwema kwa walio safi moyoni.2Karibu sana ningejikwaa,kidogo tu ningeteleza;3...
02/06/2026

1Hakika, Mungu ni mwema kwa watu wanyofu;
ni mwema kwa walio safi moyoni.
2Karibu sana ningejikwaa,
kidogo tu ningeteleza;
3maana niliwaonea wivu wenye kiburi,
nilipoona wakosefu wakifanikiwa.
4Maana hao hawapatwi na mateso;
miili yao ina afya na wana nguvu.
5Taabu za binadamu haziwapati hao;
hawapati mateso k**a watu wengine.
6Kiburi kimekuwa mkufu wao shingoni,
uhasama ni k**a nguo yao.
7Macho yao hufura kwa uovu;
mioyo yao hububujika mipango mibaya.
~ ZABURI 73:1-7 ~

31/05/2026

REV. MUTISYA PREACHING AT AIC KALILUNI ON SUNDAY MAY 31ST 2026

CYA
24/05/2026

CYA




Ladies
24/05/2026

Ladies



12. Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole...
20/05/2026

12. Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu.
~ Colossians 3:12~

SAVULI 1:1-2 [KAM][ 1] Kũathimwa nĩ mũndũ ũla ũtaendaa ũtaonĩ wa ala athũku, O na ndaũngamaa nzĩanĩ ya ala athe, O na nd...
19/05/2026

SAVULI 1:1-2 [KAM]
[ 1] Kũathimwa nĩ mũndũ ũla ũtaendaa ũtaonĩ wa ala athũku, O na ndaũngamaa nzĩanĩ ya ala athe, O na ndekalaa kĩkalonĩ kya ala mavũthasya.
[ 2] Ĩndĩ ũtanu wake wĩ mĩaonĩ ya Yeova; Na asũanĩaa mĩao yake mũthenya na ũtukũ....





Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, Niutaza...
11/05/2026

Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, Niutazame uzuri wa BWANA, Na kutafakari hekaluni mwake.
~ Zaburi 27:4 ~



USHIRIKA WA WAKE WAKRISTO
10/05/2026

USHIRIKA WA WAKE WAKRISTO



Address

2607
Machakos
90100

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AIC Uvalini Kaliluni DCC posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share