TCA Mbembani Church.

TCA Mbembani Church. Church service

03/08/2026

Isaiah 60:22
[22]A little one shall become a thousand, and a small one a strong nation: I the LORD will hasten it in his time.
Mdogo atakuwa elfu, Na mnyonge atakuwa taifa hodari; Mimi, BWANA, nitayahimiza hayo wakati wake.

02/08/2026

1 Kings 21:1-10
[1]And it came to pass after these things, that Naboth the Jezreelite had a vineyard, which was in Jezreel, hard by the palace of Ahab king of Samaria.
Ikawa baada ya hayo, Nabothi Myezreeli alikuwa na shamba la mizabibu katika Yezreeli, karibu na nyumba ya kifalme ya Ahabu mfalme wa Samaria.
[2]And Ahab spake unto Naboth, saying, Give me thy vineyard, that I may have it for a garden of herbs, because it is near unto my house: and I will give thee for it a better vineyard than it; or, if it seem good to thee, I will give thee the worth of it in money.
Ahabu akasema na Nabothi, akamwambia, Nipe shamba lako la mizabibu nilifanye shamba la mboga, maana ni karibu na nyumba yangu; nami nitakupa badala yake shamba la mizabibu lililo zuri zaidi; au ukipenda, nitakupa fedha sawasawa na thamani yake.
[3]And Naboth said to Ahab, The LORD forbid it me, that I should give the inheritance of my fathers unto thee.
Nabothi akamwambia Ahabu, BWANA apishe mbali nikupe wewe urithi wa baba zangu.
[4]And Ahab came into his house heavy and displeased because of the word which Naboth the Jezreelite had spoken to him: for he had said, I will not give thee the inheritance of my fathers. And he laid him down upon his bed, and turned away his face, and would eat no bread.
Basi Ahabu akaenda nyumbani kwake, ana moyo mzito, tena amekasirika, kwa sababu ya neno lile aliloambiwa na Nabothi Myezreeli, akisema, Sitakupa urithi wa baba zangu. Akajilaza kitandani pake, akageuza uso wake, akakataa kula.
[5]But Jezebel his wife came to him, and said unto him, Why is thy spirit so sad, that thou eatest no bread?
Lakini Yezebeli mkewe akamwendea, akamwambia, Kwa nini roho yako ina huzuni hata usile chakula?
[6]And he said unto her, Because I spake unto Naboth the Jezreelite, and said unto him, Give me thy vineyard for money; or else, if it please thee, I will give thee another vineyard for it: and he answered, I will not give thee my vineyard.

02/08/2026

Revelation 3:11-16
[11]Behold, I come quickly: hold that fast which thou hast, that no man take thy crown.
Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako.
[12]Him that overcometh will I make a pillar in the temple of my God, and he shall go no more out: and I will write upon him the name of my God, and the name of the city of my God, which is new Jerusalem, which cometh down out of heaven from my God: and I will write upon him my new name.
Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, huo Yerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.
[13]He that hath an ear, let him hear what the Spirit saith unto the churches.
Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Ujumbe kwa Laodikia
[14]And unto the angel of the church of the Laodiceans write; These things saith the Amen, the faithful and true witness, the beginning of the creation of God;
Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.
[15]I know thy works, that thou art neither cold nor hot: I would thou wert cold or hot.
Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri k**a ungekuwa baridi au moto.
[16]So then because thou art lukewarm, and neither cold nor hot, I will spue thee out of my mouth.
Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.

02/08/2026
27/07/2026

Isaiah 59:1-2
[1]Behold, the LORD'S hand is not shortened, that it cannot save; neither his ear heavy, that it cannot hear:
Tazama, mkono wa BWANA haukupunguka, hata usiweze kuokoa wala sikio lake si zito, hata lisiweze kusikia;
[2]But your iniquities have separated between you and your God, and your sins have hid his face from you, that he will not hear.
lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.

25/07/2026

Psalms 37:4
[4]Delight thyself also in the LORD; and he shall give thee the desires of thine heart.
Nawe utajifurahisha kwa BWANA, Naye atakupa haja za moyo wako.

πŸ”₯ TODAY IS THE DAY – SEMINAR INVITATION πŸ”₯What a glorious time we had during our Crusade! We thank God for His mighty pre...
27/06/2026

πŸ”₯ TODAY IS THE DAY – SEMINAR INVITATION πŸ”₯

What a glorious time we had during our Crusade! We thank God for His mighty presence, the powerful Word, and every life that was touched. To Him alone be all the glory!

Today, we gather for our Seminar, a special time of biblical teaching, spiritual growth, and empowerment. Come ready to learn, be equipped, and be transformed by God's Word.

πŸ“… Today: 27th June 2026
πŸ“ Venue: TCA MBEMBANI
⏰ Come expecting a life-changing encounter!

"Study to show yourself approved unto God..." β€” 2 Timothy 2:15

You are warmly welcome. Invite a friend, and don't miss this special time in God's presence! πŸ™βœ¨

πŸ”₯ DAY 2 CRUSADE – LOWER MBEMBANI, KWALE πŸ”₯"Come and see a Man who has all my reports." – John 4:29Day 2 was powerful! We ...
25/06/2026

πŸ”₯ DAY 2 CRUSADE – LOWER MBEMBANI, KWALE πŸ”₯

"Come and see a Man who has all my reports." – John 4:29

Day 2 was powerful! We thank God for the lives touched and transformed.

Join us tomorrow for Day 3 as we continue to experience salvation, healing, deliverance, and God's mighty power.

πŸ“ Lower Mbembani, Kwale

Come expecting a miracle. Your testimony is next!

The   of our Crusade was truly amazing!We thank God for His presence, power, and the lives that were touched during the ...
25/06/2026

The of our Crusade was truly amazing!

We thank God for His presence, power, and the lives that were touched during the service.

We appreciate everyone who attended and participated. May the Lord continue to bless and strengthen you.

Join us again as we continue with the Crusade and experience more of God's grace, healing, and spiritual renewal.

"To God be all the glory!" πŸ™βœ¨

Address

Machakos

Telephone

+254723989674

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TCA Mbembani Church. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share