Gospel Minster

Gospel Minster It's a religious organization free to share word of God and ready to learn

05/05/2026

D E S T I N Y H E L P E R S
(WASAIDIZI WA HATIMA)

SEHEMU YA KWANZA

Wasaidizi wa Hatima: Hawa ni watu ambao Mungu anawaleta katika maisha yako ili kukusaidia kuifikia hatima yako (ndoto zako / maono yako).

Ni watu ambao watakuja kwa lengo la kuhakikisha unafikia kusudi la wewe kuumbwa kwalo.

Unahitaji wasaidizi wa hatima kwasababu wanakazi kubwa sana, wana neema ya pekee, wana nguvu, wana nafasi kubwa.

Twende tujifunze leo kuhusu hawa watu👆🏿👆🏿
Unajua kwanini ni lazima uwe nao???

Sababu!!
°HAKUNA MTU YEYOTE DUNIANI AMBAYE ALIWEZA MAMBO PEKE YAKE.

Kwahiyo, wewe pekee hauwezi kufanya kwa kiwango ambacho unahitaji, hauwezi kufikia hatima yako kichwa kichwa (yaani ukijua wewe ndio wewe hakuna mwingine)

Ni kweli kabisa neema ya Mungu ipo juu yako, Ni kweli kabisa Mungu ndie atakaye kufanikisha lakini atakufanikisha kupitia watu.

Kwanini nasema wasaidizi wa hatima.?

Ni kwa sababu kuna wanaoweza kuua hatima pia (destiny killers).

Wauaji wa hatima ni akina nani au wapoje??

Ni watu ambao watakuja kwa lengo la kuua maendeleo yako, watakuja kuua Imani yako katika Mungu, watakuja kukuvunja moyo, watakuja kukuambia maneno ya kukukatisha tamaa kwamba wewe hautoweza kufanya lolote wala chochote, wataangalia historia ya familia yako k**a NUKUU halafu mwisho watakuainisha kwa historia hiyo ya nyuma wakisema k**a kwenu hamna aliyesoma hadi kufikia elimu ya chuo kikuu, sembuse wewe utaweza vipi.? k**a kwenu hamna mtu anayemiliki hata pikipiki sembuse wewe unayesema una ndoto za kumiliki nyumba ya kifahari na magari utaanzia wapi .?

Hao ndo wauaji wa ndoto zako 👆🏽👆🏽

Sasa, kwanini unahitaji wasaidizi wa hatima.?

Kwani hawa watu wana nini?

Hebu tuone baadhi ya hawa watu katika biblia kwa ushahidi zaidi.

Unahitaji watu wa hatima kwa sababu hauwezi kufanya peke yako k**a wao WALIOFANIKIWA maanake neema iliyoko juu yako haiwezi kukufanikisha pekee.

Mfano, umeomba mara ngapi juu ya tatizo ulilonalo, umefunga mara ngapi lakini alipokuja Mtumishi fulani mambo yalienda kwa namna ambayo hukutarajia.?

•Kuna watu wananiambia wanaweza peke yao, nikuambie tu hicho ni kiburi unahitaji watu maana hata ukisema unamuhitaji Mungu hawezi kutoka huko Mbinguni akaja duniani kukupa hicho unachokitaka ila unahitaji wasaidizi wa hatima.

Mwingine anasema Yesu amemwachia Roho Mtakatifu, ni kweli kabisa Roho Mtakatifu tunaye na ana nafasi katika maisha yetu ila unamuhitaji msaidizi wa hatima _Isaya 60;10-11_

Katika maisha yako Mungu akisema nenda ukawe mbarikiwa, uzao wako ukawe mkubwa, ukafanikiwe kwa viwango vingine unahisi ni ghafla tu mambo yatabadilika ukiwa umekaa ndani peke yako.?

Una amini zaidi katika maombi na kufunga pekee kwamba ndio njia pekee ya Mungu kukufanikisha, sijasema usifunge 😂😂 hapana we funga na kuomba sana lakini usiseme hauhitaji watu, wasaidizi wa hatima unawahitaji sana.

Mifano halisi kuhusu wasaidizi wa hatima.

Yesu mwenyewe alihitaji Msaidizi wa Hatima ambaye alikuwa Yohana Mbatizaji tena muda huo Yesu alikuwa Mwana wa Mungu sio k**a wewe 😅

Esta alihitaji msaidizi wa hatima kufikia ndoto yake ya kuwa Malkia (queen), msaidizi wake wa hatima alikuwa Mjomba wake Modekai, Soma kitabu Cha esta 2..

Msaidizi wa hatima anaweza kuwa mtu yeyote na sio k**a wewe unavyowaza labda awe na elimu kubwa au cheo kikubwa 😄😄

Uwezo ulionao haukutoshi, neema pekee haikutoshi kwasababu hata neema yenyewe inahitaji wasaidizi kwahiyo nawe pia unahitaji hawa wasaidizi.

Ibrahimu alikuwa baba wa Imani lakini alihitaji wasaidizi wa hatima (Eliazi) kitabu cha mwanzo ....

°Kwanzia leo hebu BADILISHA mtazamo wako kwani Mungu anabariki watu kupitia watu hivyo basi kubali kushirikiana na watu kwa namna chanya. Mungu amekupa watu k**a mtaji katika maisha yako.

✅ Mke wako uliyemzoea kila siku na unamchukulia kawaida anaweza kuwa msaidizi wa hatima yako, dada wa kazi ambaye unamdharau hapo nyumbani kwako, kaka wa kazi ambaye unamuona k**a ni house boy tu anaweza akawa msaidizi wako wa hatima.

Kumbuka:- Naamani yule aliyekuwa na ukoma, msaidizi wake wa hatima alikuwa mfanyakazi wake wa ndani (house girl).

✅ Musa alikuwa Mtumishi wa Mungu hatari k**a wewe unavyosema wewe ni Mtumishi wa Mungu lakini ilifika mahali alihitaji msaada wa msaidizi wa hatima (Haruni) Kutoka 3...

HAPA NIKIKUMBUKA NAZIDI KUNYENYEKEA HATA NIWE NA ELIMU KUBWA KULIKO WANAO NIZUNGUKA BASI NITANYENYEKEA 🛐 HATA NIWE NA PESA NYINGI KULIKO NDUGU NA MARAFIKI ZANGU BADO NITANYENYEKEA 🛐 KWA SABABU PESA ZANGU SIO KILA KITU BALI NAHITAJI WATU...Shalooooom

Ninakuombea Mungu akupe Wasaidizi wa Hatima.

:::::(MUNGU WA MBINGUNI AWAELEKEZE WATU HAWA KWAKO, YULE MUNGU AJIBUYE MAOMBI YETU AKUJIBU WEWE KWA HABARI YA WASAIDIZI WA HATIMA ILI UWEZE KUYAFIKIA MALENGO YAKO / NDOTO ZAKO.

SEHEMU YA PILI ITAENDELEA

01/05/2026

Qualities Of Those Who Carry The Glory Of God || Rev Essolom Karanja
✅Glory means the weight of God/ the fullness of who Jesus Christ is, His character and His divine nature.
✅Divine rest accompanies the presence of God. Exodus 33:14
✅There is a secret behind experiencing the glory of God/ encountering God and knowing Him at a personal level. Exodus 33:18
✅You must learn the art of beholding and when you gaze on Christ nature will shift a person's identity and life to reflect Him. 2 Corinthians 3:18
✅The more you behold the more you become.
✅When you spend time in the presence of God you become more like Him.
✅The glory of God comes with power. 2 Timothy 3:5
✅It is through the glory of God that you can have encounters with God and as a result of those encounters your life will be transformed. Matthew 17:4
Qualities of those who carry the glory of God:
1. They value intimacy with God. They have close personal and consistent relationship with God.
✅When you have an intimate relationship with God you will value your relationship with Him such that you will spend more time in His presence as you behold ,you become.
✅They have a special hunger for God's presence. Matthew 5:6 (MSG)
✅Hunger and thirst is a spiritual currency. If you are not hungry or thirsty you cannot receive anything from God.
✅If you have no appetite for God you are spiritually sick.
✅Hunger for God will determine your spiritual growth.
✅Hunger for God will lead you to encounter Him. Acts 13:22
2. They have a contrite and a broken heart. Psalm 51:17 (NIV), Numbers 12:3
✅When the glory comes you have to die to self.
3. They spend more time with God.
✅Spending time with God means intentionally recognising that He is near and you spend quality time Him and what you receive from Him cannot be taken away. Luke 10:38-42
4. Glory carriers live a life of purity.
✅ The deeper the level of consecration and holiness in a believer's life the greater the authority and capacity to host and reflect God's glory.

01/05/2026

TOPIC: *THE REASONS WHY YOU MUST HONOR YOUR PASTOR*

Honoring your pastor is not about worshiping a man — it is about respecting the office and the grace of God upon his life. The Bible says, “Let the elders that rule well be counted worthy of double honour…” (1 Timothy 5:17).
Here are important reasons you must honor your pastor:

1. Because He Is God’s Servant
Your pastor is called and appointed by God to shepherd His people (Jeremiah 3:15).
When you honor your pastor, you are honoring God who sent him.
Jesus said, “He that receives you receives me…” (Matthew 10:40).

2. Because He Watches Over Your Soul
Hebrews 13:17 says your pastor watches for your soul as one who must give account.
He prays for you, counsels you, and stands in spiritual battles for you.
That spiritual responsibility deserves honor.

3. To Access the Grace Upon His Life
There is grace upon every true pastor — grace for:
Teaching
Leadership
Spiritual covering
Breakthrough
Honor positions you to receive from that grace (Romans 13:7).

4. It Brings Blessing to You
The principle of honor attracts reward.
Jesus said, “He that receives a prophet in the name of a prophet shall receive a prophet’s reward” (Matthew 10:41).
When you honor your pastor, you partake in his reward.

5. It Promotes Unity in the Church
Dishonor breeds:
Rebellion
Gossip
Division
Honor creates:
Peace
Stability
Cooperation
A church that honors its leadership grows stronger.

6. It Protects You Spiritually
Many people fall spiritually after they begin to criticize or dishonor their pastor.
The spirit of dishonor hardens the heart and blocks spiritual growth.
Honor keeps your heart humble and teachable.

7. It Sets an Example for Others
When you show respect:
Younger believers learn from you
The culture of the church improves
Leadership becomes easier
Honor spreads.

8. Because Leadership Is a Heavy Burden
Pastors carry:
The pain of members
Church pressures
Financial challenges
Spiritual warfare.,.

Whoever gets it right and airtime of 50bob....Anyway good morning....prophesy is when there is dryness and desert for 1y...
22/04/2026

Whoever gets it right and airtime of 50bob....
Anyway good morning....prophesy is when there is dryness and desert for 1year and you proclaim rain on that particular day without clouds.

23/09/2025

For what business do I have judging outsiders also? Do you not judge those who are inside? But God judges those who are outside. Therefore put away that wicked person from among yourselves.
5:12-13 Verse 3; 1 Cor 6:1-5; 11:31. Though individuals do not have the right to judge and condemn other individuals, the church has the right to judge who can be in its fellowship. And they must exercise this right. When wicked men are expelled, the church can grow in purity and power. When they are not expelled, disaster waits at the door. If adulterers and adulteresses, thieves and dishonest persons, etc are permitted to remain in fellowship, then God, in large measure, will withdraw His blessing. There may be many spiritual gifts in such a church and seeming success in the ministry, but the rottenness there will rob it of true spiritual life.⚜
1 Corinthians 5:12-13

11/09/2025

Things that define Africans*😂😂😂
1. Urinating behind the latrine🚽💦
2. Wife sleeping next to the wall🛌😴
3. Keeping brooms behind the door😂
4. When you get rich, people say you have a 🐍😁
5. When you get old, you're a witch😒💔
6. When you take a bath , they will ask if you are going somewhere.🤨
7. Keeping some plates, cups and spoons aside specifically for visitors.😏🤔
8. Counting pieces of meat.🍖🍛
9. No natural d£ath in Africa.... your enemy is always the cause.🥺😭
10. Counting money after withdrawing from ATM.😅😜
11. Marrying a beautiful woman is associated with marrying a prostitute.😟🥵
12. There are some special parts of the chicken meat that are always reserved for the husband (eg. Gizzard)🥶🤬
13. Removing shoes when walking in the mud.🤥😇
14. Buying new clothes when it is Christmas.🤧🥳
15. When one is given a microphone, they first blow air into it or tap it with a finger, to test it if it is working, (even when the person passing it on was using the same mic.)🥱🎤
16. Sweeping the whole compound when expecting visitors.😂
17. Looking left and right when crossing a one way street.😁
18: Keeping an empty plastic water bottle after drinking, for future use.🤥
19: Reserving a special chair for the Husband 😒💔
20: Feeling proud when sitting next to a white person in a bus.🤓😍.
21.asking what you are doing,even when you are digging.
22.African men takes his agemate for lunch when he notice smoke from his wife's round kitchen.
23.He has no children if he has has not sired a boy.
24.votes the bigger liars, only to wish election was tomorrow
25.locking the lock with key then removes the key. and pull it to check if it's locked.
26.Lefting a cheating partner and then hook up with a married cheating wife/husband.

09/09/2025

I, the LORD. I search the heart,
I test the inner being,
to give to each one according
to his ways, and according
to the fruit of his deeds.
17:10 God examines the heart and mind and knows all about the inner thoughts, desires and motives of men (1 Sam 16:7; 2 Chron 6:30; Ps 7:9; 17:3; 94:11; 139:23-24; Prov 17:3; Jer 11:20; Ezek 11:5; Matt 9:4; John 2:24-25). Let us listen to Him as He tells us the true state of things.⚜
Jeremiah 17:10

28/08/2025

Now Moses was pasturing the flock of his father-in-law Jethro, the priest of Midian, and he led the flock to the far side of the desert, and came to the mountain of God, to Horeb.
3:1 Egypt was one of the most advanced civilizations of ancient times, and Moses was a man educated in all the learning of the Egyptians, powerful in words and deeds (Acts 7:22). He was in the prime of life, strong and manly, with a love for his people and a zeal for God. We might think he was fully equipped to lead Israel out of Egypt immediately. Evidently God thought otherwise. Moses spent 40 years in the desert (Ex 7:7 with Acts 7:23,30), and became a shepherd of his father-in-law’s sheep. It seems that what he needed to know to become the deliverer, lawgiver, and leader of Israel could be learned only in loneliness, lowliness, and difficulties. While he was faithfully performing the lowly task of shepherding sheep God appeared to him to call him to a higher ministry.
Here are some other examples of this same truth: Gideon (Jud 6:11); David (1 Sam 16:11-13); Elisha (1 Kings 19:19); Amos (Amos 7:14-15); Peter (Matt 4:18-19). At last God’s time came to deliver His people from bo***ge and He leads Moses to Mount Horeb (another name for Sinai). It is called “the mountain of God” because God would later reveal Himself there to His people in a wonderful way and give them His law. Exodus chapters 19–40; the whole of Leviticus, and chapters 1–10 of Numbers were given there.⚜
Exodus 3:1

20/08/2025

Any gospel that doesn't rebuke sin,exalt christ and bring hope to eternity is just a controversial human philosophy
Now the Spirit clearly states that in later times some will depart from the faith, giving attention to seducing spirits and doctrines of demons, speaking lies in hypocrisy, having their conscience seared as with a hot iron,
4:2 Paul now speaks about those men whom demons use to introduce false teachings into the churches.⚜
forbidding to marry, and commanding to abstain from foods which God created to be received with thanksgiving by those who believe and know the truth.
4:3 We should not think that these are the only two things these false teachers forbid. There are others besides these. But these two are enough to show that their teachings are not based on the Word of God. Actually they raise their teachings above the Bible. This is one of the very dangerous things about all false teachings.⚜
1 Timothy 4:1-3

26/06/2025

I told my son, "You will marry the girl I choose."
He said, "NO!"
I told him, "She is Bill Gates' daughter."
He said, "OK."
I called Bill Gates and said, "I want your daughter to marry my son."
Bill Gates said, "NO."
I told Bill Gates, My son is the CEO of World Bank."
Bill Gates said, "OK."
I called the President of World Bank and asked him to make my son the CEO.
He said, "NO?"
I told him, "My son is Bill Gates' son-in-law."
He said, "OK."
This is exactly how politics works...

10/06/2025

Trust is built on tiny things,stop looking for greater ones,you will be suspected.

10/12/2024

ukifaulu kuchora hii inbox nikupe airtime, God is good

(👁)👃(👁)
👄

Address

Satellite
Kilimani

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gospel Minster posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share