Accept and Believe Jesus Christ Today

Accept and Believe Jesus Christ Today JESUS IS THE WAY TRUTH AND LIFE. BELIEVE IN HIM AND LIVE

28/12/2022

Wishing you a Happy New Year 2023.
A year of divine Blessings

30/11/2022
10/11/2022

JESUS SETS FREE!!!

BE FREE FROM THE BO***GE OF SATAN IN JESUS NAME!

12/06/2022

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.

6 Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.

7 Huyo alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.

8 Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.

9 Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.

10 Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.

11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.

12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu k**a wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

15 Yohana alimshuhudia, akapaza sauti yake akasema, Huyu ndiye niliyenena habari zake ya kwamba, Ajaye nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla yangu.

16 Kwa kuwa katika utimilifu wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema.

17 Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.

18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.

19 Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani?

20 Naye alikiri, wala hakukana; alikiri kwamba, Mimi siye Kristo.

21 Wakamwuliza, Ni nini basi? U Eliya wewe? Akasema, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La.

22 Basi wakamwambia, U nani? Tuwape majibu wale waliotupeleka. Wanenaje juu ya nafsi yako?

23 Akasema, Mimi ni sauti

12/06/2022

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

12/06/2022

This week are Reading the Book of JOHN.

TUSOME BIBLIA

07/05/2022

Zaburi 14
2 Toka mbinguni Bwana aliwachungulia wanadamu, Aone k**a yuko mtu mwenye akili, Amtafutaye Mungu.

04/05/2022

“God raised Jesus from the dead, and we are all witnesses of this.

Acts 2:32

04/05/2022

Good morning,

Let's Pray,

Heavenly Father, we thank you for the gift of life, thank you for watching over us all through last night. Thank you for this new day.
Thank you for answering our prayers.
God, please forgive us our sins.

Jehovah, when You took Elijah to mount Carmel to act on Your behalf, You put in him alot of trust and self determination for he knew You have never lost.
Today, life is in a similar way a contest like that of Mount Carmel. Most of us have lost hope, some don't even see the worth of living, some are so depressed, some don't have anything to make them smile, some have gone through betrayals and are so hurting, some are so sick that they are in so much pain such they just feel like they should die, some have lost their loved ones, some are going through harsh economic times full of debts and can't even sort out bills, some going through issues in our families, marriages and relationships,,
Among many other hurting and depressing issues our God, issues that take away our peace of mind.

God, this Tuesday, we ask You to please inspire us with hope, faith and trust like the one Elijah carried that day. When we're stranded by the presence of all the hard situations we're in, help us to handle them with total trust in You When our future is uncertain, come and assure us O God. When we don’t know what should be our next step, when we don't know what to do next, please come hold us Jehovah and show us the way, come make ways for us, come through for us, come to our rescue.
May we win in all the contests life gives us, just like Elijah won. Propel us into greater heights dear Father. May all ‘Baal’ prophets in our lives today be ashamed and lose in Jesus name. May testimonies and breakthroughs locate us our God.
God, meet us at our point of needs.
May Your will be done today in our lives in Jesus name.

Today, we ask You for Your care and protection, watch over us and our loved ones, protect us, protect our country. Guide us, walk with us, be wi

Address

Sotik
Kilimani

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Accept and Believe Jesus Christ Today posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share