27/08/2026
Activate your keys 🔥
Mathayo 16:15-19
🫰Tumepewa funguo za Mbinguni. Funguo ambazo si za chuma. Mbali zina. *"NGUVU."* "*MAMLAKA"..* NA *"UPAKO"* kutoka kwa Mungu..
🫰Kupitia hizi funguo. Tunaweza fungua na kufunga chochote ama jambo lolote ambalo mbungu haijaidhinisha. Mambo mengi ni "Stubborn" katika maisha ama yanakirudia inakua k**a "pattern" or "Cycle.." Kwa mamlaka ulio nayo ya Mungu.. Funga hayo mambo sasa ,ikiwa ni magonjwa, madeni, ama mateso . Luke 10:19. Hakuna kitakachokudhuru. Utakanyanga ngee na nyoka( hali za maisha utazitawala)
🫰Hizi funguo zinaleta *ACCESS* . Ni hali ya kupenya na kuingia bila kuzuiliwa .kuingia na kutawala Maeneo na mahali kote. Mungu akaambia Joshua. Pahali miguu yako itakanyanga. Nitakupa.. Ata nawe , uanze kuingia na kumiliki maeneo mapya sasa. Mashamba mapya, ma ofisi mapya. Mipaka isikuzuie tena .
🫰TUPOKEE Nguvu katika kila sehemu ya maisha yetu . Hii nguvu si ya chakula wala mwili. Ni Nguvu ya kushinda, Nguvu ya kutenda makubwa. Daniel 11:32. Yasema. Wajuao Mungu wao. Wako na nguvu na wanatenda makuu.. Hayo makuu. Naomba uanze kuyafanya sasa.. Hautapungukiwa wala kuzuiliwa . POKEA nguvu kwenye maombi yako. Ukinena kitu kinafanyika. Biblia yasema(job 22:28).. "Utatangaza jambo nalo litatimia
🫰Funguo hizi pia ni *UPAKO*, Wa kuvunja kila nira na upingamizi wa shetani. Mazingira inasema ni kugumu, lakini wewe kupitia upako huu. Unaenda mbali. Uchumi huwezi kusimamisha shughuli zako wala huduma iliyo ndani yako . Wakiongea kushindwa. Wewe utatangaza kuinuliwa. Job 22:29. Yasema.. Watu wakisema wamewekwa chini, wewe utaswma kuna kuinuliwa.. Natangaza wewe ni baadhi ya wale watainuliwa na Mungu sana.. Upako uliyo ndani yako si wakujaribu. Already ni DNA ya MUNGU. YA USHINDI NA KUPANUKA SANA. .
* Kila, mtu. Na KANISA kwa jumla. Lets Operate now in that dimension.!! . Tutawale Sasa katika *upako*, *Nguvu* na *Mamlaka*
Welcome to APOSTOLIC FAITH CHURCH, KIRIGITI
For more inspiring and uplifting messages.