Zionist 7th Day Church of God-Kericho Zone

Zionist 7th Day Church of God-Kericho Zone This is the Zionist Church of God Kericho branch.

Local churches under the Kericho zone;
Kapchebwaber
Kapmasian
Cheplel(Kenegut)
Sondu
Maemba/Chemegong(Seitagong)
Kapchanga
Kabitungu
Kibirirgut
Kaplel
Sambicho
Kaplutiet

30/01/2026

Somo la Januari 31, 2026 (Shevat 13, 5786).

ADUI

Somo Kuu: Ufunuo 20

Fungu La Kukariri: Yakobo 4:7

1. Je, ni majina yapi yamepewa adui wetu? Ufunuo 12:9.

2. Ni katika hali gani adui wa nafsi zetu ametajwa kwanza? Mwanzo 3:1-6.

3. Je! Ni wapi Yahshua aliona Shetani akianguka kutoka? Luka 10:18.

4. Ni nani ambaye alifukuzwa kutoka mbinguni pamoja na Shetani? Ufunuo 12:7-9.

5. Je, Elohim aliwasemehe malaika ambao walitenda dhambi? 2 Petro 2:4; Yuda, mstari wa 6.

6. Je! Baba ya uongo na pia muuaji wa kwanza ni nani? Yohana 8:44.

7. Ni katika tabia gani adui yetu kwa wakati mwingine huja? 1 Petro 5:8.
8. Ni katika njia gani ya uongo yeye anaonekana katika nyakati zingine? 2 Wakorintho 11:14, 15.

9. Je, inawezekana kwa ibilisi kuwatega watu? 2 Timotheo 2:26.

10. Je, Mwana wa Elohim alikuwa huru kutokana na majaribu? Luka 4:1-3; Waebrania 4:15.

11. Ni nani mwanzilishi wa dhambi? 1 Yohana 3:8.

12. Ni nani msh*taki wa ndugu zetu? Ufunuo 12:10.

13. Ni wapi ambapo Shetani atakuwa wakati wa miaka elfu moja, wakati Masihi atakuwa akitawala katika kiti cha enzi cha Daudi? Ufunuo 20:1-3.

14. Ni nini imesemwa kuhusu adhabu ya mwisho ya Shetani? Ufunuo 20:10.

15. Ni kwa ajili ya nani ziwa la moto limewekwa tayari? Mathayo 25: 4.

30/01/2026

Lesson for January 31, 2026
THE ADVERSARY

Scripture Reading: Revelations 20.

Memory Verse: James 4:7.

1. What various titles are given to our adversary? Revelations 12:9.

2. Under what circumstances was the beguiler of our souls, first mentioned? Genesis 3:1-6.

3. From where did Jesus see Satan fall? Luke 10:18.

4. Who was cast out of heaven along with Satan? Revelation 12:7-9.

5. Did God spare the angels that sinned? 2 Peter 2:4; Jude, verse 6.

6. Who is the father of lies, and was also the first murderer? John 8:44.

7. In what attitude does our adversary sometimes come? 1 Peter 5:8.

8. In what deceptive way does he appear at other times? 2 Corinthians 11:14,15.

9. Is it possible for the devil to ensnare people? 2 Timothy 2:26.

10. Was the Son of God exempt from temptation? Luke 4:1-13; Hebrews 4:15.

11. Who is the author of sin? 1 John 3:8.

12. Who is the accuser of our brethren? Revelation 12:10.

13. Where will Satan be during the millennial age, while Christ will be reigning upon the throne of David? Revelation 20:1-3.

14. What is said of Satan’s final punishment? Revelations 20:10.

15. For whom is the lake of fire prepared? Matthew 25:41

30/01/2026
16/01/2026

Shalom.
Happy Sabbath 🙏

16/01/2026

Lesson for January 17, 2026

RUNNING THE WINNING RACE

Scripture Reading Psalms 19

Memory Verse Isaiah 40:31

1. How are we admonished to run this race? Heb12: 1, last part.

2. In running, what two things should we lay aside? Verse1 middle part.

3. How is the number of our witness described? Verse 1, first part.

4. To whom should we look while running in this race? Verse 2, first part.

5. What was Solomon’s and Paul’s observation concerning those who run in this race? Eccl.9:11, first part, Roman 9:16

6. How is the glory of God, as revealed in the heavenly planets, described? Psa. 19:1-3

7. To what extent is this glory extended? Verses 4,6

8. How is their going compared with him who runs in a race? Verses 5.

Note: - This race is not for the swift, nor is the battle for the strong. Yet King David
indicates that it takes a strong man to run a race. Eccl. 9:11 represent those who make sporadic effort in the beginning of their race and quickly fail under tests, while Romans 9:16 represents those who realize their nothingness and seek strength daily in the altar of prayer to endure.

9. What important question did Paul ask the Corinthians about racing? 1 Cor. 9:24. First part.

10. How were they admonished to run? Verse 24, last part.

Note. - There will be no 2nd, 3rd nor consolation prizes at the end of this race. All who
will receive eternal life must be overcomers.

11. What is required of those who would win in this race? Verse 25

12. How did Paul run and fight in order to win in this race? verse 26

13. What is said to those who wait on the Lord? Isaiah 40:31

16/01/2026

Somo la Januari 17, 2026 (Tevet 28, 5786).

MBIO YA USHINDI

Somo Kuu: Zaburi 19

Fungu La Kukariri: Isaya 40:31

1. Jinsi gani tumeshauriwa kukimbia mbio hii? Waebr 12: 1, sehemu ya mwisho.

2. Katika kukimbia, ni vitu gani viwili tunapaswa kuweka kando? Mstari1 sehemu ya kati.

3. Jinsi gani idadi ya mashahidi wetu imeelezewa? Mstari wa 1, sehemu ya kwanza.

4. Tunapaswa kumtazama nani tunapokimbia katika mbio hii? Mstari wa 2, sehemu ya kwanza.5. Je! Mtazamo wa Sulemani na Paulo kuhusu wale wanaokimbia katika mbio hii ulikuwa nini? Mhu. 9:11, sehemu ya kwanza, Warumi 9:16

6. Jinsi gani utukufu wa Elohim, k**a ulivyofunuliwa katika sayari za mbinguni, umeelezewa? Zab. 19: 1-3

7. Je! Utukufu huu umeenea kwa kiwango gani? Mistari 4,6

8. Je! Kwenda kwao kunalinganishwaje na yule anayekimbia katika mbio? Mistari 5.

Maelezo: - Mashindano haya sio kwa mwenye mbio, wala vita sio vya wenye nguvu. Walakini Mfalme Daudi anaonyesha kwamba inahitajika mtu mwenye nguvu kukimbia mbio. Mhu. 9:11 inawakilisha wale wanaofanya juhudi kiasi mwanzoni mwa mbio zao bali kwa haraka wanaangukia majaribuni, wakati Warumi 9:16 inawakilisha wale
wanaotambua udhaifu wao na wanatafuta nguvu kila siku katika madhabahu ya maombi hili kuvumilia.

9. Ni swali gani muhimu ambalo Paulo aliwauliza Wakorintho kuhusu mbio? 1 WaKor. 9:24. Sehemu ya kwanza.

10. Walishauriwa kukimbia aje? aya ya 24, sehemu ya mwisho.

Maelezo. Hakutakuwa na namba 2, 3 au zawadi za faraja mwishoni mwa mbio hii. Wote watakaopokea uzima wa milele lazima wawe washindi.

11. Je! Ni nini kinachohitajika kwa wale ambao wangeshinda katika mbio hii? Mstari wa 25

12. Je! Paulo alikimbia na kupigana ili kushinda katika mbio hii? aya ya 26

13. Je! Ni nini kilichosemwa kwa wale wanaomsubiri Bwana? Isaya 40:31

What we believe 🙏
28/12/2025

What we believe 🙏

26/12/2025

Lesson for December 27, 2025

THE RESURRECTION OF THE RIGHTEOUS AND THE WICKED

Scripture reading: 1 Corinthians 15: 12-58.

Memory verse: 1 Corinthians 15: 22.

1. Will everyone be resurrected? John 5: 28, 29.

2. When will the righteous be resurrected unto life eternal? 1 Corinthians 15: 22, 23; Revelation 20: 4; 1 Thess. 4:16.

3. What will happen to the saints who will be alive at the appearing of Jesus? 1 Thess. 4:17;
1 Corinthians 15:52,53.

4. Where will the resurrected saints dwell and what will be their work during the millennium reign of Christ? Revelation 5:10; Daniel 7:27; Luke 19:15-19.

Note. What a wonderful blessing awaits all the faithful in Christ Jesus. All who have died in the Lord will be made alive at the appearing of Jesus, while the living saints will be changed in a moment in the twinkling of an eye, and they will live and reign with Christ a thousand years. During this time Jesus will reign upon the throne of David. Luke 1:32; Isaiah 24:23.

5. Where will the wicked dead be during this millennial age?Revelation 20:5,6.

6. Will the wicked ever be resurrected? John 5:28,29.

7. For what purpose will the wicked be brought forth? Job 21:30; 2 Peter 2:9.

8. When the wicked are resurrected where will they have to appear? Revelation 20:11,12.

Note. The judgement is for the wicked, since the righteous went to judgement when they confessed their sins, were born again and became obedient unto the words of the Lord, thus they passed from death into life and became members of the family of God. 1 Timothy 5:24; John 5:24.

9. What will the final end of the wicked be? Revelation 20: 13-15; 21:8; Malachi 4:1-3; Obadiah 1:16

Pray for Anagata🙏
21/12/2025

Pray for Anagata🙏

19/12/2025

Lesson for December 20,
2025

HEAVENLY RECORDS THE LAMB’S BOOK OF LIFE

Scripture Reading: Revelation 3rd chapter.

Memory Verse: “He that overcometh, the same shall be clothed with white raiment, and I will not blot out his name out of the book of life, but will confess his name before my Father, and before His angels” Verse 5.

1. Has there been a book arranged in heaven for records of people living on this earth? Malachi 3:16.

2. What is said about the deliverance of those whose names are to be found written in this Book of Life? Malachi 3:17; also Daniel 12:1.

3. What effect should it have upon the faithful ones, to know their names are written in heaven? Luke 10:19, 20.

4. Are there any other books opened besides the Book of Life at the time of judgment? Revelations 20:12

5. After people have been adopted into the heavenly family, and their names written in the Book of Life, and continue in righteousness, is it possible for their names not to be there on the day of judgment? Revelations 3:5.

6. After Paul had preached the gospel, and was actually one of this holy family, what did he say about the danger of being a castaway? 1 Corinthians 9:27.

7. What are we told further about the danger of falling away, after once having been anointed and experienced in the gift of the Holy Spirit? Hebrews 6:4-8; 1Corinthians
10:12.

8. What will be the result when a person having spent their life in sin turns to righteousness in their closing days, or when a righteous person turns away? Ezekiel 33:12, 15-19.

9. What will be the fate of those whose names are not found in the Lamb's Book of Life? Revelation 20:15; also 21:27.

10. What will happen to the beast, and also to the beast worshippers, when the books of heaven are opened? Daniel 7:9-11; Revelation 14:9,10; also Revelation 20:13-15.

19/12/2025

Somo la Desemba 20, 2025 (Kislev 30, 5786)

NAKALA ZA MBINGUNI KITABU CHA UZIMA CHA MWANAKONDOO

Somo Kuu: Ufunuo 3.

Fungu La Kukariri: "Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe, wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu, na mbele ya malaika wake." mstari 5.

1. Je! Kuna kitabu ambacho kimewekwa mbinguni kwa ajili ya kumbukumbu za watu wanaoishi katika dunia hii? Malaki 3:16.

2. Ni nini imesemwa kuhusu ukombozi wa wale ambao majina yao yatapatikana katika kitabu cha uzima? Malaki 3:17; pia Daniel 12:1.

3. Je, kuna faida gani juu ya waumini, kujua kwamba majina yao yameandikwa mbinguni? Luka 10:19, 20.

4. Je, Kuna vitabu vingine vitafunguliwa licha ya Kitabu cha uzima wakati wa hukumu? Ufunuo 20:12

5. Baada ya watu kujumuishwa katika familia ya mbinguni, na majina yao yameandikwa katika Kitabu cha uzima, na kuendelea katika haki, Je, inawezekana kwa majina yao kutokuwa siku ya hukumu? Ufunuo 3:5.

6. Baada Paulo kuhubiri injili, na kweli alikuwa mmoja wa familia hii takatifu, yeye alisema nini kuhusu hatari ya kukataliwa? 1 Wakorintho 9:27.

7. Tumeaambiwa nini zaidi kuhusu hatari ya kuanguka, baada ya kupokea na kukionja kipawa cha Roho Mtakatifu? Waebrania 6:4-8; 1 Wakorintho 10:12.

8. Ni nini itakuwa matokeo kwa mtu ambaye aliishi maisha yake katika dhambi na kuishi kwa haki katika siku zake za mwisho, au wakati mtu mwenye haki atapotoka? Ezekieli 33: 12, 15-19.

9. Je, Hatima ya wale ambao majina yao hayatapatikana katika Kitabu cha uzima cha Mwanakondoo itakuwa ipi? Ufunuo 20:15; pia: 21 27.

10. Ni nini kitatendeka kwa mnyama, na pia wale huabudu mnyama, wakati vitabu vya mbingunini vitafunguliwa? Danieli 7:9-11; Ufunuo 14:9, 10; pia Ufunuo 20:13-15.

KITABU CHA UKUMBUSHO
“... Ndipo wale waliomcha Bwana waliposemezana wao kwa wao. Naye Bwana akasikiliza, akasikia; na kitabu cha ukumbusho kikaandikwa mbele zake, kwa ajili ya hao waliomcha Bwana, na kulitafakari jina lake. Nao watakuwa wangu, as

Address

Kericho

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zionist 7th Day Church of God-Kericho Zone posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share